makumbusho ya taifa

makumbusho ya taifa

Fatma Bawazir

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2010
Posts
491
Reaction score
180
Jamaa alipiga simu ofisi ya makumbusho ya Taifa.

"
Haloo hapo ni makumbusho ya taifa?

OFISI:
Ndio tukusaidie nini?

JAMAA
:"Ok, naomba mnikumbushe mwaka juzi saa yangu niliipoteza wapi?"

OFISI
:"Pumbavu hiyo siyo kazi yetu"

JAMAA
:Sasa makumbusho mnakumbusha nini?"

OFISI:
Tunahifadhi mambo ya zamani.

JAMAA:"
Ahaa.....kumbe saa yangu mtakuwa nayo!" Nakuja kuichukua sasa hivi.
 
Jamaa alipiga simu ofisi ya makumbusho ya Taifa.

"
Haloo hapo ni makumbusho ya taifa?

OFISI:
Ndio tukusaidie nini?

JAMAA
:"Ok, naomba mnikumbushe mwaka juzi saa yangu niliipoteza wapi?"

OFISI
:"Pumbavu hiyo siyo kazi yetu"

JAMAA
:Sasa makumbusho mnakumbusha nini?"

OFISI:
Tunahifadhi mambo ya zamani.

JAMAA:"
Ahaa.....kumbe saa yangu mtakuwa nayo!" Nakuja kuichukua sasa hivi.



wewe fatma ni sooo unaweza ukamvunja mtu bandama kwa viheko
 
Back
Top Bottom