The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,594
- 3,585
Mkuu kwann hamumpendi makonda wakat anachapa kaz sasahv tunaona mkuuMnuka damu yule?.
Mkuu kwann hamumpendi makonda wakat anachapa kaz sasahv tunaona mkuuMnuka damu yule?.
Siyo simpendi mtu yeyote muuwaji simkubali maisha. Kwa hiyo uuwe ujifiche kwenye uchapa kazi?.Mkuu kwann hamumpendi makonda wakat anachapa kaz sasahv tunaona mkuu
Mbona hakuna ushahid makonda kaua mkuuSiyo simpendi mtu yeyote muuwaji simkubali maisha. Kwa hiyo uuwe ujifiche kwenye uchapa kazi?.
Labda mungu wa majiz ya kura.Makonda ni mpango wa mungu.
Mimi panapo majariwa makonda akiwa raisi katiba ibadilishe kutawala kuwe kwa ukoo mpaka uishe.
Makonda ni chaguo la Watanzania
Makonda anafanya mdahalo na sisi , itakuwa matusi mazito sana !Na ndiyo huyo huyo mwenye kutaka mdahalo mkaweka sababu za kitoto!
Huyo jamaa sijui nini kinampanikishaUkifiatilia hotuba zote alizotoa Kilimanjaro na Arusha hakuwa na ajenda ya kueleweka zaidi ya kuzungumzia maandamano ya Chadema na kujikomba kwa Mbowe.
Mara akasema siasa inalipa, mara nitalala kwa Mbowe, mara Samia karuhusu maandamano ya Chadema. Hivi Nchimbi hakumwandalia hoja za kupeleka kwa wananchi wa mikoa hiyo?
Mbaya zaidi ameiacha uchi CCM kuwa ni chama cha hovyo na kinatumia nguvu za polisi na vyombo vya dola kutawala kimabavu!
Wahamiaji?"Nchi yetu nzuri Tanzania tutaiharibu wenyewe kwa kuteua na kutumia watu kama kina Makonda"
Nimezingatia neno "duni".Huyu ndio kiongozi duni kabisa kuwahi kuwa Katibu Mwenezi wa CCM , Ni aibu sana !
Hata wewe ukiua Ushahidi ukikosekana aiondoi kuuwa kwako. Na huyo analindwa hata Ushahidi ukiwepo apelekwi popote. Mbona alivamia clouds radio na Ushahidi wa kamera ulimuonyesha akuchukulia hatua. Je kutokuchukuliwa hatua kunaondoa uvamizi aliofanya clouds?.Mbona hakuna ushahid makonda kaua mkuu
Wewe ndiye umekuwa kituko na kuonyesha ulivyo mjinga na kipofu wa akili na macho.kwa sababu mikutano ya Mheshimiwa Makonda mwamba wa siasa na Jabali la siasa na kijana jasiri kutoka ukanda wa kusini mwa jangwa la sahara inafanyika hadharani na siyo gizani.kila mtu na macho yote ya watanzania yanafuatilia kwa ukaribu sana na kujionea namna kazi kubwa anayoifanya ya kupokea kero na kutoa suluhisho kwa kushirikiana na watendaji wa serikali.
Kila mmoja anaona hoja nzito na za kutetemesha zinavyotolewa na Mheshimiwa Makonda,kila.mmoja anaona namna hotuba zake zinavyogusa mioyo ya watanzania kila kona ya nchi na nje ya nchi.kila mtu anaona namna wananchi wanavyofurika na kumiminika katika mikutano yake.
Kwa ufupi amefanikiwa kuteka mioyo ya watanzania na kukiweka chama midomoni mwao Watanzania na kuusambaratisha kabisa upinzani dhaifu kama CHADEMA kila apitapo. Sasa ni Makonda na CCM tu kila kona na kila mahali. Ni Rais Samia tu katika vijiwe na magenge mitaa yote.
Makonda ni mpango wa mungu.
Mimi panapo majariwa makonda akiwa raisi katiba ibadilishe kutawala kuwe kwa ukoo mpaka uishe.
Makonda ni chaguo la Watanzania
Jinsi Makonda anavyopenda sifa wewe mtakaa sello mojaWewe ndiye umekuwa kituko na kuonyesha ulivyo mjinga na kipofu wa akili na macho.kwa sababu mikutano ya Mheshimiwa Makonda mwamba wa siasa na Jabali la siasa na kijana jasiri kutoka ukanda wa kusini mwa jangwa la sahara inafanyika hadharani na siyo gizani.kila mtu na macho yote ya watanzania yanafuatilia kwa ukaribu sana na kujionea namna kazi kubwa anayoifanya ya kupokea kero na kutoa suluhisho kwa kushirikiana na watendaji wa serikali.
Kila mmoja anaona hoja nzito na za kutetemesha zinavyotolewa na Mheshimiwa Makonda,kila.mmoja anaona namna hotuba zake zinavyogusa mioyo ya watanzania kila kona ya nchi na nje ya nchi.kila mtu anaona namna wananchi wanavyofurika na kumiminika katika mikutano yake.
Kwa ufupi amefanikiwa kuteka mioyo ya watanzania na kukiweka chama midomoni mwao Watanzania na kuusambaratisha kabisa upinzani dhaifu kama CHADEMA kila apitapo. Sasa ni Makonda na CCM tu kila kona na kila mahali. Ni Rais Samia tu katika vijiwe na magenge mitaa yote.
Ukifiatilia hotuba zote alizotoa Kilimanjaro na Arusha hakuwa na ajenda ya kueleweka zaidi ya kuzungumzia maandamano ya Chadema na kujikomba kwa Mbowe.
Mara akasema siasa inalipa, mara nitalala kwa Mbowe, mara Samia karuhusu maandamano ya Chadema. Hivi Nchimbi hakumwandalia hoja za kupeleka kwa wananchi wa mikoa hiyo?
Mbaya zaidi ameiacha uchi CCM kuwa ni chama cha hovyo na kinatumia nguvu za polisi na vyombo vya dola kutawala kimabavu!
Uzuri umeandika mungu na sio Mungu! Huyo mungu atakua mzimu unaoumsimbuaMakonda ni mpango wa mungu ufanyaji wake kazi hakika watanzania wanahitaji mtu kama yeye
Mpumbavu wewe kwani hukusikia amesema atakwenda kulala kwa Mbowe? Sasa Mbowe ni ndugu yake au bwana yake atangazie umma kuwa anakwenda kwake?Katibu mwenezi ajikombe kwa mbowe kweli! Angekuja mtu asiejihusisha na politics tungeamini hili, lakini wewe mchadema nani akuamini!
Ili Chadema kifike mbali basi wekeni udini, ukabila na ubaguzi pembeni. Otherwise mtaambulia baadhi ya wanakaskazini tena majobless
Mpumbavu wewe kwani hukusikia amesema atakwenda kulala kwa Mbowe? Sasa Mbowe ni ndugu yake au bwana yake atangazie umma kuwa anakwenda kwake?
Acha uchawa nguruwe 🐖 wewe!