strong ruler
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 4,919
- 3,313
Hapa mtu wa kukamatwa akasema walipo akina roma ni makonda. Swali linakuja je ni nina atamvisha paka kengere?
Si mmesusia habari zake? Unataka apite na matarumbeta mtaani!?Mkuu wa mkoa wa Dar kabla hajagombana na Clouds Medía alikuwa yupo sambamba sana na wasanii hata wakipata matatizo anawa support.
Mbona hili la Roma kutekwa yupo kimya? wakati siyo kawaida yake or kugombana na Clouds ndo kagombana hadi na wasanii wa mziki?
Au anajua kinachoendelea kuhusu swala la Roma kutekwa ndo maana yupo kimya?
Tongwe Records iko Tanga??Alipotekwa roma ni dar au tanga? Hebu fanya kautafiti uje useme tena kama roma ni mkazi wa dar au tanga?
Tongwe Records iko Tanga??
Leo siku ya mapumziko Bashite ana jamiiana (socialize) na Sizonje, kesho utamsikia.Mkuu wa mkoa wa Dar kabla hajagombana na Clouds Medía alikuwa yupo sambamba sana na wasanii hata wakipata matatizo anawa support.
Mbona hili la Roma kutekwa yupo kimya? wakati siyo kawaida yake or kugombana na Clouds ndo kagombana hadi na wasanii wa mziki?
Au anajua kinachoendelea kuhusu swala la Roma kutekwa ndo maana yupo kimya?
Usizuge mkuu ukiisoma sentensi yako ni wazi ulikuwa unabisha ndio maana umenitaka nikafanye utafiti. Kifupi Makonda ni mwenyekiti wa kamati ya Usalama ya Mkoa sasa why asiagize vyombo vya usalama vishughulikie?Hee hapo nimeweka alama ya kuuliza,jibu swali halafu si makonda mmemsusa hamtaki ajihusishe nanyi ya nn kumuweka kwenye msala usiomhusu
Hata akisema nyinyi si mmekataa kutoa au kutangaza habari na kile anachokisema siku hizi kutaja jina lake tu hamtaki mnataja Office ya mkuu wa mkoa bhasi tena mm ningemshauri ni bora kufanya kazi under cover kuliko media attention
Hahahahahhaha aya mkuu lakini pia unatakiwa kujua Watanganyika wamekuwa mabingwa wa kutafuta kiki mpaka kwenye vitu ambayo binadamu wa ukweli hawezi kufanyaUyo ni mtekaji na muuaji,kamteka Ben,kavamia Clouda na kundi la majambazi,katuma mtu akamtishie Napw sasa kamteka Roma. Tutamnyoosha.
Sizugi wala nn,ungenipa jibu ili nionekane mjinga ningesema nizuge ningeenda futa comment yangu. Sijui ilipo hio studio wala kilichompeleka hapo roma na deals zake nje ya muziki sizijui.Watu kama nyie leo mnashangaza sana kuna mwingine analalamika mwigulu kulike page ya insta badala ya kumtafuta roma,mwingine anamlalamikia mwakyembe,wewe unamlalamikia makonda ina maana wote hao waache shughuli zao kumtafuta mtu mmoja tu? Si huyu huyu makonda alipoanza msako wa madawa mlisema kazi ya polisi hio,hicho cheo cha mwenyekiti wa usalama hamkua mnakifahamu?Usizuge mkuu ukiisoma sentensi yako ni wazi ulikuwa unabisha ndio maana umenitaka nikafanye utafiti. Kifupi Makonda ni mwenyekiti wa kamati ya Usalama ya Mkoa sasa why asiagize vyombo vya usalama vishughulikie?
KajitekaMkuu wa mkoa wa Dar kabla hajagombana na Clouds Medía alikuwa yupo sambamba sana na wasanii hata wakipata matatizo anawa support.
Mbona hili la Roma kutekwa yupo kimya? wakati siyo kawaida yake or kugombana na Clouds ndo kagombana hadi na wasanii wa mziki?
Au anajua kinachoendelea kuhusu swala la Roma kutekwa ndo maana yupo kimya?
Poa poa Mkuu usiwake sana hailipi. Makonda ni mwenyekiti wa kamati ya usalama ya mkoa au sio? Sababu ya kumtaja Makonda ni hiyo..... chill bro. 🙂🙂🙂Sizugi wala nn,ungenipa jibu ili nionekane mjinga ningesema nizuge ningeenda futa comment yangu. Sijui ilipo hio studio wala kilichompeleka hapo roma na deals zake nje ya muziki sizijui.Watu kama nyie leo mnashangaza sana kuna mwingine analalamika mwigulu kulike page ya insta badala ya kumtafuta roma,mwingine anamlalamikia mwakyembe,wewe unamlalamikia makonda ina maana wote hao waache shughuki zao kumtafuta mtu mmoja tu? Si huyu huyu makonda alipoanza msako wa madawa mlisema kazi ya polisi hio,hicho cheo cha mwenyekiti wa usalama hamkua mnakifahamu?
Poa poa Mkuu usiwake sana hailipi. Makonda ni mwenyekiti wa kamati ya usalama ya mkoa au sio? Sababu ya kumtaja Makonda ni hiyo..... chill bro. 🙂🙂🙂