Malalamiko hayatoshi tusinunue vocha

Bila shaka kuongezeka kwa bei za vifurushi kutawafanya watu wapunguze matumizi sana. Vyivyo hivyo mapato ya wenye motandao na serikali pia yanaweza kupungua. Atgari zitakuwepo lakini hatimaye tutazoea. Alternatively, tuache kununua mabandonkwa walau wezi moja tu. They will feel it and probably reconsider.
 
Ina maana wajinga hawana pesa ya kununua vocha?

vipi kuhusu wanafunzi wa chini na wa juu wanaotegemea mitandao kusomea nao ni wajinga?
Utaponunua mbs kwa gharama kubwa itakupunguzia kufanya ujinga mitandaoni.
Wanafunzi wa wanadownload Sana PDF hivyo hakuna gharama kwenye kudownload PDF
 
If you wanna meet cowards then visit Tanzania you will be surprised .
They aren't cowards but muthaphuckin snitch ass pussies! Mnakubaliana for the strike but some fools will still recharge and access the services regardless of the sucking package prices. And will still act like they with you.
 
Tupo awamu ya sita.

Na tulishajiapiza hapa tuna imani nayo kuliko zilizopita. Kwanini tugome?
 
Katika Uchumi tumefyndishwa kwambq kqtika sokonhuria bei hupqtikqnq pqle demand inapokutana na supply.

Usiponunua bundle unaondoa demand.

Unaishusha bei chini.

Naunga mkono hoja kwa wote ambao wataweza.
Ni rahisi kwa ambao mko extra busy ila kwa ambao tuna muda wa kuflex ni ngumu😁 im so fuxin addicted with the internet and it eat most of my idle time throughout the day
 
Back
Top Bottom