Hivi sasa Uganda imetoa kibali cha kuruhusu raia wa Kenya na Rwanda kuwa huru kuingia nchini humo na kufanya kazi ambazo raia wa Uganda wanafanya. Kwa maana nyingine, ikotokea kuna nafasi ya ajira, Mkenya na Mnyarwanda ruksa kushiriki kwenye mchakato wa usahili!
Lakini hatua hiyo kwa nchi hizo tatu imeenda sambamba na kututenga Watanzania katika makubaliano hayo. Je, huu ni mwanzo wa jitihada za muda mrefu za kututoa kwenye picha? Au ni uoga wetu tu Watanzania wa kutokuwa tayari katika ushindani wa kitaaluma kwenye soko la ajira?
Lakini hatua hiyo kwa nchi hizo tatu imeenda sambamba na kututenga Watanzania katika makubaliano hayo. Je, huu ni mwanzo wa jitihada za muda mrefu za kututoa kwenye picha? Au ni uoga wetu tu Watanzania wa kutokuwa tayari katika ushindani wa kitaaluma kwenye soko la ajira?