Makosa ya Maalim Seif kisasa, yatakayomuuandama katika maisha yake yote

security guard

JF-Expert Member
Sep 27, 2011
799
603
MAKOSA YA MAALIM

(Na Dkt.Muhammed Seif Khatib)

Kosa ni kushindwa kupata kitu au jambo litakiwalo. Kosa huwa pia kuvunja sharia, kanuni au dasturi jamii iliyojiwekea. Kwa waumini wa dini kwenda kinyume na makatazo yake.

Duniani mamlaka huweka adhabu kwa wakosaji. Maisha baada ya kifo, imani zinaelekezwa kuadhibiwa kwa watendao dhambi duniani. Kosa kwa mkosaji hana salama. Kosa huweza kuwa halina adhabu lakini kule kutofanikiwa kwa jambo wenye hamu nalo adhabu hiyo nayo si ndiyo. Wakati mwingine kosa la mmoja huwaadhibu wengi.

Maalim au wengine huita mwalimu ni anayefundisha kwa kutoa taaluma. Hafikiriwi wala hatarajiwi kuwa naye atatenda makosa. Imani imejengeka kuwa kila maalim anajua baya na zuri. Hatendi kosa kwa sababu ya uelewa na uweledi wake. Maalim ni ruwaza njema ya kufatwa.

Utamaduni huo ndiyo unaowapa heshima kila mtu aitwaye “Maalim”. Huko Zanzibar wanaye Maalim. Mwanasisa aliyewahi kufundisha katika Skuli ya Lumumba miaka ya sabini. Ingawa hakuwahi kusomae aualimu lakini alisomesha na hadi sasa jina limemselelea na wengine kudhania kuwa ndiyo jina lake halisi.Tamaa na hamu ya kutaka kuingia Ikulu imemtawala sana.

Alijaribu kwa kuchuana na Mzee Wakili ndani ya chama. Ingawa kiumri yeye na Wakili ni mtu na mwanawe. Busara ilikataa kumzindua kumwachia mzee wake. Kokosa nafasi ya kuteuliwa Maalim akala njama kuhakikisha Wakili hapati kura za kushinda. Ni mwanzo wa mpasuko kati ya Pemba na Unguja hadi leo. Mbegu ikapandikizwa kwa baadhi ya watu. Kumifunza wapemba kwamba yeye hakupitishwa kwa sababu ya Upemba wake.

Jeraha la Upemba na Unguja bado libichi. Hili lilikuwa kosa la alfajiri ya safari yake ya siasa. Wakili alimteua kuwa Waziri Kiongozi ili kutibu huo mpasuko. Hata hivyo, alimfanyia njama mzee Wakili akaamua kumtimua. Hili nalo kosa.

Mwalimu Nyerere akamchukua katika chama na kuwa Katibu wa Uchumi na Fedha wa NEC. Ndani ya chama akaanzisha vuguvugu chini kwa chini la kuupinga Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Pia kuendeleza mpasuko wa Upemba na Unguja.

Mwalimu Nyerere aliyekuwa kipenzi cha Maalima kakasirika na akaongoza katika kumtimua. Hili kosa jengine ndani ya chama limemugharimu. Mwaka 1995 vyama vingi vikazaliwa.

Maalim na Mapalala, maadui pacha wa Mwalimu Nyerere, wakaunda chama. Ndoa haikudumu ya mahasimu wa mwalimu hawa wawili. Mapalala akatimuliwa kwa maelekezo ya masahibu wa Maalim huko nje.

Kwa vile dhamira yake ni Urais wa Zanzibar kuachana na Mapalala si jambo la kumsumbua. Kama hoja ni kuwa ya Wanyamwezi tumbo na wapo tele bara? Hili nalo kosa. Uchaguzi ukakaribia, akaunda chama cha siasa na kukipa jina la “Chama cha Wananchi”. Jina hili kwa Kiarabu ni “Hizbuel Watan” au kwa Kimombo “Nationalist Party”. Kwa siasa za Zanzibar majina haya yanabeba dhana ya chama kilichopinduliwa na Afro-Shirazi Party kilichokuwa kinashabikiwa na Sultan Jamshid aliyepinduliwa mwaka 1964.

Kama vile hilo halitoshi Maalim na wenzake wakahubiri kuwa wakingia Ikulu, mali zote zilizotaifishwa yakiwemo majumba na Mashamba watapewa wenyewe. Chama hiki kikaungwa mkono na wakimbizi wa Mapinduzi ya Zanzibar, sehemu kubwa ya Pemba na maeneo ya Unguja ambao kabla ya Mapinduzi yalishabikiwa na chama cha Hizbu. Mwelekeo huu ukaibua hisia kali za Afro-Shirazi na kulinda “Mapinduzi” kwa wafuasi wa Chama cha Mapinduzi.

Pia ya hoja kwamba tokea mwaka 1964 hadi 2010 Zanzibar Marais wake wanatoka Unguja, Maalim akaivalia njuga ili aonewe huruma. Vipindi vitatu vya miaka kumi na tano akashindana na Salmin na Amani Karume, Maalim hakufanikiwa sera yake Upemba na kuyabeza Mapinduzi. Hili kosa jengine la Maalim.

Mwaka 2010 mgombea kupitia CCM kwa mara ya kwanza akatoka Pemba na akawa Mpemba halisi. Hoja ya ukame wa wagombea wa Urais kutoka Pemba ikafa. Hoja nyingine zikaendelea. Mwaka wa jana Maalim akafanya makosa mengi zaidi.

Hoja ya UKAWA ikamtafuna. Yeye Maalim ni mbinafsi sana. Ukinyemelea masilahi yake ya uongozi na Urais wa Zanzibar, atakuandama. Mnakumbuka alipogombanana Prof Safari na Hamad Rashid walipotaka nafasi yake. Wote walitimuliwa.

Yeye madhali UKAWA hautagusa Urais wa Zanzibar hatagombana na mtu. Kwa kujithamini yeye tu akamtelekeza sahiba wake wa karibu Prof Lipumba katika Urais Muungano na kumthamini Lowassa agombee Urais wa Muungano. Lipumba akawa muhanga kama Mapalala, Hamad Rashid, Prof. Safari, Juma Othman, Fatuma Maghimbi na wengine kama hao.

Hili kosa la kusababisha kukimbiwa na Mwenyekiti wake na mwandani wake. Kosa jengine ni lile la kupanga uhalifu wa kuiba kura zaidi ya laki mbili katika mazingira ya uchaguzi wa Zanzibar wenyewe ushindani. Tokea mfumo wa vyama vingi ushindi unakuwa wa elifu chache.

Sina haja kuelezea mbinu chafu tokea CCM kunyimwa mawakala, vituo bubu kuwepo, wapiga kura kupigwa Pemba, matokeo ya vituo kuletwa asubuhi ya siku ya pili ya uchaguzi na sehemu nyingi matokeo yanaonesha watu wote wamepiga kura hapana aloumwa au kufa. Na kila kituo kura zake Maalim akaongoza CCM yafatia na hakuna vyama vyengine.

Makosa ya kwanza kujitangazia yeye mwenyewe ushindi Maalim. Hili kosa lilitosha kumtia hatiani. Kosa la pili, kuita waandishi wa habari na kumpa Rais Shein amri ya mwisho “altimetum” ya saa 48 hapo tarehe 02.02.16 awe amehama Ikulu. Endapo asipofanya hivyo nguvu za umma itatumika. Muda umefika Rais Shein hakuondoka Ikulu na nguvu za umma hazikuonekana.

Kosa jengine la Kuwataka mawaziri wa Chama chake wasiende kazini kwani muda wa serekali umekwisha. Yeye anaendelea kwenda kazini, kuwa Makamo wa Rais, analindwa, analishwa, analipwa na kuhudumiwa matibabu ya India, Hindu mandal, na huduma sasa za hotel ya kitalii.Yeye kubaki na uluwa, madaraka na mamlaka sawa. Kosa jengine la kuweka siku ya kuuapishwa yeye. Amewapa watu tamaa na matumaini. Siku haikufika hadi sasa.
Ili Rais kuapishwa lazima uwepo uchaguzi wa halali na huru. Lazima mgombea ashinde, atangazwe na Tume na hatimaye aapishwe na Jaji Mkuu wa Zanzibar. Maalim hawezi kuwa Rais bila kufata utaratibu huu.

Kosa linalofata ni kutaka mazungumzo kabla kufika mwisho kukimbia meza ya mazungumzo. Kutoa siri ya mazungumzo hadharani kinyume na makubaliano. Huku ni kuwadharau viongozi wenzake walioombwa kuwepo katika meza ya mazungumzo. Kosa kubwa kuliko yote aliyoyafanya katika siasa ni kuwazuia wenzake wawakilishi wasigombee kwa sababu yeye hakushinda.

Kuwakataza wafuasi wake wasipige kura kuchagua watu wawapendao. Hii ni dhambi kubwa ya kisasa itakayomuuandama katika maisha yake yote. Historia itamuhukumu Maalim.


Watani”
 
MAKOSA YA MAALIM

(Na Dkt.Muhammed Seif Khatib)

Kosa ni kushindwa kupata kitu au jambo litakiwalo. Kosa huwa pia kuvunja sharia, kanuni au dasturi jamii iliyojiwekea. Kwa waumini wa dini kwenda kinyume na makatazo yake. Duniani mamlaka huweka adhabu kwa wakosaji. Maisha baada ya kifo, imani zinaelekezwa kuadhibiwa kwa watendao dhambi duniani. Kosa kwa mkosaji hana salama. Kosa huweza kuwa halina adhabu lakini kule kutofanikiwa kwa jambo wenye hamu nalo adhabu hiyo nayo si ndiyo. Wakati mwingine kosa la mmoja huwaadhibu wengi. Maalim au wengine huita mwalimu ni anayefundisha kwa kutoa taaluma. Hafikiriwi wala hatarajiwi kuwa naye atatenda makosa. Imani imejengeka kuwa kila maalim anajua baya na zuri. Hatendi kosa kwa sababu ya uelewa na uweledi wake. Maalim ni ruwaza njema ya kufatwa. Utamaduni huo ndiyo unaowapa heshima kila mtu aitwaye “Maalim”. Huko Zanzibar wanaye Maalim. Mwanasisa aliyewahi kufundisha katika Skuli ya Lumumba miaka ya sabini. Ingawa hakuwahi kusomae aualimu lakini alisomesha na hadi sasa jina limemselelea na wengine kudhania kuwa ndiyo jina lake halisi.Tamaa na hamu ya kutaka kuingia Ikulu imemtawala sana. Alijaribu kwa kuchuana na Mzee Wakili ndani ya chama. Ingawa kiumri yeye na Wakili ni mtu na mwanawe. Busara ilikataa kumzindua kumwachia mzee wake. Kokosa nafasi ya kuteuliwa Maalim akala njama kuhakikisha Wakili hapati kura za kushinda. Ni mwanzo wa mpasuko kati ya Pemba na Unguja hadi leo. Mbegu ikapandikizwa kwa baadhi ya watu. Kumifunza wa Pemba kwamba yeye hakupitishwa kwa sababu ya Upemba wake. Jeraha la Upemba na Unguja bado libichi. Hili lilikuwa kosa la alfajiri ya safari yake ya siasa. Wakili alimteua kuwa Waziri Kiongozi ili kutibu huo mpasuko. Hata hivyo, alimfanyia njama mzee Wakili akaamua kumtimua. Hili nalo kosa. Mwalimu Nyerere akamchukua katika chama na kuwa Katibu wa Uchumi na Fedha wa NEC. Ndani ya chama akaanzisha vuguvugu chini kwa chini la kuupinga Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Pia kuendeleza mpasuko wa Upemba na Unguja. Mwalimu Nyerere aliyekuwa kipenzi cha Maalima kakasirika na akaongoza katika kumtimua. Hili kosa jengine ndani ya chama limemugharimu. Mwaka 1995 vyama vingi vikazaliwa. Maalim na Mapalala, maadui pacha wa Mwalimu Nyerere, wakaunda chama. Ndoa haikudumu ya mahasimu wa mwalimu hawa wawili. Mapalala akatimuliwa kwa maelekezo ya masahibu wa Maalim huko nje. Kwa vile dhamira yake ni Urais wa Zanzibar kuachana na Mapalala si jambo la kumsumbua. Kama hoja ni kuwa ya Wanyamwezi tumbo na wapo tele bara?.Hili nalo kosa. Uchaguzi ukakaribia, akaunda chama cha siasa na kukipa jina la “Chama cha Wananchi”. Jina hili kwa Kiarabu ni “Hizbuel Watan” au kwa Kimombo “Nationalist Party”. Kwa siasa za Zanzibar majina haya yanabeba dhana ya chama kilichopinduliwa na Afro-Shirazi Party kilichokuwa kinashabikiwa na Sultan Jamshid aliyepinduliwa mwaka 1964. Kama vile hilo halitoshi Maalim na wenzake wakahubiri kuwa wakingia Ikulu, mali zote zilizotaifishwa yakiwemo majumba na Mashamba watapewa wenyewe. Chama hiki kikaungwa mkono na wakimbizi wa Mapinduzi ya Zanzibar, sehemu kubwa ya Pemba na maeneo ya Unguja ambao kabla ya Mapinduzi yalishabikiwa na chama cha Hizbu. Mwelekeo huu ukaibua hisia kali za Afro-Shirazi na kulinda “Mapinduzi” kwa wafuasi wa Chama cha Mapinduzi. Pia ya hoja kwamba tokea mwaka 1964 hadi 2010 Zanzibar Marais wake wanatoka Unguja, Maalim akaivalia njuga ili aonewe huruma. Vipindi vitatu vya miaka kumi na tano akashindana na Salmin na Amani Karume, Maalim hakufanikiwa sera yake Upemba na kuyabeza Mapinduzi. Hili kosa jengine la Maalim. Mwaka 2010 mgombea kupitia CCM kwa mara ya kwanza akatoka Pemba na akawa Mpemba halisi. Hoja ya ukame wa wagombea wa Urais kutoka Pemba ikafa. Hoja nyingine zikaendelea. Mwaka wa jana Maalim akafanya makosa mengi zaidi. Hoja ya UKAWA ikamtafuna. Yeye Maalimni mbinafsi sana. Ukinyemelea masilahi yake ya uongozi na Urais wa Zanzibar, atakuandama. Mnakumbuka alipogombanana Prof Safari na Hamad Rashid walipotaka nafasi yake. Wote walitimuliwa. Yeye madhali UKAWA hautagusa Urais wa Zanzibar hatagombana na mtu. Kwa kujithamini yeye tu akamtelekeza sahiba wake wa karibu Prof Lipumba katika Urais Muungano na kumthamini Luwassa agombee Urais wa Muungano. Lipumba akawa muhanga kama Mapalala, Hamad Rashid, Prof. Safari, Juma Othman, Fatuma Maghimbi na wengine kama hao. Hili kosa la kusababisha kukimbiwa na Mwenyekiti wake na mwandani wake. Kosa jengine ni lile la kupanga uhalifu wa kuiba kura zaidi ya laki mbili katika mazingira ya uchaguzi wa Zanzibar wenyewe ushindani. Tokea mfumo wa vyama vingi ushindi unakuwa wa elifu chache. Sina haja kuelezea mbinu chafu tokea CCM kunyimwa mawakala, vituo bubu kuwepo, wapiga kura kupigwa Pemba, matokeo ya vituo kuletwa asubuhi ya siku ya pili ya uchaguzi na sehemu nyingi matokeo yanaonesha watu wote wamepiga kura hapana aloumwa au kufa. Na kila kituo kura zake Maalim akaongoza CCM yafatia na hakuna vyama vyengine. Makosa ya kwanza kujitangazia yeye mwenyewe ushindi Maalim. Hili kosa lilitosha kumtia hatiani. Kosa la pili, kuita waandishi wa habari na kumpa Rais Shein amri ya mwisho “altimetum” ya saa 48 hapo tarehe 02.02.16 awe amehama Ikulu. Endapo asipofanya hivyo nguvu za umma itatumika. Muda umefika Rais Shein hakuondoka Ikulu na nguvu za umma hazikuonekana. Kosa jengine la Kuwataka mawaziri wa Chama chake wasiende kazini kwani muda wa serekali umekwisha. Yeye anaendelea kwenda kazini, kuwa Makamo wa Rais, analindwa, analishwa, analipwa na kuhudumiwa matibabu ya India, Hindu mandal, na huduma sasa za hotel ya kitalii.Yeye kubaki na uluwam, madaraka na mamlaka sawa. Kosa jengine la kuweka siku ya kuuapishwa yeye. Amewapa watu tamaa na matumaini. Siku haikufika hadi sasa. Ili Rais kuapishwa lazima uwepo uchaguzi wa halali na huru. Lazima mgombea ashinde, atangazwe na Tume na hatimaye aapishwe na Jaji Mkuu wa Zanzibar.Maalim hawezi kuwa Rais bila kufata utaratibu huu.Kosa linalofata ni kutaka mazungumzo kabla kufika mwisho kukimbia meza ya mazungumzo. Kutoa siri ya mazungumzo hadharani kinyume na makubaliano. Huku ni kuwadharau viongozi wenzake walioombwa kuwepo katika meza ya mazungumzo. Kosa kubwa kuliko yote aliyoyafanya katika siasa ni kuwazuia wenzake wawawakilishi wasigombee kwa sababu yeye hakushinda. Kuwakataza wafuasi wake wasipige kura kuchagua watu wawapendao. Hii ni dhambi kubwa ya kisasa itakayomuuandama katika maisha yake yote. Historia itamuhukumu Maalim.


Watani”
Mkuu huyu babu unayemuongelea mbona tulishamsahau tayari?Ila umeanalyse vizuri hasa hapo mwisho kwenye kosa kubwa kuliko yote.....
 
MAKOSA YA MAALIM

(Na Dkt.Muhammed Seif Khatib)

Kosa ni kushindwa kupata kitu au jambo litakiwalo. Kosa huwa pia kuvunja sharia, kanuni au dasturi jamii iliyojiwekea. Kwa waumini wa dini kwenda kinyume na makatazo yake.

Duniani mamlaka huweka adhabu kwa wakosaji. Maisha baada ya kifo, imani zinaelekezwa kuadhibiwa kwa watendao dhambi duniani. Kosa kwa mkosaji hana salama. Kosa huweza kuwa halina adhabu lakini kule kutofanikiwa kwa jambo wenye hamu nalo adhabu hiyo nayo si ndiyo. Wakati mwingine kosa la mmoja huwaadhibu wengi.

Maalim au wengine huita mwalimu ni anayefundisha kwa kutoa taaluma. Hafikiriwi wala hatarajiwi kuwa naye atatenda makosa. Imani imejengeka kuwa kila maalim anajua baya na zuri. Hatendi kosa kwa sababu ya uelewa na uweledi wake. Maalim ni ruwaza njema ya kufatwa.

Utamaduni huo ndiyo unaowapa heshima kila mtu aitwaye “Maalim”. Huko Zanzibar wanaye Maalim. Mwanasisa aliyewahi kufundisha katika Skuli ya Lumumba miaka ya sabini. Ingawa hakuwahi kusomae aualimu lakini alisomesha na hadi sasa jina limemselelea na wengine kudhania kuwa ndiyo jina lake halisi.Tamaa na hamu ya kutaka kuingia Ikulu imemtawala sana.

Alijaribu kwa kuchuana na Mzee Wakili ndani ya chama. Ingawa kiumri yeye na Wakili ni mtu na mwanawe. Busara ilikataa kumzindua kumwachia mzee wake. Kokosa nafasi ya kuteuliwa Maalim akala njama kuhakikisha Wakili hapati kura za kushinda. Ni mwanzo wa mpasuko kati ya Pemba na Unguja hadi leo. Mbegu ikapandikizwa kwa baadhi ya watu. Kumifunza wapemba kwamba yeye hakupitishwa kwa sababu ya Upemba wake.

Jeraha la Upemba na Unguja bado libichi. Hili lilikuwa kosa la alfajiri ya safari yake ya siasa. Wakili alimteua kuwa Waziri Kiongozi ili kutibu huo mpasuko. Hata hivyo, alimfanyia njama mzee Wakili akaamua kumtimua. Hili nalo kosa.

Mwalimu Nyerere akamchukua katika chama na kuwa Katibu wa Uchumi na Fedha wa NEC. Ndani ya chama akaanzisha vuguvugu chini kwa chini la kuupinga Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Pia kuendeleza mpasuko wa Upemba na Unguja.

Mwalimu Nyerere aliyekuwa kipenzi cha Maalima kakasirika na akaongoza katika kumtimua. Hili kosa jengine ndani ya chama limemugharimu. Mwaka 1995 vyama vingi vikazaliwa.

Maalim na Mapalala, maadui pacha wa Mwalimu Nyerere, wakaunda chama. Ndoa haikudumu ya mahasimu wa mwalimu hawa wawili. Mapalala akatimuliwa kwa maelekezo ya masahibu wa Maalim huko nje.

Kwa vile dhamira yake ni Urais wa Zanzibar kuachana na Mapalala si jambo la kumsumbua. Kama hoja ni kuwa ya Wanyamwezi tumbo na wapo tele bara? Hili nalo kosa. Uchaguzi ukakaribia, akaunda chama cha siasa na kukipa jina la “Chama cha Wananchi”. Jina hili kwa Kiarabu ni “Hizbuel Watan” au kwa Kimombo “Nationalist Party”. Kwa siasa za Zanzibar majina haya yanabeba dhana ya chama kilichopinduliwa na Afro-Shirazi Party kilichokuwa kinashabikiwa na Sultan Jamshid aliyepinduliwa mwaka 1964.

Kama vile hilo halitoshi Maalim na wenzake wakahubiri kuwa wakingia Ikulu, mali zote zilizotaifishwa yakiwemo majumba na Mashamba watapewa wenyewe. Chama hiki kikaungwa mkono na wakimbizi wa Mapinduzi ya Zanzibar, sehemu kubwa ya Pemba na maeneo ya Unguja ambao kabla ya Mapinduzi yalishabikiwa na chama cha Hizbu. Mwelekeo huu ukaibua hisia kali za Afro-Shirazi na kulinda “Mapinduzi” kwa wafuasi wa Chama cha Mapinduzi.

Pia ya hoja kwamba tokea mwaka 1964 hadi 2010 Zanzibar Marais wake wanatoka Unguja, Maalim akaivalia njuga ili aonewe huruma. Vipindi vitatu vya miaka kumi na tano akashindana na Salmin na Amani Karume, Maalim hakufanikiwa sera yake Upemba na kuyabeza Mapinduzi. Hili kosa jengine la Maalim.

Mwaka 2010 mgombea kupitia CCM kwa mara ya kwanza akatoka Pemba na akawa Mpemba halisi. Hoja ya ukame wa wagombea wa Urais kutoka Pemba ikafa. Hoja nyingine zikaendelea. Mwaka wa jana Maalim akafanya makosa mengi zaidi.

Hoja ya UKAWA ikamtafuna. Yeye Maalim ni mbinafsi sana. Ukinyemelea masilahi yake ya uongozi na Urais wa Zanzibar, atakuandama. Mnakumbuka alipogombanana Prof Safari na Hamad Rashid walipotaka nafasi yake. Wote walitimuliwa.

Yeye madhali UKAWA hautagusa Urais wa Zanzibar hatagombana na mtu. Kwa kujithamini yeye tu akamtelekeza sahiba wake wa karibu Prof Lipumba katika Urais Muungano na kumthamini Lowassa agombee Urais wa Muungano. Lipumba akawa muhanga kama Mapalala, Hamad Rashid, Prof. Safari, Juma Othman, Fatuma Maghimbi na wengine kama hao.

Hili kosa la kusababisha kukimbiwa na Mwenyekiti wake na mwandani wake. Kosa jengine ni lile la kupanga uhalifu wa kuiba kura zaidi ya laki mbili katika mazingira ya uchaguzi wa Zanzibar wenyewe ushindani. Tokea mfumo wa vyama vingi ushindi unakuwa wa elifu chache.

Sina haja kuelezea mbinu chafu tokea CCM kunyimwa mawakala, vituo bubu kuwepo, wapiga kura kupigwa Pemba, matokeo ya vituo kuletwa asubuhi ya siku ya pili ya uchaguzi na sehemu nyingi matokeo yanaonesha watu wote wamepiga kura hapana aloumwa au kufa. Na kila kituo kura zake Maalim akaongoza CCM yafatia na hakuna vyama vyengine.

Makosa ya kwanza kujitangazia yeye mwenyewe ushindi Maalim. Hili kosa lilitosha kumtia hatiani. Kosa la pili, kuita waandishi wa habari na kumpa Rais Shein amri ya mwisho “altimetum” ya saa 48 hapo tarehe 02.02.16 awe amehama Ikulu. Endapo asipofanya hivyo nguvu za umma itatumika. Muda umefika Rais Shein hakuondoka Ikulu na nguvu za umma hazikuonekana.

Kosa jengine la Kuwataka mawaziri wa Chama chake wasiende kazini kwani muda wa serekali umekwisha. Yeye anaendelea kwenda kazini, kuwa Makamo wa Rais, analindwa, analishwa, analipwa na kuhudumiwa matibabu ya India, Hindu mandal, na huduma sasa za hotel ya kitalii.Yeye kubaki na uluwa, madaraka na mamlaka sawa. Kosa jengine la kuweka siku ya kuuapishwa yeye. Amewapa watu tamaa na matumaini. Siku haikufika hadi sasa.
Ili Rais kuapishwa lazima uwepo uchaguzi wa halali na huru. Lazima mgombea ashinde, atangazwe na Tume na hatimaye aapishwe na Jaji Mkuu wa Zanzibar. Maalim hawezi kuwa Rais bila kufata utaratibu huu.

Kosa linalofata ni kutaka mazungumzo kabla kufika mwisho kukimbia meza ya mazungumzo. Kutoa siri ya mazungumzo hadharani kinyume na makubaliano. Huku ni kuwadharau viongozi wenzake walioombwa kuwepo katika meza ya mazungumzo. Kosa kubwa kuliko yote aliyoyafanya katika siasa ni kuwazuia wenzake wawakilishi wasigombee kwa sababu yeye hakushinda.

Kuwakataza wafuasi wake wasipige kura kuchagua watu wawapendao. Hii ni dhambi kubwa ya kisasa itakayomuuandama katika maisha yake yote. Historia itamuhukumu Maalim.


Watani”
Makosa ya kuungaunga na kutafta kwa torch.
Mmewanyima watz msaada kwa tamaa zenu...shame
 
MAKOSA YA MAALIM

(Na Dkt.Muhammed Seif Khatib)

Kosa ni kushindwa kupata kitu au jambo litakiwalo. Kosa huwa pia kuvunja sharia, kanuni au dasturi jamii iliyojiwekea. Kwa waumini wa dini kwenda kinyume na makatazo yake.

Duniani mamlaka huweka adhabu kwa wakosaji. Maisha baada ya kifo, imani zinaelekezwa kuadhibiwa kwa watendao dhambi duniani. Kosa kwa mkosaji hana salama. Kosa huweza kuwa halina adhabu lakini kule kutofanikiwa kwa jambo wenye hamu nalo adhabu hiyo nayo si ndiyo. Wakati mwingine kosa la mmoja huwaadhibu wengi.

Maalim au wengine huita mwalimu ni anayefundisha kwa kutoa taaluma. Hafikiriwi wala hatarajiwi kuwa naye atatenda makosa. Imani imejengeka kuwa kila maalim anajua baya na zuri. Hatendi kosa kwa sababu ya uelewa na uweledi wake. Maalim ni ruwaza njema ya kufatwa.

Utamaduni huo ndiyo unaowapa heshima kila mtu aitwaye “Maalim”. Huko Zanzibar wanaye Maalim. Mwanasisa aliyewahi kufundisha katika Skuli ya Lumumba miaka ya sabini. Ingawa hakuwahi kusomae aualimu lakini alisomesha na hadi sasa jina limemselelea na wengine kudhania kuwa ndiyo jina lake halisi.Tamaa na hamu ya kutaka kuingia Ikulu imemtawala sana.

Alijaribu kwa kuchuana na Mzee Wakili ndani ya chama. Ingawa kiumri yeye na Wakili ni mtu na mwanawe. Busara ilikataa kumzindua kumwachia mzee wake. Kokosa nafasi ya kuteuliwa Maalim akala njama kuhakikisha Wakili hapati kura za kushinda. Ni mwanzo wa mpasuko kati ya Pemba na Unguja hadi leo. Mbegu ikapandikizwa kwa baadhi ya watu. Kumifunza wapemba kwamba yeye hakupitishwa kwa sababu ya Upemba wake.

Jeraha la Upemba na Unguja bado libichi. Hili lilikuwa kosa la alfajiri ya safari yake ya siasa. Wakili alimteua kuwa Waziri Kiongozi ili kutibu huo mpasuko. Hata hivyo, alimfanyia njama mzee Wakili akaamua kumtimua. Hili nalo kosa.

Mwalimu Nyerere akamchukua katika chama na kuwa Katibu wa Uchumi na Fedha wa NEC. Ndani ya chama akaanzisha vuguvugu chini kwa chini la kuupinga Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Pia kuendeleza mpasuko wa Upemba na Unguja.

Mwalimu Nyerere aliyekuwa kipenzi cha Maalima kakasirika na akaongoza katika kumtimua. Hili kosa jengine ndani ya chama limemugharimu. Mwaka 1995 vyama vingi vikazaliwa.

Maalim na Mapalala, maadui pacha wa Mwalimu Nyerere, wakaunda chama. Ndoa haikudumu ya mahasimu wa mwalimu hawa wawili. Mapalala akatimuliwa kwa maelekezo ya masahibu wa Maalim huko nje.

Kwa vile dhamira yake ni Urais wa Zanzibar kuachana na Mapalala si jambo la kumsumbua. Kama hoja ni kuwa ya Wanyamwezi tumbo na wapo tele bara? Hili nalo kosa. Uchaguzi ukakaribia, akaunda chama cha siasa na kukipa jina la “Chama cha Wananchi”. Jina hili kwa Kiarabu ni “Hizbuel Watan” au kwa Kimombo “Nationalist Party”. Kwa siasa za Zanzibar majina haya yanabeba dhana ya chama kilichopinduliwa na Afro-Shirazi Party kilichokuwa kinashabikiwa na Sultan Jamshid aliyepinduliwa mwaka 1964.

Kama vile hilo halitoshi Maalim na wenzake wakahubiri kuwa wakingia Ikulu, mali zote zilizotaifishwa yakiwemo majumba na Mashamba watapewa wenyewe. Chama hiki kikaungwa mkono na wakimbizi wa Mapinduzi ya Zanzibar, sehemu kubwa ya Pemba na maeneo ya Unguja ambao kabla ya Mapinduzi yalishabikiwa na chama cha Hizbu. Mwelekeo huu ukaibua hisia kali za Afro-Shirazi na kulinda “Mapinduzi” kwa wafuasi wa Chama cha Mapinduzi.

Pia ya hoja kwamba tokea mwaka 1964 hadi 2010 Zanzibar Marais wake wanatoka Unguja, Maalim akaivalia njuga ili aonewe huruma. Vipindi vitatu vya miaka kumi na tano akashindana na Salmin na Amani Karume, Maalim hakufanikiwa sera yake Upemba na kuyabeza Mapinduzi. Hili kosa jengine la Maalim.

Mwaka 2010 mgombea kupitia CCM kwa mara ya kwanza akatoka Pemba na akawa Mpemba halisi. Hoja ya ukame wa wagombea wa Urais kutoka Pemba ikafa. Hoja nyingine zikaendelea. Mwaka wa jana Maalim akafanya makosa mengi zaidi.

Hoja ya UKAWA ikamtafuna. Yeye Maalim ni mbinafsi sana. Ukinyemelea masilahi yake ya uongozi na Urais wa Zanzibar, atakuandama. Mnakumbuka alipogombanana Prof Safari na Hamad Rashid walipotaka nafasi yake. Wote walitimuliwa.

Yeye madhali UKAWA hautagusa Urais wa Zanzibar hatagombana na mtu. Kwa kujithamini yeye tu akamtelekeza sahiba wake wa karibu Prof Lipumba katika Urais Muungano na kumthamini Lowassa agombee Urais wa Muungano. Lipumba akawa muhanga kama Mapalala, Hamad Rashid, Prof. Safari, Juma Othman, Fatuma Maghimbi na wengine kama hao.

Hili kosa la kusababisha kukimbiwa na Mwenyekiti wake na mwandani wake. Kosa jengine ni lile la kupanga uhalifu wa kuiba kura zaidi ya laki mbili katika mazingira ya uchaguzi wa Zanzibar wenyewe ushindani. Tokea mfumo wa vyama vingi ushindi unakuwa wa elifu chache.

Sina haja kuelezea mbinu chafu tokea CCM kunyimwa mawakala, vituo bubu kuwepo, wapiga kura kupigwa Pemba, matokeo ya vituo kuletwa asubuhi ya siku ya pili ya uchaguzi na sehemu nyingi matokeo yanaonesha watu wote wamepiga kura hapana aloumwa au kufa. Na kila kituo kura zake Maalim akaongoza CCM yafatia na hakuna vyama vyengine.

Makosa ya kwanza kujitangazia yeye mwenyewe ushindi Maalim. Hili kosa lilitosha kumtia hatiani. Kosa la pili, kuita waandishi wa habari na kumpa Rais Shein amri ya mwisho “altimetum” ya saa 48 hapo tarehe 02.02.16 awe amehama Ikulu. Endapo asipofanya hivyo nguvu za umma itatumika. Muda umefika Rais Shein hakuondoka Ikulu na nguvu za umma hazikuonekana.

Kosa jengine la Kuwataka mawaziri wa Chama chake wasiende kazini kwani muda wa serekali umekwisha. Yeye anaendelea kwenda kazini, kuwa Makamo wa Rais, analindwa, analishwa, analipwa na kuhudumiwa matibabu ya India, Hindu mandal, na huduma sasa za hotel ya kitalii.Yeye kubaki na uluwa, madaraka na mamlaka sawa. Kosa jengine la kuweka siku ya kuuapishwa yeye. Amewapa watu tamaa na matumaini. Siku haikufika hadi sasa.
Ili Rais kuapishwa lazima uwepo uchaguzi wa halali na huru. Lazima mgombea ashinde, atangazwe na Tume na hatimaye aapishwe na Jaji Mkuu wa Zanzibar. Maalim hawezi kuwa Rais bila kufata utaratibu huu.

Kosa linalofata ni kutaka mazungumzo kabla kufika mwisho kukimbia meza ya mazungumzo. Kutoa siri ya mazungumzo hadharani kinyume na makubaliano. Huku ni kuwadharau viongozi wenzake walioombwa kuwepo katika meza ya mazungumzo. Kosa kubwa kuliko yote aliyoyafanya katika siasa ni kuwazuia wenzake wawakilishi wasigombee kwa sababu yeye hakushinda.

Kuwakataza wafuasi wake wasipige kura kuchagua watu wawapendao. Hii ni dhambi kubwa ya kisasa itakayomuuandama katika maisha yake yote. Historia itamuhukumu Maalim.


Watani”
CCM hawana kosa, au umeona makosa ya Maalimu tu!
 
Kosa kubwa kuliko yote ni kuikosesha nchi matrilion ya fedha, na kuendelea kuporomoa shilingi ya Tanzania, ngojen tu bado, tutaongea sana.
 
Huyu seif khatib akili hana mbona hasemi tangu alipotoka mwinyi hakuna mzanzbar alokuwa rais tanganyika? Hilo mbona hawalion? Chiz sana huyu mzee chakula tu
 
Kumbe alikua ccm mwenzenu .leo mnadanganya watu eti anataka kuleta waarabu .huyu mzee anachuki binafsi na maalim seifu

Kosa kubwa ni jecha wa ccm kufuta matokeo .

Ata ukamkashifu vipi atabaki milele kuwa kipenzi cha wanzibari .na mnamuogopa kwa sababu ndio chaguo lao .

Mnaleta vistori vya kizamani .katika nyakati za vijana wanaotaka mabadiliko
 
Mm nilidhani unaeleza ukweli kumbe ni siasa za ccm zimekujaa .hahahaha yagujuuuuu .Maalim mwanzo mwisho kwa siasa za znz.
 
Kumbe alikua ccm mwenzenu .leo mnadanganya watu eti anataka kuleta waarabu .huyu mzee anachuki binafsi na maalim seifu

Kosa kubwa ni jecha wa ccm kufuta matokeo .

Ata ukamkashifu vipi atabaki milele kuwa kipenzi cha wanzibari .na mnamuogopa kwa sababu ndio chaguo lao .

Mnaleta vistori vya kizamani .katika nyakati za vijana wanaotaka mabadiliko



SIJAWAHI KUMUELEWA HUYO MUANDIKA WARAKA....
 
MAKOSA YA MAALIM

(Na Dkt.Muhammed Seif Khatib)

Kosa ni kushindwa kupata kitu au jambo litakiwalo. Kosa huwa pia kuvunja sharia, kanuni au dasturi jamii iliyojiwekea. Kwa waumini wa dini kwenda kinyume na makatazo yake.

Duniani mamlaka huweka adhabu kwa wakosaji. Maisha baada ya kifo, imani zinaelekezwa kuadhibiwa kwa watendao dhambi duniani. Kosa kwa mkosaji hana salama. Kosa huweza kuwa halina adhabu lakini kule kutofanikiwa kwa jambo wenye hamu nalo adhabu hiyo nayo si ndiyo. Wakati mwingine kosa la mmoja huwaadhibu wengi.

Maalim au wengine huita mwalimu ni anayefundisha kwa kutoa taaluma. Hafikiriwi wala hatarajiwi kuwa naye atatenda makosa. Imani imejengeka kuwa kila maalim anajua baya na zuri. Hatendi kosa kwa sababu ya uelewa na uweledi wake. Maalim ni ruwaza njema ya kufatwa.

Utamaduni huo ndiyo unaowapa heshima kila mtu aitwaye “Maalim”. Huko Zanzibar wanaye Maalim. Mwanasisa aliyewahi kufundisha katika Skuli ya Lumumba miaka ya sabini. Ingawa hakuwahi kusomae aualimu lakini alisomesha na hadi sasa jina limemselelea na wengine kudhania kuwa ndiyo jina lake halisi.Tamaa na hamu ya kutaka kuingia Ikulu imemtawala sana.

Alijaribu kwa kuchuana na Mzee Wakili ndani ya chama. Ingawa kiumri yeye na Wakili ni mtu na mwanawe. Busara ilikataa kumzindua kumwachia mzee wake. Kokosa nafasi ya kuteuliwa Maalim akala njama kuhakikisha Wakili hapati kura za kushinda. Ni mwanzo wa mpasuko kati ya Pemba na Unguja hadi leo. Mbegu ikapandikizwa kwa baadhi ya watu. Kumifunza wapemba kwamba yeye hakupitishwa kwa sababu ya Upemba wake.

Jeraha la Upemba na Unguja bado libichi. Hili lilikuwa kosa la alfajiri ya safari yake ya siasa. Wakili alimteua kuwa Waziri Kiongozi ili kutibu huo mpasuko. Hata hivyo, alimfanyia njama mzee Wakili akaamua kumtimua. Hili nalo kosa.

Mwalimu Nyerere akamchukua katika chama na kuwa Katibu wa Uchumi na Fedha wa NEC. Ndani ya chama akaanzisha vuguvugu chini kwa chini la kuupinga Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Pia kuendeleza mpasuko wa Upemba na Unguja.

Mwalimu Nyerere aliyekuwa kipenzi cha Maalima kakasirika na akaongoza katika kumtimua. Hili kosa jengine ndani ya chama limemugharimu. Mwaka 1995 vyama vingi vikazaliwa.

Maalim na Mapalala, maadui pacha wa Mwalimu Nyerere, wakaunda chama. Ndoa haikudumu ya mahasimu wa mwalimu hawa wawili. Mapalala akatimuliwa kwa maelekezo ya masahibu wa Maalim huko nje.

Kwa vile dhamira yake ni Urais wa Zanzibar kuachana na Mapalala si jambo la kumsumbua. Kama hoja ni kuwa ya Wanyamwezi tumbo na wapo tele bara? Hili nalo kosa. Uchaguzi ukakaribia, akaunda chama cha siasa na kukipa jina la “Chama cha Wananchi”. Jina hili kwa Kiarabu ni “Hizbuel Watan” au kwa Kimombo “Nationalist Party”. Kwa siasa za Zanzibar majina haya yanabeba dhana ya chama kilichopinduliwa na Afro-Shirazi Party kilichokuwa kinashabikiwa na Sultan Jamshid aliyepinduliwa mwaka 1964.

Kama vile hilo halitoshi Maalim na wenzake wakahubiri kuwa wakingia Ikulu, mali zote zilizotaifishwa yakiwemo majumba na Mashamba watapewa wenyewe. Chama hiki kikaungwa mkono na wakimbizi wa Mapinduzi ya Zanzibar, sehemu kubwa ya Pemba na maeneo ya Unguja ambao kabla ya Mapinduzi yalishabikiwa na chama cha Hizbu. Mwelekeo huu ukaibua hisia kali za Afro-Shirazi na kulinda “Mapinduzi” kwa wafuasi wa Chama cha Mapinduzi.

Pia ya hoja kwamba tokea mwaka 1964 hadi 2010 Zanzibar Marais wake wanatoka Unguja, Maalim akaivalia njuga ili aonewe huruma. Vipindi vitatu vya miaka kumi na tano akashindana na Salmin na Amani Karume, Maalim hakufanikiwa sera yake Upemba na kuyabeza Mapinduzi. Hili kosa jengine la Maalim.

Mwaka 2010 mgombea kupitia CCM kwa mara ya kwanza akatoka Pemba na akawa Mpemba halisi. Hoja ya ukame wa wagombea wa Urais kutoka Pemba ikafa. Hoja nyingine zikaendelea. Mwaka wa jana Maalim akafanya makosa mengi zaidi.

Hoja ya UKAWA ikamtafuna. Yeye Maalim ni mbinafsi sana. Ukinyemelea masilahi yake ya uongozi na Urais wa Zanzibar, atakuandama. Mnakumbuka alipogombanana Prof Safari na Hamad Rashid walipotaka nafasi yake. Wote walitimuliwa.

Yeye madhali UKAWA hautagusa Urais wa Zanzibar hatagombana na mtu. Kwa kujithamini yeye tu akamtelekeza sahiba wake wa karibu Prof Lipumba katika Urais Muungano na kumthamini Lowassa agombee Urais wa Muungano. Lipumba akawa muhanga kama Mapalala, Hamad Rashid, Prof. Safari, Juma Othman, Fatuma Maghimbi na wengine kama hao.

Hili kosa la kusababisha kukimbiwa na Mwenyekiti wake na mwandani wake. Kosa jengine ni lile la kupanga uhalifu wa kuiba kura zaidi ya laki mbili katika mazingira ya uchaguzi wa Zanzibar wenyewe ushindani. Tokea mfumo wa vyama vingi ushindi unakuwa wa elifu chache.

Sina haja kuelezea mbinu chafu tokea CCM kunyimwa mawakala, vituo bubu kuwepo, wapiga kura kupigwa Pemba, matokeo ya vituo kuletwa asubuhi ya siku ya pili ya uchaguzi na sehemu nyingi matokeo yanaonesha watu wote wamepiga kura hapana aloumwa au kufa. Na kila kituo kura zake Maalim akaongoza CCM yafatia na hakuna vyama vyengine.

Makosa ya kwanza kujitangazia yeye mwenyewe ushindi Maalim. Hili kosa lilitosha kumtia hatiani. Kosa la pili, kuita waandishi wa habari na kumpa Rais Shein amri ya mwisho “altimetum” ya saa 48 hapo tarehe 02.02.16 awe amehama Ikulu. Endapo asipofanya hivyo nguvu za umma itatumika. Muda umefika Rais Shein hakuondoka Ikulu na nguvu za umma hazikuonekana.

Kosa jengine la Kuwataka mawaziri wa Chama chake wasiende kazini kwani muda wa serekali umekwisha. Yeye anaendelea kwenda kazini, kuwa Makamo wa Rais, analindwa, analishwa, analipwa na kuhudumiwa matibabu ya India, Hindu mandal, na huduma sasa za hotel ya kitalii.Yeye kubaki na uluwa, madaraka na mamlaka sawa. Kosa jengine la kuweka siku ya kuuapishwa yeye. Amewapa watu tamaa na matumaini. Siku haikufika hadi sasa.
Ili Rais kuapishwa lazima uwepo uchaguzi wa halali na huru. Lazima mgombea ashinde, atangazwe na Tume na hatimaye aapishwe na Jaji Mkuu wa Zanzibar. Maalim hawezi kuwa Rais bila kufata utaratibu huu.

Kosa linalofata ni kutaka mazungumzo kabla kufika mwisho kukimbia meza ya mazungumzo. Kutoa siri ya mazungumzo hadharani kinyume na makubaliano. Huku ni kuwadharau viongozi wenzake walioombwa kuwepo katika meza ya mazungumzo. Kosa kubwa kuliko yote aliyoyafanya katika siasa ni kuwazuia wenzake wawakilishi wasigombee kwa sababu yeye hakushinda.

Kuwakataza wafuasi wake wasipige kura kuchagua watu wawapendao. Hii ni dhambi kubwa ya kisasa itakayomuuandama katika maisha yake yote. Historia itamuhukumu Maalim.


Watani”

Kosa kosa kosa,Wtanzania tumechoka na hizi propaganda,Hizi siasa za Hizbu,National party bla bla bla tumechoka nazo hizo ni siasa za mababu zetu kwa wakati wao,wakati huu ni wetu, watanzania tunataka demokrasia ya kweli,mwenye haki apewe,mpezi Maalim haki yake,,,,,

Hii ni aibu kwa Tanzania nchi inayojiganmba kuwa ni mabigwa wa haki za binadamu,ukweli wenyewe Tanzania inayongozwa na CCM imejiumbua......hatudanganyiki :)
 
Pamoja na kuwa mleta mada ni CCM ila maelezo aloyaandika kama mtu unatafakari vema siasa za hapa Bongo, kuna ka ukweli kuhusiana na hicho Chama, Hao maProf aloshindwana nao kwa dunia hii ni bobezi sana katika maeneo yao waliyobobea kwa ngazi za kimataifa na hata kuwa ma best worldwide, na hata bunge la katiba tuliona jinsi walivyokuwa wakiwazua mle mjengoni na kuleta misamiati kama intarahamwe n.k sasa ukiona mtu wote hao ushauri wao haukubaliki chamani ujue hapo ni maangamio ya chama yanafuatia ndio maana wakajiweka pembeni kiaina. Logic ipo ila hasara huenda ikawa kubwa kuliko faida kwa CUF juu ya uamuzi wa kutoshiriki uchaguzi wa marudio hasa ukiliweka hili jambo kiuchumi zaidi.
 
MAKOSA YA MAALIM

(Na Dkt.Muhammed Seif Khatib)

Kosa ni kushindwa kupata kitu au jambo litakiwalo. Kosa huwa pia kuvunja sharia, kanuni au dasturi jamii iliyojiwekea. Kwa waumini wa dini kwenda kinyume na makatazo yake.

Duniani mamlaka huweka adhabu kwa wakosaji. Maisha baada ya kifo, imani zinaelekezwa kuadhibiwa kwa watendao dhambi duniani. Kosa kwa mkosaji hana salama. Kosa huweza kuwa halina adhabu lakini kule kutofanikiwa kwa jambo wenye hamu nalo adhabu hiyo nayo si ndiyo. Wakati mwingine kosa la mmoja huwaadhibu wengi.

Maalim au wengine huita mwalimu ni anayefundisha kwa kutoa taaluma. Hafikiriwi wala hatarajiwi kuwa naye atatenda makosa. Imani imejengeka kuwa kila maalim anajua baya na zuri. Hatendi kosa kwa sababu ya uelewa na uweledi wake. Maalim ni ruwaza njema ya kufatwa.

Utamaduni huo ndiyo unaowapa heshima kila mtu aitwaye “Maalim”. Huko Zanzibar wanaye Maalim. Mwanasisa aliyewahi kufundisha katika Skuli ya Lumumba miaka ya sabini. Ingawa hakuwahi kusomae aualimu lakini alisomesha na hadi sasa jina limemselelea na wengine kudhania kuwa ndiyo jina lake halisi.Tamaa na hamu ya kutaka kuingia Ikulu imemtawala sana.

Alijaribu kwa kuchuana na Mzee Wakili ndani ya chama. Ingawa kiumri yeye na Wakili ni mtu na mwanawe. Busara ilikataa kumzindua kumwachia mzee wake. Kokosa nafasi ya kuteuliwa Maalim akala njama kuhakikisha Wakili hapati kura za kushinda. Ni mwanzo wa mpasuko kati ya Pemba na Unguja hadi leo. Mbegu ikapandikizwa kwa baadhi ya watu. Kumifunza wapemba kwamba yeye hakupitishwa kwa sababu ya Upemba wake.

Jeraha la Upemba na Unguja bado libichi. Hili lilikuwa kosa la alfajiri ya safari yake ya siasa. Wakili alimteua kuwa Waziri Kiongozi ili kutibu huo mpasuko. Hata hivyo, alimfanyia njama mzee Wakili akaamua kumtimua. Hili nalo kosa.

Mwalimu Nyerere akamchukua katika chama na kuwa Katibu wa Uchumi na Fedha wa NEC. Ndani ya chama akaanzisha vuguvugu chini kwa chini la kuupinga Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Pia kuendeleza mpasuko wa Upemba na Unguja.

Mwalimu Nyerere aliyekuwa kipenzi cha Maalima kakasirika na akaongoza katika kumtimua. Hili kosa jengine ndani ya chama limemugharimu. Mwaka 1995 vyama vingi vikazaliwa.

Maalim na Mapalala, maadui pacha wa Mwalimu Nyerere, wakaunda chama. Ndoa haikudumu ya mahasimu wa mwalimu hawa wawili. Mapalala akatimuliwa kwa maelekezo ya masahibu wa Maalim huko nje.

Kwa vile dhamira yake ni Urais wa Zanzibar kuachana na Mapalala si jambo la kumsumbua. Kama hoja ni kuwa ya Wanyamwezi tumbo na wapo tele bara? Hili nalo kosa. Uchaguzi ukakaribia, akaunda chama cha siasa na kukipa jina la “Chama cha Wananchi”. Jina hili kwa Kiarabu ni “Hizbuel Watan” au kwa Kimombo “Nationalist Party”. Kwa siasa za Zanzibar majina haya yanabeba dhana ya chama kilichopinduliwa na Afro-Shirazi Party kilichokuwa kinashabikiwa na Sultan Jamshid aliyepinduliwa mwaka 1964.

Kama vile hilo halitoshi Maalim na wenzake wakahubiri kuwa wakingia Ikulu, mali zote zilizotaifishwa yakiwemo majumba na Mashamba watapewa wenyewe. Chama hiki kikaungwa mkono na wakimbizi wa Mapinduzi ya Zanzibar, sehemu kubwa ya Pemba na maeneo ya Unguja ambao kabla ya Mapinduzi yalishabikiwa na chama cha Hizbu. Mwelekeo huu ukaibua hisia kali za Afro-Shirazi na kulinda “Mapinduzi” kwa wafuasi wa Chama cha Mapinduzi.

Pia ya hoja kwamba tokea mwaka 1964 hadi 2010 Zanzibar Marais wake wanatoka Unguja, Maalim akaivalia njuga ili aonewe huruma. Vipindi vitatu vya miaka kumi na tano akashindana na Salmin na Amani Karume, Maalim hakufanikiwa sera yake Upemba na kuyabeza Mapinduzi. Hili kosa jengine la Maalim.

Mwaka 2010 mgombea kupitia CCM kwa mara ya kwanza akatoka Pemba na akawa Mpemba halisi. Hoja ya ukame wa wagombea wa Urais kutoka Pemba ikafa. Hoja nyingine zikaendelea. Mwaka wa jana Maalim akafanya makosa mengi zaidi.

Hoja ya UKAWA ikamtafuna. Yeye Maalim ni mbinafsi sana. Ukinyemelea masilahi yake ya uongozi na Urais wa Zanzibar, atakuandama. Mnakumbuka alipogombanana Prof Safari na Hamad Rashid walipotaka nafasi yake. Wote walitimuliwa.

Yeye madhali UKAWA hautagusa Urais wa Zanzibar hatagombana na mtu. Kwa kujithamini yeye tu akamtelekeza sahiba wake wa karibu Prof Lipumba katika Urais Muungano na kumthamini Lowassa agombee Urais wa Muungano. Lipumba akawa muhanga kama Mapalala, Hamad Rashid, Prof. Safari, Juma Othman, Fatuma Maghimbi na wengine kama hao.

Hili kosa la kusababisha kukimbiwa na Mwenyekiti wake na mwandani wake. Kosa jengine ni lile la kupanga uhalifu wa kuiba kura zaidi ya laki mbili katika mazingira ya uchaguzi wa Zanzibar wenyewe ushindani. Tokea mfumo wa vyama vingi ushindi unakuwa wa elifu chache.

Sina haja kuelezea mbinu chafu tokea CCM kunyimwa mawakala, vituo bubu kuwepo, wapiga kura kupigwa Pemba, matokeo ya vituo kuletwa asubuhi ya siku ya pili ya uchaguzi na sehemu nyingi matokeo yanaonesha watu wote wamepiga kura hapana aloumwa au kufa. Na kila kituo kura zake Maalim akaongoza CCM yafatia na hakuna vyama vyengine.

Makosa ya kwanza kujitangazia yeye mwenyewe ushindi Maalim. Hili kosa lilitosha kumtia hatiani. Kosa la pili, kuita waandishi wa habari na kumpa Rais Shein amri ya mwisho “altimetum” ya saa 48 hapo tarehe 02.02.16 awe amehama Ikulu. Endapo asipofanya hivyo nguvu za umma itatumika. Muda umefika Rais Shein hakuondoka Ikulu na nguvu za umma hazikuonekana.

Kosa jengine la Kuwataka mawaziri wa Chama chake wasiende kazini kwani muda wa serekali umekwisha. Yeye anaendelea kwenda kazini, kuwa Makamo wa Rais, analindwa, analishwa, analipwa na kuhudumiwa matibabu ya India, Hindu mandal, na huduma sasa za hotel ya kitalii.Yeye kubaki na uluwa, madaraka na mamlaka sawa. Kosa jengine la kuweka siku ya kuuapishwa yeye. Amewapa watu tamaa na matumaini. Siku haikufika hadi sasa.
Ili Rais kuapishwa lazima uwepo uchaguzi wa halali na huru. Lazima mgombea ashinde, atangazwe na Tume na hatimaye aapishwe na Jaji Mkuu wa Zanzibar. Maalim hawezi kuwa Rais bila kufata utaratibu huu.

Kosa linalofata ni kutaka mazungumzo kabla kufika mwisho kukimbia meza ya mazungumzo. Kutoa siri ya mazungumzo hadharani kinyume na makubaliano. Huku ni kuwadharau viongozi wenzake walioombwa kuwepo katika meza ya mazungumzo. Kosa kubwa kuliko yote aliyoyafanya katika siasa ni kuwazuia wenzake wawakilishi wasigombee kwa sababu yeye hakushinda.

Kuwakataza wafuasi wake wasipige kura kuchagua watu wawapendao. Hii ni dhambi kubwa ya kisasa itakayomuuandama katika maisha yake yote. Historia itamuhukumu Maalim.


Watani”
Dkt. Muhammed Seif Khatib,
Kuna makala uliandika na ukaiweka hapa JF lakini kwa haraka sana
ikaondolewa lakini nilikuwa nishatoa jibu.

Anaependa kufuatilia mjadala huo nilioutaja hapo juu na aingie hapa:
Dkt Muhammed Seif Khatib na Mohamed Said wazungumzia siasa za Zanzibar

Safari hii umerudi na mengine kuhusu ''makosa'' ya Maalim Seif Sharif
Hamad.


Umesema mengi na naamini kwa hadhi ya Maalim Seif Sharif itakuwa
vigumu kwake kukujibu kwa sababu zilizo wazi kabisa.

Kwa ajili hii basi hatutoweza hapa kupata ukweli wa nini kilipitika kati ya
Maalim Seif na Mzee Abdul Wakil ingawa yoyote ajuaye siasa za Zanzibar
hatopata tabu kuhisi nini lilikuwa tatizo.

Dkt. si kweli kuwa mpasuko kati ya Pemba na Zanzibar chanzo chake ni Maalim
Seif
kama ulivyosema.

Sote tunaijua historia ya Zanzibar na Dkt. ukipenda ingia hapa uone sababu ya
mpasuko huo:
Mohamed Said: PEMBA: THE FIRE NEXT TIME

Kwa kuwa wewe ni mtu wa fasihi naamini umemsoma James Baldwin: The Fire
Next Time kwa hiyo utaelewa kilio cha jamii inayodhulumiwa.

Kuna mengi umesema lakini sioni sababu ya kujibu yote khasa kwa kuwa baada
ya uchaguzi wa marejeo ukweli sasa uko wazi.

Wazanzibar walikataa kupiga kura na kama ulivyogusia walimsikiliza kiongozi wao
na wakabaki majumbani mwao kwa amani na salama.

Itoshe tu kwa msomaji anetaka kujua nguvu ya Maalim Seif kuingia hapa na
kujisomea mwenyewe kujionea kuwa CCM Zanzibar haiwezi kupambana na
Maalim Seif katika uchaguzi wowote Zanzibar kwani atawashinda hata iweje:
Mohamed Said: TAKWIMU ZA USHINDI WA DK. SHEIN NI ''FAIRY TALE'' HADITHI ZA KUWALAZA WATOTO USINGIZI - MOHAMED GHASSANY
Mohamed Said: UCHAGUZI WA MARUDIO ZANZIBAR - ALICE IN WONDERLAND

Mwisho ningependa kusema kuwa Maalim Seif ni kiongozi hodari ambae juu ya
vigingi vyote alivyowekewa ameweza kuijenga CUF kuwa chama makini chenye
nidhamu ya juu na kuweza kuwapata vijana ambao ndiyo wapiga kura walio wengi
kukipenda chama na kuleta ndani ya chama elimu zao na ujuzi wao ambao umekuwa
msaada mkubwa kwa CUF Zanzibar.

Kuwa Maalim Seif alijitangaza mshindi wala si hoja ya maana.
Ukweli ushajulikana.

Sina haja ya kusema kuwa Maalim Seif ameshinda kila chaguzi iliyofanyika Zanzibar toka
1995 na hii si siri.

Haikutushangaza wengi kuwa katika uchaguzi wa 2015 Maalim Seif alimshinda Dkt. Shein.
Dkt.
analifahamu hili kama mimi na wengi tunavyolifahamu.

Sina sababu ya kueleza barua ya Ali Ameir ya 1995 iliyokataa ushindi wa Maalim Seif wala
sina haja ya kukumbusha uchaguzi wa 2010 na juhudi za Mzee Hassan Nassor Moyo.

Dkt. nina hakika unafahamu kuwa kama si busara ya Maalim Seif usiku ule Bwawani
wazazi Zanzibar wangezika vijana wao wengi.

Zanzibar ingepata si yale ya Pemba 2001 bali bali ingepata Amritsar na Sharpville yake.
Naamini Dkt. unaona vipi jinsi Amritsar na Sharpville ilivyoshabihiana.

Nataka nikufahamishe kitu.

Siku mbili baada ya Bwawani na Dr. Shein kuapishwa rais wa Zanzibar nilikuwa mgeni
wa mmoja wa viongozi wakubwa Zanzibar.

Alinambia maneno haya, ''Sisi tunamshukuru Maalim Seif kama si yeye wewe leo
usingekuja Zanzibar ingawa serikali ingekuwa mikononi mwetu.''

Atakae hukumiwa na historia hakika si Maalim Seif...
Wenyewe wanajijua na tayari wameshasimamishwa kizimbani na dunia.

Dkt. asipoteze muda wake kwa kukimbilia chombo kinachozama.

Nyakati zimebadilika sana na hawatoweza kuwategemea Ton Ton Macoute kwa
muda mrefu.

Wakati umefika kwake na kwa wahafidhina wenzake wakajiuliza nini kinasababisha
wao kukataliwa na Wazanzibari katika kila uchaguzi kitu kinachowafanya kuchukua
serikali kwa kutumia mtutu wa bunduki?
 
H
Pamoja na kuwa mleta mada ni CCM ila maelezo aloyaandika kama mtu unatafakari vema siasa za hapa Bongo, kuna ka ukweli kuhusiana na hicho Chama, Hao maProf aloshindwana nao kwa dunia hii ni bobezi sana katika maeneo yao waliyobobea kwa ngazi za kimataifa na hata kuwa ma best worldwide, na hata bunge la katiba tuliona jinsi walivyokuwa wakiwazua mle mjengoni na kuleta misamiati kama intarahamwe n.k sasa ukiona mtu wote hao ushauri wao haukubaliki chamani ujue hapo ni maangamio ya chama yanafuatia ndio maana wakajiweka pembeni kiaina. Logic ipo ila hasara huenda ikawa kubwa kuliko faida kwa CUF juu ya uamuzi wa kutoshiriki uchaguzi wa marudio hasa ukiliweka hili jambo kiuchumi zaidi.
huna unalojua bora nyamaza..
 
MAKOSA YA MAALIM

(Na Dkt.Muhammed Seif Khatib)

Kosa ni kushindwa kupata kitu au jambo litakiwalo. Kosa huwa pia kuvunja sharia, kanuni au dasturi jamii iliyojiwekea. Kwa waumini wa dini kwenda kinyume na makatazo yake.

Duniani mamlaka huweka adhabu kwa wakosaji. Maisha baada ya kifo, imani zinaelekezwa kuadhibiwa kwa watendao dhambi duniani. Kosa kwa mkosaji hana salama. Kosa huweza kuwa halina adhabu lakini kule kutofanikiwa kwa jambo wenye hamu nalo adhabu hiyo nayo si ndiyo. Wakati mwingine kosa la mmoja huwaadhibu wengi.

Maalim au wengine huita mwalimu ni anayefundisha kwa kutoa taaluma. Hafikiriwi wala hatarajiwi kuwa naye atatenda makosa. Imani imejengeka kuwa kila maalim anajua baya na zuri. Hatendi kosa kwa sababu ya uelewa na uweledi wake. Maalim ni ruwaza njema ya kufatwa.

Utamaduni huo ndiyo unaowapa heshima kila mtu aitwaye “Maalim”. Huko Zanzibar wanaye Maalim. Mwanasisa aliyewahi kufundisha katika Skuli ya Lumumba miaka ya sabini. Ingawa hakuwahi kusomae aualimu lakini alisomesha na hadi sasa jina limemselelea na wengine kudhania kuwa ndiyo jina lake halisi.Tamaa na hamu ya kutaka kuingia Ikulu imemtawala sana.

Alijaribu kwa kuchuana na Mzee Wakili ndani ya chama. Ingawa kiumri yeye na Wakili ni mtu na mwanawe. Busara ilikataa kumzindua kumwachia mzee wake. Kokosa nafasi ya kuteuliwa Maalim akala njama kuhakikisha Wakili hapati kura za kushinda. Ni mwanzo wa mpasuko kati ya Pemba na Unguja hadi leo. Mbegu ikapandikizwa kwa baadhi ya watu. Kumifunza wapemba kwamba yeye hakupitishwa kwa sababu ya Upemba wake.

Jeraha la Upemba na Unguja bado libichi. Hili lilikuwa kosa la alfajiri ya safari yake ya siasa. Wakili alimteua kuwa Waziri Kiongozi ili kutibu huo mpasuko. Hata hivyo, alimfanyia njama mzee Wakili akaamua kumtimua. Hili nalo kosa.

Mwalimu Nyerere akamchukua katika chama na kuwa Katibu wa Uchumi na Fedha wa NEC. Ndani ya chama akaanzisha vuguvugu chini kwa chini la kuupinga Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Pia kuendeleza mpasuko wa Upemba na Unguja.

Mwalimu Nyerere aliyekuwa kipenzi cha Maalima kakasirika na akaongoza katika kumtimua. Hili kosa jengine ndani ya chama limemugharimu. Mwaka 1995 vyama vingi vikazaliwa.

Maalim na Mapalala, maadui pacha wa Mwalimu Nyerere, wakaunda chama. Ndoa haikudumu ya mahasimu wa mwalimu hawa wawili. Mapalala akatimuliwa kwa maelekezo ya masahibu wa Maalim huko nje.

Kwa vile dhamira yake ni Urais wa Zanzibar kuachana na Mapalala si jambo la kumsumbua. Kama hoja ni kuwa ya Wanyamwezi tumbo na wapo tele bara? Hili nalo kosa. Uchaguzi ukakaribia, akaunda chama cha siasa na kukipa jina la “Chama cha Wananchi”. Jina hili kwa Kiarabu ni “Hizbuel Watan” au kwa Kimombo “Nationalist Party”. Kwa siasa za Zanzibar majina haya yanabeba dhana ya chama kilichopinduliwa na Afro-Shirazi Party kilichokuwa kinashabikiwa na Sultan Jamshid aliyepinduliwa mwaka 1964.

Kama vile hilo halitoshi Maalim na wenzake wakahubiri kuwa wakingia Ikulu, mali zote zilizotaifishwa yakiwemo majumba na Mashamba watapewa wenyewe. Chama hiki kikaungwa mkono na wakimbizi wa Mapinduzi ya Zanzibar, sehemu kubwa ya Pemba na maeneo ya Unguja ambao kabla ya Mapinduzi yalishabikiwa na chama cha Hizbu. Mwelekeo huu ukaibua hisia kali za Afro-Shirazi na kulinda “Mapinduzi” kwa wafuasi wa Chama cha Mapinduzi.

Pia ya hoja kwamba tokea mwaka 1964 hadi 2010 Zanzibar Marais wake wanatoka Unguja, Maalim akaivalia njuga ili aonewe huruma. Vipindi vitatu vya miaka kumi na tano akashindana na Salmin na Amani Karume, Maalim hakufanikiwa sera yake Upemba na kuyabeza Mapinduzi. Hili kosa jengine la Maalim.

Mwaka 2010 mgombea kupitia CCM kwa mara ya kwanza akatoka Pemba na akawa Mpemba halisi. Hoja ya ukame wa wagombea wa Urais kutoka Pemba ikafa. Hoja nyingine zikaendelea. Mwaka wa jana Maalim akafanya makosa mengi zaidi.

Hoja ya UKAWA ikamtafuna. Yeye Maalim ni mbinafsi sana. Ukinyemelea masilahi yake ya uongozi na Urais wa Zanzibar, atakuandama. Mnakumbuka alipogombanana Prof Safari na Hamad Rashid walipotaka nafasi yake. Wote walitimuliwa.

Yeye madhali UKAWA hautagusa Urais wa Zanzibar hatagombana na mtu. Kwa kujithamini yeye tu akamtelekeza sahiba wake wa karibu Prof Lipumba katika Urais Muungano na kumthamini Lowassa agombee Urais wa Muungano. Lipumba akawa muhanga kama Mapalala, Hamad Rashid, Prof. Safari, Juma Othman, Fatuma Maghimbi na wengine kama hao.

Hili kosa la kusababisha kukimbiwa na Mwenyekiti wake na mwandani wake. Kosa jengine ni lile la kupanga uhalifu wa kuiba kura zaidi ya laki mbili katika mazingira ya uchaguzi wa Zanzibar wenyewe ushindani. Tokea mfumo wa vyama vingi ushindi unakuwa wa elifu chache.

Sina haja kuelezea mbinu chafu tokea CCM kunyimwa mawakala, vituo bubu kuwepo, wapiga kura kupigwa Pemba, matokeo ya vituo kuletwa asubuhi ya siku ya pili ya uchaguzi na sehemu nyingi matokeo yanaonesha watu wote wamepiga kura hapana aloumwa au kufa. Na kila kituo kura zake Maalim akaongoza CCM yafatia na hakuna vyama vyengine.

Makosa ya kwanza kujitangazia yeye mwenyewe ushindi Maalim. Hili kosa lilitosha kumtia hatiani. Kosa la pili, kuita waandishi wa habari na kumpa Rais Shein amri ya mwisho “altimetum” ya saa 48 hapo tarehe 02.02.16 awe amehama Ikulu. Endapo asipofanya hivyo nguvu za umma itatumika. Muda umefika Rais Shein hakuondoka Ikulu na nguvu za umma hazikuonekana.

Kosa jengine la Kuwataka mawaziri wa Chama chake wasiende kazini kwani muda wa serekali umekwisha. Yeye anaendelea kwenda kazini, kuwa Makamo wa Rais, analindwa, analishwa, analipwa na kuhudumiwa matibabu ya India, Hindu mandal, na huduma sasa za hotel ya kitalii.Yeye kubaki na uluwa, madaraka na mamlaka sawa. Kosa jengine la kuweka siku ya kuuapishwa yeye. Amewapa watu tamaa na matumaini. Siku haikufika hadi sasa.
Ili Rais kuapishwa lazima uwepo uchaguzi wa halali na huru. Lazima mgombea ashinde, atangazwe na Tume na hatimaye aapishwe na Jaji Mkuu wa Zanzibar. Maalim hawezi kuwa Rais bila kufata utaratibu huu.

Kosa linalofata ni kutaka mazungumzo kabla kufika mwisho kukimbia meza ya mazungumzo. Kutoa siri ya mazungumzo hadharani kinyume na makubaliano. Huku ni kuwadharau viongozi wenzake walioombwa kuwepo katika meza ya mazungumzo. Kosa kubwa kuliko yote aliyoyafanya katika siasa ni kuwazuia wenzake wawakilishi wasigombee kwa sababu yeye hakushinda.

Kuwakataza wafuasi wake wasipige kura kuchagua watu wawapendao. Hii ni dhambi kubwa ya kisasa itakayomuuandama katika maisha yake yote. Historia itamuhukumu Maalim.


Watani”


Umeandika mambo mengi lakini yale ya umuhimu umeyaacha, tupe kifungu kilichompa mamlaka jecha kufuta uchaguzi, na siyo zec maana hakuna sehemu zec walifanya mkutano na kufikia maamuzi hayo, halafu nipe kifungu cha sheria kinachosema kuwa ukijitangazia matokeo hukumu yake kufuta matokeo
 
Kosa kubwa kuliko yote ni kufikiria anaweza kuforge diplomatic agreement na ccm, wakati ameshaambiwa nchi haitoki kwa makaratasi,
Alikuwa ajipange Ki Alshabab, kingelikwisha eleweka,
Na iwe fundisho kwa kiongozi atakaemrithi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom