Makosa yanatokana na kitabu kimoja

Bakari China

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
251
583
1143324

Shikamoo wakuu. ningetaka kuwauliza kuwa "wamekuwa kuona sisi" ni sawa au la? lakini kwa kawaida tuseme "wamekuwa kutuona".
1143325

zaidi ya hayo, "yako majirani karibu zaidi" ni sawa au siyo sawa? majirani ni mojawapo kati ya aina za watu, lazima tutumie "wako majirani karibu zaidi", je ni kweli?
asante sana
 
View attachment 1143324
Shikamoo wakuu. ningetaka kuwauliza kuwa "wamekuwa kuona sisi" ni sawa au la? lakini kwa kawaida tuseme "wamekuwa kutuona".
View attachment 1143325

zaidi ya hayo, "yako majirani karibu zaidi" ni sawa au siyo sawa? majirani ni mojawapo kati ya aina za watu, lazima tutumie "wako majirani karibu zaidi", je ni kweli?
asante sana
Mkuu huyu mwandishi wa kitabu anatoka nchi gani?mbona ana makosa mengi?
 
Mkuu huyu mwandishi wa kitabu anatoka nchi gani?mbona ana makosa mengi?
mkuu jana nilisoma kitabu hiki, kuna makosa mengi kabisa. tuone picha ya kwanza, maana ya alisema i ni nilisema. mwanatafsiri wa kitabu hiki anatoka merikani, labda alitumia mashine ya tafsiri tu.
 
mkuu jana nilisoma kitabu hiki, kuna makosa mengi kabisa. tuone picha ya kwanza, maana ya alisema i ni nilisema. mwanatafsiri wa kitabu hiki anatoka merikani, labda alitumia mashine ya tafsiri tu.
Sawa mkuu,tafuta kitabu kingine kama inawezekana,hasa kutoka Africa mashariki,hususani Tanzania
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom