Makonda nilikuchukia ulipompiga Warioba, sasa nimekusamehe

Malilambwiga

JF-Expert Member
Jul 19, 2015
485
296
Hatua ya Mkuu wa Wilaya Kinondoni Paul Makonda kufanya mazungumzo na wamiliki wa daladala jijibi Dsm kuwawezesha walimu kusafiri bure kutoka na kwenda kazini ni ya kupobgezwa.

Awali ilipodaiwa mkuu huyu wa wilaya kumpiga jaji warioba ktk mchakato wa katiba nilinchukia kama ukoma.

Kitendo alichokifanya ni cha ubunifu na kitasaidia walimu kuokoa kiasi kikubwa cha nauli ambacho kitawasaidia kujikimu kwa mahitaji mengine.

Kwa hili ulilofanya nimekusamehe.
 
Wewe ualimu unakuhusu. Halafu ningependa kujua wewe ni kike au kiume??? Manake kuna usemi usemao ukitoa mbele sharti utoe na nyuma.
 
Malilambwiga:rolleyes: (mda wa mchana) kutiki wasu!.. Makonda kama hafanyi kwa kutaka sifa/kujipendekeza serikalini basi ntaungana na JPM kumpongeza
 
images


Mimi hapana "huthamini na kuheshimu wakubwa zetu"
 
Hatua ya Mkuu wa Wilaya Kinondoni Paul Makonda kufanya mazungumzo na wamiliki wa daladala jijibi Dsm kuwawezesha walimu kusafiri bure kutoka na kwenda kazini ni ya kupobgezwa.

Awali ilipodaiwa mkuu huyu wa wilaya kumpiga jaji warioba ktk mchakato wa katiba nilinchukia kama ukoma.

Kitendo alichokifanya ni cha ubunifu na kitasaidia walimu kuokoa kiasi kikubwa cha nauli ambacho kitawasaidia kujikimu kwa mahitaji mengine.

Kwa hili ulilofanya nimekusamehe.
Ha ha ha ha malilambwiga
 
Kumpiga Warioba ni kati ya mambo yaliyomuwezesha kuukwa ukuu wa Wilaya.Kwa tendo hili la kukosa adabu hakupaswa kusifiwa na JPM.Hili lilipaswa kuwa doa la kudumu katika utendaji wake.LAKINI KWA KUWA KWA CCM "THE END JUSTIFIES THE MEANS,"SI AJABU AKAUKWA UKUU WA MKOA.
Hatua ya Mkuu wa Wilaya Kinondoni Paul Makonda kufanya mazungumzo na wamiliki wa daladala jijibi Dsm kuwawezesha walimu kusafiri bure kutoka na kwenda kazini ni ya kupobgezwa.

Awali ilipodaiwa mkuu huyu wa wilaya kumpiga jaji warioba ktk mchakato wa katiba nilinchukia kama ukoma.

Kitendo alichokifanya ni cha ubunifu na kitasaidia walimu kuokoa kiasi kikubwa cha nauli ambacho kitawasaidia kujikimu kwa mahitaji mengine.

Kwa hili ulilofanya nimekusamehe.
 
Nitaongelea swala la kuwaomba wamiliki wa daladala kubeba walimu bure. Si walimu pekee wanaopata tatizo la usafiri. Wala si dar pekee. Hapa hoja ni mfumo wa usafiri na kipato cha wafanyakazi. Ufumbuzi wake si kubeba bure. Kumbuka daladala ni biashara na ina gharama za uendeshaji. Kama kutoa nafuu kwa walimu kuhusu usafiri alitakiwa aongee na serikali itoe ruzuku kwa daladala na si kuongea na wamiliki. Naona huo ni usanii. Ufumbuzi wa mapato madogo ya watumishi ni kufumua mfumo wa mapato nchini. Mapato yanapishana sana. Lingine ni kuhamasisha uwajibikaji, ili kipato kiendane na utendaji kazi. Wafanyakazi wa umma wanatumia muda mfupi sana kufanya kazi. Muda mwingi ni porojo, simu, utoro na mishe mishe zingine.
 
DogoTunaandika" post: 15436964, member: 124492"]Wewe ualimu unakuhusu. Halafu ningependa kujua wewe ni kike au kiume??? Manake kuna usemi usemao ukitoa mbele sharti utoe na nyuma.[/QUOTE]
Dogo unaandika nini?..umekunywa "ukawa"..ngapi?
 
Hatua ya Mkuu wa Wilaya Kinondoni Paul Makonda kufanya mazungumzo na wamiliki wa daladala jijibi Dsm kuwawezesha walimu kusafiri bure kutoka na kwenda kazini ni ya kupobgezwa.

Awali ilipodaiwa mkuu huyu wa wilaya kumpiga jaji warioba ktk mchakato wa katiba nilinchukia kama ukoma.

Kitendo alichokifanya ni cha ubunifu na kitasaidia walimu kuokoa kiasi kikubwa cha nauli ambacho kitawasaidia kujikimu kwa mahitaji mengine.

Kwa hili ulilofanya nimekusamehe.
wakati fulani tunapokuwa tunajadili issues ,tunatakiwa tujadili kama great thinker,,,,,,,,,,,,,,yes kama great thinker.unaposema walimu,tena wa kinondoni wasafari bure,una maana gani?una maana wenye mabasi wamekubali kuwalipia walimu nauli?mfanya biashara yoyote anapofanya biashara anataka kupata faida.kwa hiyo kitakachotokea ni kuwa gharama za usafiri wa walimu tunaoambiwa watasafiri bure zitalipwa na watumiaji wengine.sisi watumiaji wa usafiri wa daladala tutalazimika kuwalipia nauli walimu,,,,,,,,,,,ndio.hivi umefikiria reaction itakayotokea kwa walimu wasio wa wilaya ya kinondoni?vipi wafanyakazi wa kada nyingine?kama makonda anataka awasaidie walimu wa kinondoni,aongee na viongozi wenzake ili walimu wa kinondoni wawe wanalipwa posho maalum ili iwasaidie walimu kujikimu,hili linafanyika kwa halmashauri nyingi tu...........
 
Hivi kweli dawa ya changamoto ya usafiri wa waalimu jijini ni kuwaombea wasafiri bure? Wengine mnasema watasevu fedha ambazo wangetumia kwenye nauli kwa matumizi mengine! Realy? Are you people kidding me?

Kwa hiyo wakipanda kwenye hizo daladala wakidaiwa nauli wanasemaje? "Samahani kaka konda, mimi ni mwalimu. Tulishaombewa na Mheshimiwa mkuu wa Wilaya hivyo hatulipi!" Halafu konda anasemaje? "Nipe kitambulisho cha ualimu!!" Aisee.

Natabiri udhalilishaji mkubwa kwa walimu wetu kuliko hata wanafunzi wanaolipa nusu! Tutakutana humu! I swear!
 
Makonda hajawahi kumpiga Warioba, kilichofanyika ni kwa yeye kwenda kumkinga mzee wa watu asishambuliwe.
Cha ajabu maadui zake wakamgeuzia kibao eti alitaka kumpiga Mzee
 
Hatua ya Mkuu wa Wilaya Kinondoni Paul Makonda kufanya mazungumzo na wamiliki wa daladala jijibi Dsm kuwawezesha walimu kusafiri bure kutoka na kwenda kazini ni ya kupobgezwa.

Awali ilipodaiwa mkuu huyu wa wilaya kumpiga jaji warioba ktk mchakato wa katiba nilinchukia kama ukoma.

Kitendo alichokifanya ni cha ubunifu na kitasaidia walimu kuokoa kiasi kikubwa cha nauli ambacho kitawasaidia kujikimu kwa mahitaji mengine.

Kwa hili ulilofanya nimekusamehe.
Njaa za watz ndo limelifikisha taifa hili pabaya
Makonda historia itamhukum kila atakalo tends linayiwa DOA na historia mbaya ya utovu wa nidham na unyanyasaji kwa maslahi ya chama na cheo.
Ni sawa na mti akupige makofi then akaingiza mkono mfukoni akupe pesa na unaamua kumsamehe kwa ajili ya pesa
 
konda : cheke cheke! abilia nauli

abiria: mi mwalimi

konda: onyesha kitambulisho

mwalimu: (anashika mfukoni) hiki hapa

konda (anakichukua kile kitambulisho na kukikodolea macho pande zote mbili)....

konda: (anarudisha kitambulisho) sasa mbona umekalia siti

mwalimu : kwan kuna tatizo?

konda: hebu wapishe waliolipa nauli wakae

mwalimu: (kwa hasira) hebu acha kunizaliliasha kijana

konda: (akimuangalia mwalimu usoni) hivi we unaona ni haki kukaa wakati alielipa nauli amesimama?

mwalimu (kimya)

konda: kwanza nyie walimu nina hasira na nyie sana

mwalimu (kwa ghadhabu) hasira?

konda: eeh kwanza mlinichapa sana bado nifeli.... na leo unapanda gari yangu huna nauli..

abiria wengine: hahahahahaha

konda: dah yani sipendi kupakia hizi chenga kubwa

mwalimu: nani chenga?

konda : yan wewe ni chenga kuliko huyo mwanafunzi unaemfundisha

mwalimu: (kwa tabasamu la aibu) kivipi?

konda : we umekalia siti hujalipa hata mia lakin dogo kasimama na amelipa 200..

konda (kwa kejeli) sasa sema wewe na dogo nan chenga?

mwalimu (kwa hasira anafungua pochi na kutoa sh 5000 ) kata mia nne yako mbwa wewe.


MAKONDA WAZO LAKO NI GUMU KUTEKELEZEKA LABDA MWALIMU AWE NA ROHO YA JIWE í ¾í´”
 
Nitaongelea swala la kuwaomba wamiliki wa daladala kubeba walimu bure. Si walimu pekee wanaopata tatizo la usafiri. Wala si dar pekee. Hapa hoja ni mfumo wa usafiri na kipato cha wafanyakazi. Ufumbuzi wake si kubeba bure. Kumbuka daladala ni biashara na ina gharama za uendeshaji. Kama kutoa nafuu kwa walimu kuhusu usafiri alitakiwa aongee na serikali itoe ruzuku kwa daladala na si kuongea na wamiliki. Naona huo ni usanii. Ufumbuzi wa mapato madogo ya watumishi ni kufumua mfumo wa mapato nchini. Mapato yanapishana sana. Lingine ni kuhamasisha uwajibikaji, ili kipato kiendane na utendaji kazi. Wafanyakazi wa umma wanatumia muda mfupi sana kufanya kazi. Muda mwingi ni porojo, simu, utoro na mishe mishe zingine.
Wakati mwingine tukishindwa kabisa kufanya reasoning basi si mbaya kama tutawejeza akili zetu kwenye miujiza.
Najiuliza tu, ikiwa mwanafunzi anayelipa nusu nauli anateseka kuasi hiki itakuwaje kwa waakim wasiolipa!?
Tutarajie miujiza...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom