GE2025 Makonda: Nchi haiendeshwi kwa matamko, inaendeshwa na Katiba; wanaofanya uchochezi wana ‘passport’, hawako nchini

GE2025 Makonda: Nchi haiendeshwi kwa matamko, inaendeshwa na Katiba; wanaofanya uchochezi wana ‘passport’, hawako nchini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mgombea ubunge Jimbo la Arusha Mjini Paul Christian Makonda amesema kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM) hakitakubali katiba ivunjwe kwa kutofanya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Ameongeza kwa kuwataka wananchi kudumisha amani kwakuwa hakuna Tanzania nyingine na kwamba wote wanaohamasisha uvunjifu wa amani wana hati za kusafiria (passport) na wengine wako nje ya nchi.

 
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Paul Makonda amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) hakitaruhusu Rais Samia Suluhu avunje katiba kwa sababu ya kelele za baadhi ya watu kwenye mitandao ya kijamii.
 
Mgombea ubunge Jimbo la Arusha Mjini Paul Christian Makonda amesema kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM) hakitakubali katiba ivunjwe kwa kutofanya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Ameongeza kwa kuwataka wananchi kudumisha amani kwakuwa hakuna Tanzania nyingine na kwamba wote wanaohamasisha uvunjifu wa amani wana hati za kusafiria (passport) na wengine wako nje ya nchi.

Screenshot_20250916-172047.jpg

Mbona hafafanui kama kuteka na kuua bila kupeleka watu mahakamani ipo ndani ya katiba.
Je kutumia vyeti feki na kuliacha jina lake halisi la Albert Bashite si criminal offense?
 
Mgombea ubunge Jimbo la Arusha Mjini Paul Christian Makonda amesema kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM) hakitakubali katiba ivunjwe kwa kutofanya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Ameongeza kwa kuwataka wananchi kudumisha amani kwakuwa hakuna Tanzania nyingine na kwamba wote wanaohamasisha uvunjifu wa amani wana hati za kusafiria (passport) na wengine wako nje ya nchi.

Inaendeshwa kwa katiba ya kijitabu tu?
 
Mgombea ubunge Jimbo la Arusha Mjini Paul Christian Makonda amesema kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM) hakitakubali katiba ivunjwe kwa kutofanya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Ameongeza kwa kuwataka wananchi kudumisha amani kwakuwa hakuna Tanzania nyingine na kwamba wote wanaohamasisha uvunjifu wa amani wana hati za kusafiria (passport) na wengine wako nje ya nchi.

Ni aibu kuwa na Kiongozi kama huyu, ndio maana nchi yetu inaenda Hali jojo
 
Polepol
Mgombea ubunge Jimbo la Arusha Mjini Paul Christian Makonda amesema kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM) hakitakubali katiba ivunjwe kwa kutofanya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Ameongeza kwa kuwataka wananchi kudumisha amani kwakuwa hakuna Tanzania nyingine na kwamba wote wanaohamasisha uvunjifu wa amani wana hati za kusafiria (passport) na wengine wako nje ya nchi.

Wakae kwa kutulia,Pole pole ndio kiongozi wao ajae
 
Back
Top Bottom