Malawi Kiboko kwa Intelijensia

unachokiongea ni kweli kbs ila nina waiswasi na muafaka huo, je tuko tayari kuwaachia hilo ziwa? wako tayari kutuachia kipande tuchukue ili hali wanaamini kuwa ziwa lote ni la kwao?, je wananchi wao watalubali kipande cha ziwa kiwe mali ya tz? je watz watakubali ziwa lote liwe la malawi?...hapo bado kazi ipo..ikishindikana njia ya kawaida inabidi mafahali wawili waiingie ulingoni na atakaye shindwa ndio akubali kumwachia mwenzie...
 

kwa hiyo hizo meli zitabebwa na nini mpakahuko ziwa nyasa ili zikatusaidie kupiga mbizi ziwani? au unataka kutuambia kuwa ziwa nyasa limeungana na bahari ya hindi?
 
Mimi sitaita vita, hii itakuwa kama mechi ya kirafiki ya Man united na yanga. mshindi anajulikana
 
Yeyote atakayeamua kuingia vitani kwa sasa sidhani kama atakuwa amechukua uamuzi wa busara. Kuna changamoto nyingi za kuzifanyia kazi kwa sasa na sio vita.
 
Nyie wadanganyeni 2,..mbona watajuta kuifahamu hii nchi...
 
Tulieni tupo ndani kabisa ya malawi......hamna haja ya kuwa na wasiwasi..hakuna siasa katika hili na hakuna utafiti wwt wa mafuta na gesi unaoendelea ziwa nyasa
 
Mimi sitaita vita, hii itakuwa kama mechi ya kirafiki ya Man united na yanga. mshindi anajulikana
aiseee...unawalinganisha malawi na yanga eeh! usiwaone wapole huwezi kujua ukali wao...
 
Mimi sitaita vita, hii itakuwa kama mechi ya kirafiki ya Man united na yanga. mshindi anajulikana
aiseee...unawalinganisha malawi na yanga eeh! usiwaone wapole huwezi kujua ukali wao...
 
Yah nikweli unayosema, lkn kwa swala la kijasusi au nni Tanzania inafanya ktk swala hili kiujumla ni vigumu sana kujuwa kinacho endelea hasa ktk upande wa Tanzania cz ili swla lina involve military kwa asilimia kubwa na kama unavyo juwa maswala ya kijeshi siyo rahisi kufamika au kuonekana wazi machoni/miongoni mwa watu. So ninacho jaribu kusema ni kwamba namini jeshi JWTZ na vyombo vyote vya usalama vya Tanzania vipo makin na usalama wa nchi kiujumla. SO MSIWACHUKULIE POA KIASI HICHO...
 

watu wengi hawajui mambo yanavyokwenda tusamehe buree wanataka mambo ya Hollywood movies.
 
watatushinda mpira na riadha. kwa mabomu hawatuwezi msiwe na wasi hakuna vita hapa :israel:
 

safi sana mkuu kwa kuelezea kwako, kama upo Dar maeneo ya kivuko cha magogoni pale bandarini kuna Boti za Kisasa takribani 3 zipo pale na hawa wachina sidhani kama hawajatuletea baadhi ya Zana kama hizo. Nimependa mchango wako
 
ngoja tuone daudi anavyomdonosha goliat...mama banda si mchezo...
 
vita siyo nzuri na malawi haina uwezo kuingia Tanganyika bila kuangamizwa sababu ya jiografia inayoipa Tanganyika faida mtoa mada hayuko mbali na ukweli kwamba malawi lazima watafute habari ila siyo ya kushambulia Tanganyika bali ya kutafuta suluhu haraka iwezanavyo.
 

Hivi nikisema mleta post hii ni M-Malawi ntakuwa nimekosea kweli? Hivi kweli inaingia akilini kufikilini delegation ya Wamalawi wanao toka kwao na ndege kuja IKULU wanakuja kutupeleleza? hata tukiwa na the so-called weak spots, wanaweza kuwa na ubavu wa kuitunia misuri Tanzania kweli? Hawawezi. So please haya mambo ya kujaribu to instill fear kwa Watanzania won't lead you anywhere - we are smarter than U think.
 
sasa wewe unataka kuwafundisha tanzania ambao wamepigana vita vyao na vya wengine? Usitake ncheke!

valid point, ila huwezi kurely on historia pekee, tumekua zaif l' khali siku hizi, vibomu vyenyewe ndio hivyo vinajipipukia tu, ndege zimeota kutu nk

wakenya na wauganda wametumia the past 10 year kujenga misuli na military packages, which could be easily noted on their budgetary allocations

labda malawi ni kama sisi....

Zaiffffffff
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…