Makonda: Nisemeni, mkichoka mtanyamaza

Binafsi napenda sana huu uthubutu wa mkuu wa mkoa wa DSM bila kujali elimu yake,kama itawezekana Mheshimiwa rais awe anaangalia kwa jicho la pili wale wenye uthubutu pia wazalendo wenye uchungu na taifa lao asiwaache badala ya kuangalia vyeti ambavyo havina uthubutu
 
Binafsi napenda sana huu uthubutu wa mkuu wa mkoa wa DSM bila kujali elimu yake,kama itawezekana Mheshimiwa rais awe anaangalia kwa jicho la pili wale wenye uthubutu pia wazalendo wenye uchungu na taifa lao asiwaache badala ya kuangalia vyeti ambavyo havina uthubutu
Lakini wenye uthubutu wawe wa kweli kuanzia mwanzo.
 
Unajua maana halisi ya kuona aibu! Bora anayeona aibu kuliko mwoga na mwongo kama wewe.

Huna ushahidi wowote lakini mwepesi kulaumu na kushutumu. Subiri hatima ya wale walioitwa Polisi, ndo ujue maana ya ushahidi, aibu na mengineyo

Hao walioitwa huko polisi kuna yoyote aliyeitwa kwa kugushi cheti? Nadhani hilo likifanyika haki itakuwa imetendeka kwa wote kuanzia wenye tuhuma za unga mpaka wenye vyeti vya kugushi.
 
While I don't condone academic dishonesty in any way, I believe the slew of allegations of academic dishonesty against Makonda is a carefully calculated distraction from the worthy crusade against illicit drugs. If Makonda cheated, he obviously didn't do so two or three months ago! Just pause and think. Why should this issue be raised now in the midst of the war against illicit drugs? Any and all real warriors in the crusade against illicit drug should, I think, place no credence in this ill-motivated assault against Makonda. The pervasive social damage we, as a nation, incur from the illicit drug dealing and use is too great to be outweighed by this slew of allegations of academic cheating!

The war against illicit drugs is a matter of life and death. Let's know our priorities and properly place them!
 
Bishop Gwajima did it already for us
Wivu tu,kwani ukoo wako mzima walisoma?! Mfano angekuwa ni ndugu yako mngemuandama kama mnavyomuandama,despite cheti mbona yuko vizuri tu huyu kijana kila mtu ana past yake muacheni bwana
 
Nchi zilizoendelea hawaangalii cheti kipoje bali wanaangalia uwezo wa mtu wa kufanya kazi lakini sisi tunaoangalia uzuri wa cheti wakati huyo mtu hana uwezo wa kufanya kazi husika ndio umetupelekea tuwepo hapa tulipo. Piga kazi Makonda achana na kelele za mitandaoni.
Mbona mmewafukuza mamia ya wafanyakazi na mafao ya mkawanyima kisa vyeti?? Na huyo rais kwa mbwembwe akasema hataki wezi wa vyeti kwenue serikali yake. Leo msumeno umekata kwingine mnaruka maneno yenu.
 
Rais JPM alivyoingia Madarakani alianza Vita dhidi ya Vihiyo,wezi wa vyeti, wenye vyeti Bandia etl.
Vita dhidi ya Wauza Sembe ilikuwepo tokea zamani.
TUNATAKA VYETIIIIÌIIIIIIII
Vyeti tena???Si Gwajima kasema anavyo ofisini kwake??
 
Wanao piga kelele nafikilia hamujawah kuwa ata kiongozi wa nyumba kumi mwenzako kaww kiongozi ntangia akiwa school leo hii mkuu wa mkoa tena mkoa mkubwa sana nchini hapa Unajua munapiga kelele bule yule hawezi kuteguliwa na kama uko dar utaendelea kuwa nchini ya makonda kama humutaki hama dar ..
 
Aonyeshe vyeti hizi habari anazosema za mitandaoni zitafikia kikomo kama sivyo tutaendelea kuomba vyeti. Hodari wa kudhalilisha watu usifiche ukweli eti madawa ya kulevya Nani ameshtakiwa mpaka sasa lete vyeti banaaaa acha kuzungusha. Ni hivi Daudi usilogwe ukaenda kuomba visa ya kwenda kwenye nchi za wenyewe safari hii watakubana utarudia airport maana taarifa zimewafikia wahusika. So hii danadana endelea nayo ndani ya bongo lakini kwenye nchi za wenyewe usijaribu hasa kwa bwana Trump wanazuia hata viongozi toka Europe itakuwa sisi wa ngozi nyeusi. Jipange upya
 
Nchi zilizoendelea hawaangalii cheti kipoje bali wanaangalia uwezo wa mtu wa kufanya kazi lakini sisi tunaoangalia uzuri wa cheti wakati huyo mtu hana uwezo wa kufanya kazi husika ndio umetupelekea tuwepo hapa tulipo. Piga kazi Makonda achana na kelele za mitandaoni.
Kwanini basi wanafunzi wa UDOM waliondolewa? Kwa hiyo kwako wewe uadilifu siyo kitu unaweza kuiba ila Kama unawapenda na kuwahudumia ndg zako poa tu eti. Akili zingine bhana
 
Vipi kuhusu madai ya mitandaoni! Eti ni kweli ulipata zero kisha ukanunua cheti???
 
Nchi zilizoendelea hawaangalii cheti kipoje bali wanaangalia uwezo wa mtu wa kufanya kazi lakini sisi tunaoangalia uzuri wa cheti wakati huyo mtu hana uwezo wa kufanya kazi husika ndio umetupelekea tuwepo hapa tulipo. Piga kazi Makonda achana na kelele za mitandaoni.
TATIZO SIO CHETI, KUFOJI MAJINA Wangapi wamezungusha lakini hawapigiwi kelele. Pia kama yeye kabaki na hao waliofukuzwa kwa issue hiyo warudishweofisini, harafu WAANGALIWE UTENDAJI WAO, What a joke!
 
Nchi zilizoendelea hawaangalii cheti kipoje bali wanaangalia uwezo wa mtu wa kufanya kazi lakini sisi tunaoangalia uzuri wa cheti wakati huyo mtu hana uwezo wa kufanya kazi husika ndio umetupelekea tuwepo hapa tulipo. Piga kazi Makonda achana na kelele za mitandaoni.
Kwa vyeti vya kugushi?sawa anafanya kazi ila kuruhusu kugushi !!
 
Back
Top Bottom