Wote ni CCM, lazima angemtaja huyo tu.
Kama chadema na msaliti na mamluki limbuUkiona mpinzani anakusifia basi jitathimini upya.
Tuwe wakweli jamani huwezi kumfananisha zitto na mbowe yaani ni sawa ufananishe vogo na bito wapi na wapiMwanaccm yoyote ukimuuliza atakuambia zitto,shibuda,mrema na cheyo.
Mtu yoyote mwenye akili lazima amkubali Zitto. Wale misukule ndio wataendelea na wimbo wanaoimbishwa na Mbowe.
Zitto yupo vizuri
Mtu yoyote mwenye akili lazima amkubali Zitto. Wale misukule ndio wataendelea na wimbo wanaoimbishwa na Mbowe.
ukitegemea asimtaje Ccm mwenzake,wote hao ni ccm lazima amfagilie.
Mwanaccm yoyote ukimuuliza atakuambia zitto,shibuda,mrema na cheyo.
wakati mwengine wekeni ushabiki pembeni. Zitto huwezi kumlinganisha na akina lema, sugu, mbowe na wanaofanania.Wote ni CCM, lazima angemtaja huyo tu.
wakati mwengine wekeni ushabiki pembeni. Zitto huwezi kumlinganisha na akina lema, sugu, mbowe na wanaofanania.
labda Lipumba, slaa, mbatia, lisu na mdee. kuweni wazi. sio kila kitu kubisha, au nyie ndo yale mazezeta na misukule ya mbowe nini? maana mnapinga hata kwa vitu vilivyowazi.
Wote ni CCM, lazima angemtaja huyo tu.