Wewe utakuwa unapanda daladala na wasaka nyoka au wale Wakurya wa Kipunguni wanaowahisha mayai K'koo...
Hebu pita kwenye mablog ya wadada wenzako kina Dina uone namna wadada wenzako wanavyoweweseka kutafuta tiba ya kuzuia kiharufu beberu cha kwapa...
Kutwa mwajisugua na makoko ya ugali au kama haitoshi mkienda kwa mangi gengeni kutwa mwamaliza malimao na ndimu kwa sababu ya kwenda lipiga swaki kwapa...
Miye nataka uninusishe kwapalo la kiarabu...
Harufu ya kwapa unaiweza??? usije zimia bure nikapata mada kesii
hahahah niko tayari
mitindo mipya ya tops itabidi uwe mbunifu wangu
Zitakuwa na mifuko maalum kwa manywele husika!!!!!
hahahahaha why niyafiche mfukoni
Kipindi ukiwa unakula na watu wengine yanaweza wakera so unayaweka chimbo!!!!!
hahahahahahaha aku nayaaacha kweupe mda wote na wasuse tu
Ya wakaka ni kiboko unaweza tapikaaa haki ya mama shahidi shetani
Ila uyaweke safi kabisaaaaa maaana kama ni machafu yananuka daaanh watu watakukimbiza kama sio kukumbia
Usafi wa makwapa muhimu jamani mtu unakuta kawekeza nywele miezi na miezi hata kuzifyeka hamna basi najua wengne ni hurka ya mtu unakuta hawez kukumbuka bas mpenz wake chukua jukumu la kumsaidia kunyoa muwekee na marashi mazuuuri ndio maana wanasema kumtunza mwenzio ni jukumu lako tuepushe majasho na harufu mbaya za makwapa kama unaona uvivu cku iz kuna dawa za kupaka tu kwapani zinatoka zenyewe ni mtazamo Wang jaman
Hahahhaaaa jamani Tyta ah mi nilikuwa nina kikombe cha chai pembeni hamu yote imeniisha! Hebu nitoeni ushamba, mbona kuna wanaodai wanaume wakiwa na hii kitu makwapani ndio "sexy"?
Kama haijachacha si mbaya kivile. Mi hunipandisha mzuks kwa sana tu.
hahHHahahaa si naiga style yako au
Mi soap mbaya kabisa mishampoo na mi spray ,dr miracle saa zote kutumia!!!!