Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 22,454
- 32,980
MAKTABA IMEFIWA: AL FATAH ONLINE TV IMEFIKA KUFANYA KIPINDI CHA TAAZIA YA MOHAMMED ABDULRAHMAN
Jana kutwa nzima napokea simu na msg za pole kisha kuulizwa mbona sijaandika taazia ya msiba wa Mohammed Abdulrahman.
Leo asubuhi Salim Rashid wa Al Fatah amekuja kutoka Zanzibar na boti ya kwanza kuja kufanya kipindi cha marehemu Mohammed Abdulrahman na wamenifahamisha kuwa ni documentary na wamezungumza na watu wengi mmojawapo akiwa Othman Miraj ambae alifanya kazi Sauti ya Ujerumani kwa miaka mingi.
Allah amfanyie wepesi ndugu yetu.
Amin.
Jana kutwa nzima napokea simu na msg za pole kisha kuulizwa mbona sijaandika taazia ya msiba wa Mohammed Abdulrahman.
Leo asubuhi Salim Rashid wa Al Fatah amekuja kutoka Zanzibar na boti ya kwanza kuja kufanya kipindi cha marehemu Mohammed Abdulrahman na wamenifahamisha kuwa ni documentary na wamezungumza na watu wengi mmojawapo akiwa Othman Miraj ambae alifanya kazi Sauti ya Ujerumani kwa miaka mingi.
Allah amfanyie wepesi ndugu yetu.
Amin.