Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Akili zako zimejaa pumba tupu, mimi ni mpiga kura wa Segerea na nimeisubiri hii kesi kwa hamu kubwa na sitegemei updates yoyote kutoka JF kwa sababu hukumu tayari ninayo na nimeshaisoma, niko hapa just for fun.
Ila kinachonishangaza sijui siku hizi baadhi ya Member humu wanawashwa na kitu gani? hivi ikitangazwa kwamba atakayeleta Breaking news atakuwa analipwa pesa si itakuwa balaa humu? nachukizwa sana na style hii kimbelefront.
Akili zako zimejaa pumba tupu, mimi ni mpiga kura wa Segerea na nimeisubiri hii kesi kwa hamu kubwa na sitegemei updates yoyote kutoka JF kwa sababu hukumu tayari ninayo na nimeshaisoma, niko hapa just for fun.
Ila kinachonishangaza sijui siku hizi baadhi ya Member humu wanawashwa na kitu gani? hivi ikitangazwa kwamba atakayeleta Breaking news atakuwa analipwa pesa si itakuwa balaa humu? nachukizwa sana na style hii kimbelefront.
hilo goli la ccm walibebwa na refa bado halijakubalika kaka....niweke kumbukumbu sawa,kesi ya kwanza CDM kushinda ni ya ILEMELA Mwanza...kwahiyo ubao wa matokeo sasa usomeke CDM 4 - 1 CCM...
Akili zako zimejaa pumba tupu, mimi ni mpiga kura wa Segerea na nimeisubiri hii kesi kwa hamu kubwa na sitegemei updates yoyote kutoka JF kwa sababu hukumu tayari ninayo na nimeshaisoma, niko hapa just for fun.
Ila kinachonishangaza sijui siku hizi baadhi ya Member humu wanawashwa na kitu gani? hivi ikitangazwa kwamba atakayeleta Breaking news atakuwa analipwa pesa si itakuwa balaa humu? nachukizwa sana na style hii kimbelefront.
Akili zako zimejaa pumba tupu, mimi ni mpiga kura wa Segerea na nimeisubiri hii kesi kwa hamu kubwa na sitegemei updates yoyote kutoka JF kwa sababu hukumu tayari ninayo na nimeshaisoma, niko hapa just for fun.
Ila kinachonishangaza sijui siku hizi baadhi ya Member humu wanawashwa na kitu gani? hivi ikitangazwa kwamba atakayeleta Breaking news atakuwa analipwa pesa si itakuwa balaa humu? nachukizwa sana na style hii kimbelefront.
Akili zako zimejaa pumba tupu, mimi ni mpiga kura wa Segerea na nimeisubiri hii kesi kwa hamu kubwa na sitegemei updates yoyote kutoka JF kwa sababu hukumu tayari ninayo na nimeshaisoma, niko hapa just for fun.
Ila kinachonishangaza sijui siku hizi baadhi ya Member humu wanawashwa na kitu gani? hivi ikitangazwa kwamba atakayeleta Breaking news atakuwa analipwa pesa si itakuwa balaa humu? nachukizwa sana na style hii kimbelefront.
Kwani na Igunga cdm ilifungua kesi?
Mbona wewe ndio unaonekana ndio jingas namba moja?wewe kweli kaza msuli. mwanaasha saizi yako.
Aliye chukuwa hoja yangu ajachangia mpaka sasa sijui kama mod yupo makini watu wanauliswa yeye ajibu mpaka sasa kama vp nrudishieni thread yangu npo posta ndo nakaribia hapa mahakamani
Pwaa
Wewe tupe habari hapa hapa hakuna mashindano ya thread humu. Hata ingekuwa ya kwako hakuna zawadi issue ni kupeana habari tu. Watu wengine kwa ligi hamjamboAliye chukuwa hoja yangu ajachangia mpaka sasa sijui kama mod yupo makini watu wanauliswa yeye ajibu mpaka sasa kama vp nrudishieni thread yangu npo posta ndo nakaribia hapa mahakamani
Pwaa
Aliye chukuwa hoja yangu ajachangia mpaka sasa sijui kama mod yupo makini watu wanauliswa yeye ajibu mpaka sasa kama vp nrudishieni thread yangu npo posta ndo nakaribia hapa mahakamani
Pwaa
Nakubaliana na wewe! Hata hvyo ni vema tukajua kuwa madai ni kitu kingine na kuthibitisha madai hayo pasipo shaka ni kitu kingine. Kinachoamuliwa mahakamani ni kama kumekuwa na ushahidi wa kutosha (usio na shaka) kuthibitisha madai hayo. Tusubiri.