Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Watu usema kuwa daima usilonge kumala maana hakuna anaye ijua kesho yake.
Makonda kuna kipindi alimuweka kwenye 18 zake ndugu Chongolo ikabidi mzee wa watu na kipara chake anyweee.
Leo hii wamekutana kwenye kiota chao kila mtu akiwa na madaraka yake na uteuzi wake.
Nauliza hivi pale nani mwenye maamuzi ya kumkalisha mwenzake?
Makonda kuna kipindi alimuweka kwenye 18 zake ndugu Chongolo ikabidi mzee wa watu na kipara chake anyweee.
Leo hii wamekutana kwenye kiota chao kila mtu akiwa na madaraka yake na uteuzi wake.
Nauliza hivi pale nani mwenye maamuzi ya kumkalisha mwenzake?