Wakwanza tuIv haya makusanyo ni mwezi mmoja yaani ya mwezi wa 1 tu au wanaongezea na zile ambazo walikusanya awali?
Hela IPOSasa mbona hakuna hata hela ya kulipia matangazo live ya bunge?
Ukiishi kiushabiki utaona si muhimu kwakoHizi sindimba mbona zinakua kila kukicha..???
Hayo makusanyo SISI wananchii yanatuhusu nini??..
Wanatakiwa watupatie mipango ya maendeleo ya miaka mi5 kwakutegemea hizi pesa hewa wanazo turingishia kila mwisho wa mwezi.
Acheni maigizo sababu hayatusaidii chochote hasa hizo hotuba zenu za makusanyo ya kila mwezi
Siku mojamoja ukichaa ulee wa CDM unakutokaSio ku panic, bali huyo jamaa eti kwa akili yake anaona makusanyo kuwa makubwa ni kama kuwakomoa wapinzani. Utadhani hao wapinzani wanachangia kodi zao kwa serikali ya Msumbiji.
Hospitali zikipata pesa na kuboreshwa wanakwenda wote, mapato yakiwa mazuri na barabara zikitengemaa wanapita wote, sasa utaonaje kuwa hilo jambo mwingine kakomolewa?
Hizo ni akili zake matope tuu, maana mie naweza kuwa mfuasi wa Chadema na mama yangu akawa mfuasi wa CCM na mjomba ni ACT lakini wote tunafarijika na kazi ikifanyika ya kukusanya na wote tukapata huduma nzuri za kijamii.
Basi vizuri mkuuMuch as tungependa makusanyo yaongezeke hata kufikia trilioni mbili, lakini napenda kuwapa angalizo wana JF. Taarifa hizi, kama zilivyoripotiwa na gazeti la habari leo, sio sahihi. Mwandishi, pamoja na mwariri wake, wamechanganya mambo. Lengo la makusanyo lilikuwa trilioni 1 na bilioni 45, na mpaka taarifa inatoka zolishakusanywa trilioni 1 na bilioni 31. Wanatarajia kufikia Jumatatu wafunge mahesabu ya Januari wakiwa na zaidi ya trilioni 1 na bilioni 50.
Tatizo ni mwandishi kushindwa kutofautisha trilioni 1.045 likiwa lengo la Januari, na trilioni 1.4 (trilioni 1 na bilioni 400) zilizokusanywa December 2015.
Huu ndo ule ukanjanja unaozungumziwa kuhusu waandishi wetu walio wengi
hawanaaaaaaaaaa mkuu all days ni porojo tupuuHaya leteni mpango wa miaka mitano.
Chadema hakuna ukichaa nenda kaulize utawala wa bunge watakuambia kwa nini hawataki bunge liangaliwe liveSiku mojamoja ukichaa ulee wa CDM unakutoka
Hahaha
Wewe ndio mgese wa akili kutokana na kuchezewa kikubwa utotoni
Tunafanya comparison na mataifa mengine ili tujue tuko umbali gani kufikia maendeleo na ustawi WA kweli. Tunajifunza kutoka kwa waliotutangulia tujue njia ya kupita
Next time uwe na manners to your betters when addressing them
Imbecilic buffon
Tatitzo la weledi katika nchi yetu ndipo hapa linapoanzia kwa maana kupata kazi kwenye gazeti tajwa kigezo kikubwa ni vyeti vyako na mara nyingine hata kama umevipata kariakoo mradi uwe na wa kukushika mkono.Nadhani kuna tatizo kubwa sana when it comes to usahihi wa taarifa. Mimi nilisikiliza taarifa ya habari na kuwasikia hao mabwana wa TRA wakidai kuwa lengo la makusanyo ya January 2016 ilikuwa ni shilingi trilioni moja na bilioni 45. Mpaka jana walikuwa wamekusanya trilioni moja na bilioni 31, na kwamba kufikia Jumatatu wanategemea kuvuka hilo lengo walilojiwekea.
Sasa naliona tatizo hapa kwa mwandishi wa habari hii: trilioni 1 na bilioni 45 sio sawa na trilioni 1 na bilioni 450...(1.045 trilion sio sawa na 1.450 trilioni).
Mods, rekebisheni hii taarifa, wengi watapotoshwa hapa
Wewe Ni buffon hujui hata cardinal principle moja ya development economics sasa kumfundisha punguani Ni mission impossible