Getang'wan
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 3,075
- 3,413
Jana kuanzia Wami hadi Same hakukuwa na traffic, mvua ya hajaManeno mazito sana. Kila kitu na mbabe wake. Hata trafic huwa hakamati kwenye mvua kubwa
Jana kuanzia Wami hadi Same hakukuwa na traffic, mvua ya hajaManeno mazito sana. Kila kitu na mbabe wake. Hata trafic huwa hakamati kwenye mvua kubwa
Mada yangu ni funzo kwa Makonda ya KUB yanatokea wapi.Mwambie kiongozi Mkuu wa upinzani, tuhuma ya Dawa za kulevya, mwenyekiti wa Maisha
Siku hizi kila ovu analotenda likiwemo la kufoji cheti akiambiwa anasema ni kwa sababu anapambana na madawa ya kulevya.Bashite Bashite utaanguka tu huo mwamvuli wa Drugs uliojifunika kwa sasa haukutoshi
Gharika yaja juu yako kilio cha watz kamwe Bwana hatakiacha kipite bila adhabu kuu kwako ni suala la muda tu . Nasema Bashite utaondoka tena kwa aibu kuu
Mkuu samahani sana hebu naomba urekebishe jina lake kwanza maana umetamka jina lisilo lakeNani alikuwa na kibri kama cha Prof. Muhongo, jeuri, the arrogant person, untouchable, msomi aliyejiamini.
Alipokosolewa alikuwa akijificha kwenye mwamvuli wa Mafisadi wa vitalu kuwa wanamwonea wivu, wewe leo kila ukikosolewa unasema hao ni wauza unga hawanitakii mema.
Makonda usijione kuwa uko salama sana. Leo una kibri kama cha Prof.Muhongo, una jeuri ya kumuweka ndani mtu yeyote, lakini tambua kuwa kuna siku ambayo haina jina utaiona chungu kama ilivyo leo chungu kwa Muhongo.
Ni hayo tu.
Mimi nashangaa Pogba kuwa naye mpaka sasa wakati ni mwizi wa cheti. Mwanafunzi gani anayefeli kila mitihani na pale mucoobs ilibidi marehemu sita aingilie kati angalau apewe kile chetiBashite alishashindwa kujifunza akiwa shuleni usitegemee anaweza kuelewa chochote
Anaekumbuka alimwambiaje Sendeka bungeni vile,,,,Nani alikuwa na kibri kama cha Prof. Muhongo, jeuri, the arrogant person, untouchable, msomi aliyejiamini.
Alipokosolewa alikuwa akijificha kwenye mwamvuli wa Mafisadi wa vitalu kuwa wanamwonea wivu, wewe leo kila ukikosolewa unasema hao ni wauza unga hawanitakii mema.
Makonda usijione kuwa uko salama sana. Leo una kibri kama cha Prof.Muhongo, una jeuri ya kumuweka ndani mtu yeyote, lakini tambua kuwa kuna siku ambayo haina jina utaiona chungu kama ilivyo leo chungu kwa Muhongo.
Ni hayo tu.
Aibu yake,,KWANI KAFUTWA KAZI AMA AMEAMBIWA AKAJIFIKIRIE KISHA AJIUZULU?
NI HAYO TU........
nimecheka asubuhi hiiLahaula! Hao waingereza nimewapenda. Watakuwa ni wa Kibiti hao!
Bora aondoke tanesco kule wanafurahia kuondoka kwake kwanza alimchongea mramba mambo ya uongo kwa mkulu hadi akamtumbua ili apige dili zake vizuri maana mramba alikuwa hawapataniNani alikuwa na kibri kama cha Prof. Muhongo, jeuri, the arrogant person, untouchable, msomi aliyejiamini.
Alipokosolewa alikuwa akijificha kwenye mwamvuli wa Mafisadi wa vitalu kuwa wanamwonea wivu, wewe leo kila ukikosolewa unasema hao ni wauza unga hawanitakii mema.
Makonda usijione kuwa uko salama sana. Leo una kibri kama cha Prof.Muhongo, una jeuri ya kumuweka ndani mtu yeyote, lakini tambua kuwa kuna siku ambayo haina jina utaiona chungu kama ilivyo leo chungu kwa Muhongo.
Ni hayo tu.
Msomi atakwenda CCM ni njaa profesaNani alikuwa na kibri kama cha Prof. Muhongo, jeuri, the arrogant person, untouchable, msomi aliyejiamini.
Alipokosolewa alikuwa akijificha kwenye mwamvuli wa Mafisadi wa vitalu kuwa wanamwonea wivu, wewe leo kila ukikosolewa unasema hao ni wauza unga hawanitakii mema.
Makonda usijione kuwa uko salama sana. Leo una kibri kama cha Prof.Muhongo, una jeuri ya kumuweka ndani mtu yeyote, lakini tambua kuwa kuna siku ambayo haina jina utaiona chungu kama ilivyo leo chungu kwa Muhongo.
Ni hayo tu.
Limeshakwishaajiuzulu na lile hekalu lake analojenga mwanza,nani atammalizia
Leo waliokuwa wanamshangilia hata akikohoa kina johnthebaptist hawataki hata kumsikia.Jamaa nakumbuka ile kauli yake ya kua eti akiji uzulu inchi itatikisikaaa.
Madaraka ni kitu cha ajabu sanaaaa.inafika mahali mtu anajiona kua yeye tu ndio mwenye akili kuliko wengine.
Hili hata mtumbuaji naye anakasumba nalo.KIBURI CHA UZIMA.
Una kipawa cha unabii ndani mwako....Tabiri kingine, sisi tutasuburi kwa kudra za Mungu hadi utimilifu.Leo waliokuwa wanamshangilia hata akikohoa kina johnthebaptist hawataki hata kumsikia.