DINGO RINGO
New Member
- Jul 8, 2019
- 1
- 14
Muheshimiwa rais Magufuli sisi wafanyabiashara wanyonge wa mkoa wa kigoma tunaomba tuondolee hili balaa ulilotuletea huku kigoma huyu jamaa anaitwa mahunde ni mla rushwa mkubwa na ana upendeleo ukiwa huna hela basi ujue utakadiriwa kodi kubwa na wale wakadiriaji wakipeleka kodi halali anawalazimisha kutupa makodi makubwa kuliko mitaji yetu watu wengi sana wanafunga biashara huku na mkurugenzi mkuu wa tra hamfukuzi huyu jamaa tumefikisha malalamiko yetu sehemu mbalimbali lakini hakuna msahada kwasababu tunaanza kuchukia tra na kufikiria kukwepa kodi kwahio mapato ya serekali yanapotea kwaajili ya mtendaji mmoja mroho alimaarufu mahunde pia huyu bwana ana tabia ya kupita kila goli anakusanya hela na mali bila aibu na anatishia kwamba usipotoa hela hakutetei tafazali sana ndugu raisi na mkurugenzi mkui wa tra tuondoleeni huyu mtu hapa kigoma lasivyo hatulipi kodi asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app