Makonda na wapiga debe

Makonda na wapiga debe

THINKINGBEING

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2010
Posts
2,779
Reaction score
1,304
'Madereva' wengi wanapoona mambo yanakwenda mrama hu'6' kuendelea na safari na kuamua kutumia 'MAKONDA' kwa sababu 'MAKONDA' wanajuana na wapiga debe(wahuni)wengi wakidhani kuwa matusi na vurugu za MAKONDA na wapiga debe wao huenda yakawashawishi abiria kuingia katika gari ambalo limeshapoteza muelekeo..Matokeo yake ni kwamba vurugu za 'MAKONDA' na wapiga debe licha ya kutokuwashawishi abiria kupanda basi, vilevile huwafukuza abiria wachache waliokuwa ndani ya basi wakidhani ku'6' '6' kwa 'dereva' kulikuwa na maana fulani na kuamua kupanda basi jingine

Copy and Paste from
Isaya Ngwijoh(Facebook)
 
'Madereva' wengi wanapoona mambo yanakwenda mrama hu'6' kuendelea na safari na kuamua kutumia 'MAKONDA' kwa sababu 'MAKONDA' wanajuana na wapiga debe(wahuni)wengi wakidhani kuwa matusi na vurugu za MAKONDA na wapiga debe wao huenda yakawashawishi abiria kuingia katika gari ambalo limeshapoteza muelekeo..Matokeo yake ni kwamba vurugu za 'MAKONDA' na wapiga debe licha ya kutokuwashawishi abiria kupanda basi, vilevile huwafukuza abiria wachache waliokuwa ndani ya basi wakidhani ku'6' '6' kwa 'dereva' kulikuwa na maana fulani na kuamua kupanda basi jingine

Copy and Paste from
Isaya Ngwijoh(Facebook)

Kwa hiyo jina lake lina akisi matendo yake?
 
Very creative. MAKONDA pia ni wachafuwachafu. MAKONDA huamini kuwa wao ndio wenye gari. MAKONDA hujaza machenji mfukoni hadi hushindwa kutembea vyema. MAKONDA wamezoea kuzuia wanafunzi wasiingie garini. Wamezoea mikikimikiki
 
Very creative. MAKONDA pia ni wachafuwachafu. MAKONDA huamini kuwa wao ndio wenye gari. MAKONDA hujaza machenji mfukoni hadi hushindwa kutembea vyema. MAKONDA wamezoea kuzuia wanafunzi wasiingie garini. Wamezoea mikikimikiki

Tusubiri tu "tufaulishwe" maana hawakawii kusema gari imeharibika njiani abiria shukeni "mfaulishwe".
 
Vijana waliokuwa pale kwenye huo mkutano ni wapuuzi sana. Ilitakiwa wampige kipigo cha mwizi huyo Makonda. Sasa wanatuletea hadithi ya yaliyotokea ili tufanyeje? A tresspasser has no right. Walitakiwa wamtandike lakini wao wamepoteza hiyo nafasi.
 
Yaani hawa wapiga debe nawaonaga kama nuksi kwenye vituo vyetu vya hiace na wakati mwingine wanahisiwa kuhusika na uhalifu kwa abiria.
Pia waweza ingia ktk facebook na kusearch events kwa jina la EPUKA AJALI,OKOA MAISHA na kuitazama mikasa mingi ya barabarani.
 
Duuuh! mkuu THINKINGBEING you think big. Bravoooo:clap2:
 
Vijana waliokuwa pale kwenye huo mkutano ni wapuuzi sana. Ilitakiwa wampige kipigo cha mwizi huyo Makonda. Sasa wanatuletea hadithi ya yaliyotokea ili tufanyeje? A tresspasser has no right. Walitakiwa wamtandike lakini wao wamepoteza hiyo nafasi.
Vijana waliokuwepo ndio wakulaumiwa.Nimemuona Makonda akiwa buheri wa afya nikasikitika sana.Vijana wa Dar es salaam sio mfano wa kuigwa kwa jinsi walivyoshindwa kumshughulikia Makonda mpaka sasa anaonekana shujaa.
 
Back
Top Bottom