Makonda uadilifu ameanza lini?

Makonda uadilifu ameanza lini?

Makonda akili kubwa , Ukiwa na kichwa maji lazima utamjadili juu juu.

Ngoja nikuulize, Makonda anapata wapi Hela za kuzawadia Pikipiki Jeshi la Polisi, Magari??


Kwahiyo nahilo unasema ni wizi ? Udhulumaji?.


Kuhusu Marekan, ni Kwa sababu ya Makonda kupambana na mashogam..wee ni shoga?.
Bila shaka ni punga hilo.

Tuhuma zote hizo ina maana hii nchi haina hata mgambo achilia mbali takukuru, Tiss, polis, n.k??
 
Nchi ya ajabu sana hii, eti huyu gangstar ni kiongozi. Naye anaongelea uadilifu. This country fu@#££cks her people
Sheria za Tanzania zinakuruhusu kufungua Kesi kwa mtu aliyetenda jinai. Sasa basi, Kwa nini msimshitaki Makonda kama mna ushaidi na hayo mambo mnayomsingizia ili atiwe hatiani?

Mwanaume kama wewe kuwa na gubu, wivu na chuki kwa binadamu bila Ushahidi ni aibu na ujinga uliopitiliza. Mwanaume unakuwaje hivyo jamani!

Makonda alikuwa nje ya mfumo kwa miaka 4 kwa nini hakumshitaki?
Anashitakiwa Spika wa Bunge na mawazri kwa nini Makonda hashitakiwi kama mnaoushahidi!

Kwa mtizamo wenu TEAM JANUARY MAKAMBA mnataka tuamini maneno matupu na hisia zenu!
 
Makonda akili kubwa , Ukiwa na kichwa maji lazima utamjadili juu juu.

Ngoja nikuulize, Makonda anapata wapi Hela za kuzawadia Pikipiki Jeshi la Polisi, Magari??


Kwahiyo nahilo unasema ni wizi ? Udhulumaji?.


Kuhusu Marekan, ni Kwa sababu ya Makonda kupambana na mashogam..wee ni shoga?.
Ni Tanzania pekee mtumishi wa serikali anainunulia serikali vifaa!
 
Hivi hakuna ndugu wa watu waliodhulumiwa na Makonda wakampeleka mahakamani?,
Hakuna watu waliotendewa huo ubaya na Makonda wakampeleka mahakamani.

Kwanini wapinzani wasishinikize na familia za wahanga + wahanga wenyewe Serikali ikaanzisha uchunguzi dhidi yake?

Watu wa haki za binadamu hawapo Tanzania wakashinikiza Serikali ianzishe uchunguzi dhidi yake, au kuitisha wahanga na kufungua kesi.

Hivi hakuna wanasheria wanaoweza kukusanya evidence na sign za wahanga wakamburuza mahakamani au wakaiomba mahakama itoe amri kwa Serikali kuanzisha uchunguzi dhidi yake?.

Tunasemasema sana, ushahidi hatuleti, hatua hatuchukui basi taflani tu.
Kama Mawingu na ujanja wao na ushahidi wa wazi walimshindwa unadhani nani atasimama mahakamani dhidi yake?
 
Habari!

Nami leo nimeona nitie neno juu ya Paul Makonda. Huyu jamaa Mimi simwiti mheshimiwa. Hata kama atakuwa Rais kwa mifumo yetu bado nitamwita Rais Makonda sitaweka neno Mh.

Makonda akiwa kwenye ukuu wa mkoa ndani ya mwaka mmoja na nusu tayari alikuwa na utajiri usiopimika mpaka kuweza kumzawadia mke wake gari ya zaidi ya sh. Million 200 za Tanzania ilhali hakuwa mfanyabiashara awali kwamba tungesema pesa alizipata kwenye biashara zake.

Makonda akiwa RC Dar es salaam alipata kashfa ya blackmail na kujipatia majumba na magari ya fahari.

Makonda alipata kashfa ya kupitisha mzigo bandarini na kutaka kukwepa kodi ya billioni 2. Na kati ya zile Mali zipo za watu wengine na zake mwenyewe, hapo maana yake nini?

Maana yake watu walikuwa wakimpa pesa kama tozo yeye mifukoni kwake kisha kurahisishiwa mipango yao.

Tuhuma zote alizotuhumiwa yakuwahi kutoa ufafanuzi wa maana mpaka leo zaidi ya kuwalaani wanaomfuatilia .
Issue ya vyeti feki pia hajaijibia mpaka kesho.

Kichaka cha haya yote anajificha kwenye neno kuchapa kazi.

Kuna madaktari walikuwa wapo vizuri kazini, module zote wako njema ila cheti cha form 4 kiliwang'oa.

Kwahiyo jinai yoyote haisafishwi kwa
kuchapa kazi.

Issue ya USA kumtuhumu kuua watu (kudhulumu haki ya kuishi) hajawahi kuipinga kwa hoja.

Huyu Makonda mnayemsifia na kumtukuza ni lini ameanza uadilifu?

Mahakama wamempigania sana asichafuliwe jina baadaye kapata cheo akaanza kuwatukana watumishi wa mahakama. Hili lilinipa furaha maana hao mahakama walimlea wenyewe akawanyea mavi kiganjani.
Makonda ni kielelezo Cha Viongozi wanaotuongoza,Wana Sifa kama ulizoziorozesha za Makonda,ndio Maana wanamuona kama anafaa kupewa Utumishi wa Umma.
 
Back
Top Bottom