Makufuli yamezagaa chumba kizama

Makufuli yamezagaa chumba kizama

jumapili njema

Binaadamu wameumbwa tofauti kuna dada hapa mtaani huwa namchukua yeye na mtoto wake kwa usafiri wangu wa bajaji amepanga chumba kimoja,sasa ni kawaida asubuhi muda mwingine huingia pale chumbani kumsubiria amtayarishe mtoto ila kinachokera ni tabia ya yule dada chupi zake alizozivaa(chafu)na safi kuzagaa chumba kizima na wala hajali akiona umeingia ndio atajitia kuzikusanya na kuzitia kwenye kitenga lakini bado vibendera vingine vinabaki kuning'inia

Inakera kwa kweli kumwambia nashindwa na ni mkubwa na heshima zake!
Fuata kilichokupeleka ya watu yaache
 
Mtego unakalibia kunasa, si muda mrefu utaonja mchuzi, na yeye kuanza kupanda bajaji yako bila nauli.....
 
jumapili njema

Binaadamu wameumbwa tofauti kuna dada hapa mtaani huwa namchukua yeye na mtoto wake kwa usafiri wangu wa bajaji amepanga chumba kimoja,sasa ni kawaida asubuhi muda mwingine huingia pale chumbani kumsubiria amtayarishe mtoto ila kinachokera ni tabia ya yule dada chupi zake alizozivaa(chafu)na safi kuzagaa chumba kizima na wala hajali akiona umeingia ndio atajitia kuzikusanya na kuzitia kwenye kitenga lakini bado vibendera vingine vinabaki kuning'inia

Inakera kwa kweli kumwambia nashindwa na ni mkubwa na heshima zake!
Acha umbea. Ukiona huna kifua usiingie vyumba vya watu!
 
Heshima ni kitu cha bure, unajua amepanga tena chumba kimoja sasa we unaingia ndani kufanya nini?
Msubirie na sio kuja kumtolea aibu zake humu.
 
jumapili njema

Binaadamu wameumbwa tofauti kuna dada hapa mtaani huwa namchukua yeye na mtoto wake kwa usafiri wangu wa bajaji amepanga chumba kimoja,sasa ni kawaida asubuhi muda mwingine huingia pale chumbani kumsubiria amtayarishe mtoto ila kinachokera ni tabia ya yule dada chupi zake alizozivaa(chafu)na safi kuzagaa chumba kizima na wala hajali akiona umeingia ndio atajitia kuzikusanya na kuzitia kwenye kitenga lakini bado vibendera vingine vinabaki kuning'inia

Inakera kwa kweli kumwambia nashindwa na ni mkubwa na heshima zake!
Sasa ndugu yangu kuna ulazima wowote wa kuingia ndani? Unachokitafuta utakipata tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom