Bakari China
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 251
- 583
mimi ndiye mchina. najifunza kiswahili chuoniWewe ni mchina kweli au mzugaji aseee
na wamekuwa kuona sisi siyo sawa?Sahihisho namba moja hapo ni "wamekuja kutuona sisi"
(Kuona)na wamekuwa kuona sisi siyo sawa?
Kwa kiswahili sanifu mwandishi hajakoseaWameku-ja. baada ya(wameku-wa) neno(wa) liko kimakosa hio sehemu
Ja-
Wa-
Kwa kiswahili sanifu mwandishi hajakosea
nashukuruAcha upotoshaji wakipumbavu
nashukuru
nafurahi sana kuwa nyote mnapenda sana kujifunza Kichina. sasa ni likizo nina nafasi ya kuwasaidia kujifunza lugha hii👀Bakari anzisha darasa utufundishe kichina
Tengeneza group ya we chat,telegram au WhatsAppnafurahi sana kuwa nyote mnapenda sana kujifunza Kichina. sasa ni likizo nina nafasi ya kuwasaidia kujifunza lugha hii👀
lakini telegram na whtsapp si available nchini China. bora tuzungumze kwenye wechatTengeneza group ya we chat,telegram au WhatsApp
Mkuu huyu mwandishi wa kitabu anatoka nchi gani?mbona ana makosa mengi?View attachment 1143324
Shikamoo wakuu. ningetaka kuwauliza kuwa "wamekuwa kuona sisi" ni sawa au la? lakini kwa kawaida tuseme "wamekuwa kutuona".
View attachment 1143325
zaidi ya hayo, "yako majirani karibu zaidi" ni sawa au siyo sawa? majirani ni mojawapo kati ya aina za watu, lazima tutumie "wako majirani karibu zaidi", je ni kweli?
asante sana
mkuu jana nilisoma kitabu hiki, kuna makosa mengi kabisa. tuone picha ya kwanza, maana ya alisema i ni nilisema. mwanatafsiri wa kitabu hiki anatoka merikani, labda alitumia mashine ya tafsiri tu.Mkuu huyu mwandishi wa kitabu anatoka nchi gani?mbona ana makosa mengi?
Sawa mkuu,tafuta kitabu kingine kama inawezekana,hasa kutoka Africa mashariki,hususani Tanzaniamkuu jana nilisoma kitabu hiki, kuna makosa mengi kabisa. tuone picha ya kwanza, maana ya alisema i ni nilisema. mwanatafsiri wa kitabu hiki anatoka merikani, labda alitumia mashine ya tafsiri tu.
haya ntajaribu. nashukuru mzeeSawa mkuu,tafuta kitabu kingine kama inawezekana,hasa kutoka Africa mashariki,hususani Tanzania