Makusanyo Januari kufikia Sh tril 1.5

Makusanyo Januari kufikia Sh tril 1.5

Hata kama sijui yote hayo lkn nina akili za kutosha kujua kwamba hauwezi na haupaswi kulinganisha vitu visivyolingana na hii kanuni tunafundishwa tangu watoto shuleni tuliambiwa kulinganisha ndizi na ndizi, machungwa na machungwa na siyo kulinganisha ndizi na machungwa kuna hata sababu kwa nini kwenye michezo kuna makundi ya vijana, wazee, jinsia hizi zote hupangwa tofauti hivyo hii ni kanuni ya kwanza kabisa ambayo binadamu hujifunza sasa nakushangaa wewe unayejiita mchumi kama unashindwa kuelewa jambo rahisi kama hili unaweza hata kuchukuwa samples za utafititi wako na baadaye kufanya data analysis? Kwa maana hapa unahitaji hii kanuni ya kuangalia vitu vinavyolingana kwanza na kuviweka pamoja!
Honestly I give up UMESHINDA
 
Back
Top Bottom