Makubaliano Mapya ya EAC: Je, ni hatua ya kututenga Watanzania?

Makubaliano Mapya ya EAC: Je, ni hatua ya kututenga Watanzania?

HAMY-D

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2011
Posts
7,146
Reaction score
3,829
Hivi sasa Uganda imetoa kibali cha kuruhusu raia wa Kenya na Rwanda kuwa huru kuingia nchini humo na kufanya kazi ambazo raia wa Uganda wanafanya. Kwa maana nyingine, ikotokea kuna nafasi ya ajira, Mkenya na Mnyarwanda ruksa kushiriki kwenye mchakato wa usahili!

Lakini hatua hiyo kwa nchi hizo tatu imeenda sambamba na kututenga Watanzania katika makubaliano hayo. Je, huu ni mwanzo wa jitihada za muda mrefu za kututoa kwenye picha? Au ni uoga wetu tu Watanzania wa kutokuwa tayari katika ushindani wa kitaaluma kwenye soko la ajira?
 
Haimaanishi kuwa wakenya wengi watataka kufanya kazi Uganda, au wanyarwanda wengi watataka kufanya kazi Uganda. Tanzania bado ni soko kubwa kwa East Africa ukilinganisha na hizo nchi tajwa, bila kulegeza masharti. Kwa hiyo bado sijaona sababu ya kulegeza masharti ya usafiri na kazi.

We don't need to!
 
TANZANIA kwa jina lingine inaitwa " MTAKUJA". Usihofu mkuu hapa ndiyo Shamba lenye rutuba, madini kibao, gesi karibia 3/4 ya ardhi ya Tanzania, uranium n.k n.k. Wakae huko huko huku kwetu marufuku. Ili mtu aje huku lazima apate kibali na atafanya kazi ambazo mtanzania hawezi kufanya.
 
TZ imetutenga sisi wakenya tangu mwanzo kwa hiyo yote yanayotokea ni picha ya kuirudishia TZ matokeo yake
 
Hivi sasa Uganda imetoa kibali cha kuruhusu raia wa Kenya na Rwanda kuwa huru kuingia nchini humo na kufanya kazi ambazo raia wa Uganda wanafanya. Kwa maana nyingine, ikotokea kuna nafasi ya ajira, Mkenya na Mnyarwanda ruksa kushiriki kwenye mchakato wa usahili!

Lakini hatua hiyo kwa nchi hizo tatu imeenda sambamba na kututenga Watanzania katika makubaliano hayo. Je, huu ni mwanzo wa jitihada za muda mrefu za kututoa kwenye picha? Au ni uoga wetu tu Watanzania wa kutokuwa tayari katika ushindani wa kitaaluma kwenye soko la ajira?
Serikali ya Tanzania ndiyo imeukataa mpango huo ili kulinda ajira za waTZ.
 
Hivi sasa Uganda imetoa kibali cha kuruhusu raia wa Kenya na Rwanda kuwa huru kuingia nchini humo na kufanya kazi ambazo raia wa Uganda wanafanya. Kwa maana nyingine, ikotokea kuna nafasi ya ajira, Mkenya na Mnyarwanda ruksa kushiriki kwenye mchakato wa usahili!

Lakini hatua hiyo kwa nchi hizo tatu imeenda sambamba na kututenga Watanzania katika makubaliano hayo. Je, huu ni mwanzo wa jitihada za muda mrefu za kututoa kwenye picha? Au ni uoga wetu tu Watanzania wa kutokuwa tayari katika ushindani wa kitaaluma kwenye soko la ajira?

Kwa mimi naona sawa tu waache washirikiane kwenye ajira lakini iko siku watajuta watakapoona nchi moja wapo wananchi wake wamekosa ajira kwa ajili ya muingiliano
Tena Tanzania watuache, hapo tulipo ajira hazitoshi halafu tualike wengine waje wafanye kazi! Mimi nasema ni sawa tu.
 
Mkuu...Waswahili husema ni jambo la "kheri' hilo wacha litupite. Hatuwezi kuingia kwenye 'makubaliano ya mitego' kama huo (Rejea hadithi ya kisa cha mwana mbuzi na chui mtoni..kwani mwisho wa siku ni sisi kufanywa kitoweo chao tu🙂...tukaishia na majuto buree!
 
TANZANIA kwa jina lingine inaitwa " MTAKUJA". Usihofu mkuu hapa ndiyo Shamba lenye rutuba, madini kibao, gesi karibia 3/4 ya ardhi ya Tanzania, uranium n.k n.k. Wakae huko huko huku kwetu marufuku. Ili mtu aje huku lazima apate kibali na atafanya kazi ambazo mtanzania hawezi kufanya.

Pumbafu kabisa
 
TANZANIA kwa jina lingine inaitwa " MTAKUJA". Usihofu mkuu hapa ndiyo Shamba lenye rutuba, madini kibao, gesi karibia 3/4 ya ardhi ya Tanzania, uranium n.k n.k. Wakae huko huko huku kwetu marufuku. Ili mtu aje huku lazima apate kibali na atafanya kazi ambazo mtanzania hawezi kufanya.
Hakika mkuu waondoke zao hatuna shida nao.
 
Hivi sasa Uganda imetoa kibali cha kuruhusu raia wa Kenya na Rwanda kuwa huru kuingia nchini humo na kufanya kazi ambazo raia wa Uganda wanafanya. Kwa maana nyingine, ikotokea kuna nafasi ya ajira, Mkenya na Mnyarwanda ruksa kushiriki kwenye mchakato wa usahili!

Lakini hatua hiyo kwa nchi hizo tatu imeenda sambamba na kututenga Watanzania katika makubaliano hayo. Je, huu ni mwanzo wa jitihada za muda mrefu za kututoa kwenye picha? Au ni uoga wetu tu Watanzania wa kutokuwa tayari katika ushindani wa kitaaluma kwenye soko la ajira?

Unajidhalilisha kwa kutoa hoja isiyo na mashiko na mawazo ya kijinga!

Ni jambo linalokera kila wakati mtu unakuwa na negative thinking!
 
Vipi wachina wanao sukuma hata mikokotena hapa Tanzania.
Hatuwaoni ama nikiburi tuu cha ubinafsi dhidi ya majirani??
Wachina wana nunua Ardhi kqma njugu ndugu zangu.
Shituka na amka sasa wee mtanzania
 
Back
Top Bottom