Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,172
- 48,689
Habari!
Nami leo nimeona nitie neno juu ya Paul Makonda. Huyu jamaa Mimi simwiti mheshimiwa. Hata kama atakuwa Rais kwa mifumo yetu bado nitamwita Rais Makonda sitaweka neno Mh.
Makonda akiwa kwenye ukuu wa mkoa ndani ya mwaka mmoja na nusu tayari alikuwa na utajiri usiopimika mpaka kuweza kumzawadia mke wake gari ya zaidi ya sh. Million 200 za Tanzania ilhali hakuwa mfanyabiashara awali kwamba tungesema pesa alizipata kwenye biashara zake.
Makonda akiwa RC Dar es salaam alipata kashfa ya blackmail na kujipatia majumba na magari ya fahari.
Makonda alipata kashfa ya kupitisha mzigo bandarini na kutaka kukwepa kodi ya billioni 2. Na kati ya zile Mali zipo za watu wengine na zake mwenyewe, hapo maana yake nini?
Maana yake watu walikuwa wakimpa pesa kama tozo yeye mifukoni kwake kisha kurahisishiwa mipango yao.
Tuhuma zote alizotuhumiwa yakuwahi kutoa ufafanuzi wa maana mpaka leo zaidi ya kuwalaani wanaomfuatilia .
Issue ya vyeti feki pia hajaijibia mpaka kesho.
Kichaka cha haya yote anajificha kwenye neno kuchapa kazi.
Kuna madaktari walikuwa wapo vizuri kazini, module zote wako njema ila cheti cha form 4 kiliwang'oa.
Kwahiyo jinai yoyote haisafishwi kwa
kuchapa kazi.
Issue ya USA kumtuhumu kuua watu (kudhulumu haki ya kuishi) hajawahi kuipinga kwa hoja.
Huyu Makonda mnayemsifia na kumtukuza ni lini ameanza uadilifu?
Mahakama wamempigania sana asichafuliwe jina baadaye kapata cheo akaanza kuwatukana watumishi wa mahakama. Hili lilinipa furaha maana hao mahakama walimlea wenyewe akawanyea mavi kiganjani.
Nami leo nimeona nitie neno juu ya Paul Makonda. Huyu jamaa Mimi simwiti mheshimiwa. Hata kama atakuwa Rais kwa mifumo yetu bado nitamwita Rais Makonda sitaweka neno Mh.
Makonda akiwa kwenye ukuu wa mkoa ndani ya mwaka mmoja na nusu tayari alikuwa na utajiri usiopimika mpaka kuweza kumzawadia mke wake gari ya zaidi ya sh. Million 200 za Tanzania ilhali hakuwa mfanyabiashara awali kwamba tungesema pesa alizipata kwenye biashara zake.
Makonda akiwa RC Dar es salaam alipata kashfa ya blackmail na kujipatia majumba na magari ya fahari.
Makonda alipata kashfa ya kupitisha mzigo bandarini na kutaka kukwepa kodi ya billioni 2. Na kati ya zile Mali zipo za watu wengine na zake mwenyewe, hapo maana yake nini?
Maana yake watu walikuwa wakimpa pesa kama tozo yeye mifukoni kwake kisha kurahisishiwa mipango yao.
Tuhuma zote alizotuhumiwa yakuwahi kutoa ufafanuzi wa maana mpaka leo zaidi ya kuwalaani wanaomfuatilia .
Issue ya vyeti feki pia hajaijibia mpaka kesho.
Kichaka cha haya yote anajificha kwenye neno kuchapa kazi.
Kuna madaktari walikuwa wapo vizuri kazini, module zote wako njema ila cheti cha form 4 kiliwang'oa.
Kwahiyo jinai yoyote haisafishwi kwa
kuchapa kazi.
Issue ya USA kumtuhumu kuua watu (kudhulumu haki ya kuishi) hajawahi kuipinga kwa hoja.
Huyu Makonda mnayemsifia na kumtukuza ni lini ameanza uadilifu?
Mahakama wamempigania sana asichafuliwe jina baadaye kapata cheo akaanza kuwatukana watumishi wa mahakama. Hili lilinipa furaha maana hao mahakama walimlea wenyewe akawanyea mavi kiganjani.