Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,498
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian Makonda (Mb) amesema Serikali ya Tanzania chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu tayari imelipa takribani Dola za Marekani Milioni 32 kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kama sehemu ya gharama za maandalizi ya kuwa mwenyeji wa mashindano ya AFCON 2027.
Akizungumza mbele ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo Machi 12, 2026 wakati wa ukaguzi wa mradi wa ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Miguu wa Kimataifa wa Arusha.
Soma zaidi kuhusu AFCON 2027
Akizungumza mbele ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo Machi 12, 2026 wakati wa ukaguzi wa mradi wa ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Miguu wa Kimataifa wa Arusha.
Soma zaidi kuhusu AFCON 2027