makovu mwilini

Makovu..
1.Kichwani juu ya kope ya jicho la kushoto, nilipata ajalli mbaya sana nikawa nimepata fracture limebaki kovu
2.Begani mkono wa kushoto nilichanwa na vioo siku ya ajali
3.Makovu ya utotoni mguu wa kushoto nilimwagiwa uji na mtoto wa baba mdogo tulikua tunagombea kikombe
4.mguu wa kulia makovu nilijiunguza na uji wa Plastiki nilikua natengeneza goroli za kuchezea nguti
 
pole sana best ile ajali ilikuwa balaa tungeshakusahau ujue. Mungu bado anakuhitaji duniani umtumikie
 
mbona nipo halafu mi friend wako fb ujue

Hmmm...halafu huko fesbuk sijaingia kitambo. Hebu ngoja niingie nikafanye utafiti wewe utakuwa nani kati ya wale wabebs wote marafiki zangu.

We ndo Anna Daudi, Karen, au Bahati?
 
Hmmm...halafu huko fesbuk sijaingia kitambo. Hebu ngoja niingie nikafanye utafiti wewe utakuwa nani kati ya wale wabebs wote marafiki zangu.

We ndo Anna Daudi, Karen, au Bahati?
neizer of zem! halafu kuna mbeby mmoja ni friend wako tulikuwaga nae chuo sema alipigwa disco mwaka wa kwanza yupo marekani ni friend wako! sijui mnajuanaje aisee alikuwa noooooma noooma ! mmmh ngoja nimcheki tena
 
neizer of zem! halafu kuna mbeby mmoja ni friend wako tulikuwaga nae chuo sema alipigwa disco mwaka wa kwanza yupo marekani ni friend wako! sijui mnajuanaje aisee alikuwa noooooma noooma ! mmmh ngoja nimcheki tena

Hmm...wewe.....
 

Hakuna yaliyojificha?
 
jamaa alikuwa mkatili sana huyo, love bite gani mpaka akakuachia kovu

Hapana si love bite, ni mpenzi wangu ambae tuligombana, akaamua kuchukua kisu na kutaka kunichinja hivo nikashtuka usingizini.
Tukio hilo liliniweka kovu japo bado rohoni nina maumivu ya jambo hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…