Ameshindwa kumsikiliza Child Benz ambaye ameonekana yuko vizuri upstairs kuliko yeye?Ile oparesheni ya kuwatelekeza wanawake ilifikia wapi???? kama sio kuwazalilisha tu wanawake.
Mkuu unakosa uzalendoMlango wako wa kugawa viungo vya bandia kwa walemavu ulimaliza?
Mpango wa kuwasaidia wanawake waliotelekezwa na watoto ulimaliza?
Mpango wa kusimamia usafi wa jiji kwa kutumia mgambo hadi wakapiga MTU na kuzimia ulimaliza?
Mlango wa kukamata mashoga ulimaliza?
Madawa ya kulevya?
Tezi dume?
Acha kutafuta kiki...watu hawakutaki unaforce wakutake..na hakuna jambo utalofanya ukalimaliza.tunakujua
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa inabidi tukawatie moyo.
nikushauri bwana makonda haya mambo ya ustawi ... pitia pale chuo cha ustawi watakuelekeza namna ya kuyaishi. acha vituko na kukurupuka ustawi wa jamii hugusa maisha ya watu sio siasa!Ni Tarehe. 4/4/2019
Mahali: Mlimani city
Changamoto:
>Mirathi
>Malezi
>Kipato
Wote mnakaribishwa.