Jongwe
JF-Expert Member
- Apr 25, 2008
- 1,040
- 666
Salaam kwenu wote. Nimebahatika kupata kajisafari cha kikazi kwenda ughaibuni/london-uingereza kwa muda wa majuma 2. Lakini baada ya hayo majuma mawili ningependa nikae siku za ziada 10 hivi. Hayo majua mawili ya mwanzo mwajili atanilipia ghalama zote, isipokuwa baada ya hapo itabidi nijighalamie mwenyewe. Ni mara yangu ya kwanza kwenda huko..nimejaribu ku-google malazi ya bei rahisi huko lakini nionacho ni ghali upande wangu. Wale ambao mna uenyeji wa jiji hilo naomba mnijuze tafadhari.