nurein.com
Member
- Sep 2, 2013
- 5
- 0
dah wana me nakumbuka mengi,kwanza niliwai kua assistant headboy,nakumbuka machata ya akina pap2 na kirukuu ebwana hawajamaa walikua noma
Sitasahau kamata kamata ya machata ilivyoanza mimi na swahiba wangu PAP2 tulivyosulubiwa na afande miraji.