madala mujipa
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 1,421
- 864
jumapili njema
Binaadamu wameumbwa tofauti kuna dada hapa mtaani huwa namchukua yeye na mtoto wake kwa usafiri wangu wa bajaji amepanga chumba kimoja,sasa ni kawaida asubuhi muda mwingine huingia pale chumbani kumsubiria amtayarishe mtoto ila kinachokera ni tabia ya yule dada chupi zake alizozivaa(chafu)na safi kuzagaa chumba kizima na wala hajali akiona umeingia ndio atajitia kuzikusanya na kuzitia kwenye kitenga lakini bado vibendera vingine vinabaki kuning'inia
Inakera kwa kweli kumwambia nashindwa na ni mkubwa na heshima zake!
Binaadamu wameumbwa tofauti kuna dada hapa mtaani huwa namchukua yeye na mtoto wake kwa usafiri wangu wa bajaji amepanga chumba kimoja,sasa ni kawaida asubuhi muda mwingine huingia pale chumbani kumsubiria amtayarishe mtoto ila kinachokera ni tabia ya yule dada chupi zake alizozivaa(chafu)na safi kuzagaa chumba kizima na wala hajali akiona umeingia ndio atajitia kuzikusanya na kuzitia kwenye kitenga lakini bado vibendera vingine vinabaki kuning'inia
Inakera kwa kweli kumwambia nashindwa na ni mkubwa na heshima zake!