Nami naungana na mhe. Makonda hakuna kama Zitto ktk siasa za upinzani huyu jamaa ni jembe kama hamuamini ngoja october ifike Act itakapofanya vema ndio mtaamini kama Zitto jembe.
amtaje Lissu kibarua kisitishwe!!?
kinga ya bunge ilimlinda... dhubutu awe mkuu wa wilaya alafu atamke maneno hayo... !!!!!Mbona Lusinde (ccm) alimtaja kuwa anatamani mtoto wake asome sheria awe kama Lissu alifukuzwa Chama?
Wanaosemaga Zitto ni Pro-CCM huwa nawashangaa sana. Mtu aliyeisumbua serikali ya CCM kwa uwazi bila kificho na kusababisha kuvunjwa kwa baraza la mawaziri mara kwa mara ni CCM?
Mtu anayesaidiana na wenzake kwa kila hali kuibua ufisadi wa serikali ya CCM anawezaje kuwa CCM? Mtu anayekosoa mipango na ubovu wa mikataba ya serikali na kuanika uozo ni anakuaje CCM?
Kama ni kweli anatumiwa na CCM, Sasa pale CCM anafanya kazi gani?
Au mimi ndio sielewi mambo yanavyoenda? duh!
Mwanaccm yoyote ukimuuliza atakuambia zitto,shibuda,mrema na cheyo.
ukitegemea asimtaje Ccm mwenzake,wote hao ni ccm lazima amfagilie.