Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,949
Mtoboasiri hivi unaishi dar au mji gani? Saa ya ukombozi ni sasa.....kinamama have declared freedom ......if you can buy they can as well buy.....
You are not serious Mtoboasiri.......embu toboa siri ya mariooo kisha tukuitikie.....
Nahamia zangu uswazi cc,huku sipawezi..........pamekaa ki katiba mpya.......
Nautoa mimi; NITAFUTIE (AU NIAMBIE) MTAA mji wowote ule 'nji' hii ambao kuna wanaume wanajipitisha ili wanawake waje kuwanunua!
Hahahahaha kumbe kelele zote unamtaka Kongosho? Mtoboasiri hivi una ubavu wa kumfikisha Kongosho, sio unawinda tembo kwa manati....Niambie huo mtaa sasa hivi niende (ukichukulia WEWE huyo umenitilia fitna ili Kongosho aniteme). nataka NIKAUZE kibamia changu sasa hivi! Na nilivyo chacha!
Btw: Kungekuwa kuwa na opportunity ya wanaume kujiuza WEWE si ungeshajiuza zamani ili ukwepe kulipa deni la Bayport???
Una uhakika? Nenda oysterbay maeneo ya q bar uone wanaume wanaojiuza.
Wewe unajiuza huko q bar?
Hahahahaha kumbe kelele zote unamtaka Kongosho? Mtoboasiri hivi una ubavu wa kumfikisha Kongosho, sio unawinda tembo kwa manati....
Mwanamme hendi geto, wala hasimami njiani kuuza mwili wake.
Unaishi dar?
Hahahahaha kumbe kelele zote unamtaka Kongosho? Mtoboasiri hivi una ubavu wa kumfikisha Kongosho, sio unawinda tembo kwa manati....
Niambie huo mtaa sasa hivi niende (ukichukulia WEWE huyo umenitilia fitna ili Kongosho aniteme). nataka NIKAUZE kibamia changu sasa hivi! Na nilivyo chacha!
Btw: Kungekuwa kuwa na opportunity ya wanaume kujiuza WEWE si ungeshajiuza zamani ili ukwepe kulipa deni la Bayport???
Hivi hujui Bishanga kaniuzia? Tena kwa bei chee sana
Halafu kwa MKOPO!
wewe uko kundi gani kati ya hayo?Ni umalaya na nani Malaya? Malaya ni msichana au mwanamke ambaye anafanya mapenzi na mtu asiyekua si mumemwe wa hahalali. kuna namna tatau za umalaya nazo 1. Malaya wa kwanza ni yule ambaye hutafuta pesa kwa kila njia ya kwa kuuza mwili wake, ikiwa kwenye geto, baa au njiani ( bara barani). 2. Aina ya Malaya mwengine yule anayekaa au naishi na mtu si mumewe wanaishi kama mtu na mume. ama wa 3. Malaya huyu hana mtu maalamu wala hana haja ya pesa yeye akijiwa na hamu ya kutaka kufanya mapenzi atakayempata yeyote atakaye mridhisha siku ile ni sawa kwake.:heh: