Makonda is almost so damn right!

Makonda is almost so damn right!

Status
Not open for further replies.

Mkwawe

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2016
Posts
3,210
Reaction score
5,680
Wachaga wengi wanamdhambulia Makonda, kuna sababu katika hili.

Tuwe wakweli tu jamani ule moyo wa utoaji ulikuwa ni wa Reginald Mengi tu na sio wa wachaga. Mchaga kama wewe huna nasaba nae, wewe si yeyote kwake, mara zote wamekuwa ni watu wabinafsi sana na kuutukuza mno ukaskazini. Wachaga ni watu wa dharau sana na huwaona watu wengine ni wazembe na hawastahili mafanikio ndio maana hupenda kuinuana wao wenyewe tu ila ni ngumu kuzingatia watu wa mahali pengine mbali na uchagani

Mzee Mengi alikuwa ni extraordinary mchaga, hakuwa mchaga wa kawaida wa kukumbuka watu wengine kirahisi, mzee wa watu akijitoa hasa, Mungu amrehemu kwa kweli. Tunaishi na wachaga ni watu wanaoabudu sana matabaka,Kwa hiyo mimi sioni cha ajabu Makonda alichoongea kinyume chake ingekuwa ubafiki kuwasifia wachaga hawa ambao tunawajua sisi

Mchaga mchaga mchaga aisee kwa kweli mnisamehe tu wachaga ninyi kwa kweli mjifunze kuthamini watu wengine kama nyie mnavyithaminiwa mnapoenda kutafuta maisha sehemu mbalimbali nchini humu kwa kupokewa vyema na wenyeji wenu

Makonda yu sahihi kabisa hata kama kuna nyakati amekuwa akiropoka ila kwa hili acha tu ukweli usemwe
 
Aisee bhangi ya wapi unavuta wewe nenda kijijini kwenu utakuta wachaga wanavyo jenga shule na makanisa wamefungua maduko uko jambo ambalo lilikua ndoto kwenu.Nikuambie NGOs nying zinazo saidia wahitaji zimeanzishwa na wachaga.Kuhusu ukaskizini watu wa northern zone wanaumoja kwa ujumla wanapapenda kwao kwanza.
 
Siyo kweli kabisa, mimi siyo mchga ila Wachaga wanaroho nzuri sana na wana huruma, sema we unatetea kwa kuwa umetumwa na aliyekutuma mwambie umetukuta tuko macho
Sawa nimetumwa
 
Wachaga wengi wanamdhambulia Makonda, kuna sababu katika hili.

Tuwe wakweli tu jamani ule moyo wa utoaji ulikuwa ni wa Reginald Mengi tu na sio wa wachaga. Mchaga kama wewe huna nasaba nae, wewe si yeyote kwake, mara zote wamekuwa ni watu wabinafsi sana na kuutukuza mno ukaskazini. Wachaga ni watu wa dharau sana na huwaona watu wengine ni wazembe na hawastahili mafanikio ndio maana hupenda kuinuana wao wenyewe tu ila ni ngumu kuzingatia watu wa mahali pengine mbali na uchagani

Mzee Mengi alikuwa ni extraordinary mchaga, hakuwa mchaga wa kawaida wa kukumbuka watu wengine kirahisi, mzee wa watu akijitoa hasa, Mungu amrehemu kwa kweli. Tunaishi na wachaga ni watu wanaoabudu sana matabaka,Kwa hiyo mimi sioni cha ajabu Makonda alichoongea kinyume chake ingekuwa ubafiki kuwasifia wachaga hawa ambao tunawajua sisi

Mchaga mchaga aisee kwa kweli mnisamehe tu wachaga ninyi kwa kweli mjifunze kuthamini watu wengine kama nyie mnavyithaminiwa mnapoenda kutafuta maisha sehemu mbalimbali nchi kwa kupokewa vyema na wenyeji wenu

Makonda yu sahihi kabisa hata kama kuna nyakati amekuwa akiropoka ila kwa hili acha tu ukweli usemwe
Mimi ni mchagga ile kauli nilichukulia ni utani ila alikosea pale sio sehemu ya kuleta utani.
Nimekuwa nikiona wazazi wangu wakisaidia watu duni miaka kwa miaka. Mimi maskini wa barabarani mara kwa mara nawapa chochote nikiwapita roho inanihoji. Wachaga wanatoa sana misaada hata kwa walemavu sema inakuwa kimya kimya .
Kauli kama zile ni zakugawa watu na wakati mungine zina matokeo Mabaya zaidi .
Wenye busara mbowe na Bashiru wameona
 
Aisee bhangi ya wapi unavuta wewe nenda kijijini kwenu utakuta wachaga wanavyo jenga shule na makanisa wamefungua maduko uko jambo ambalo lilikua ndoto kwenu.Nikuambie NGOs nying zinazo saidia wahitaji zimeanzishwa na wachaga.Kuhusu ukaskizini watu wa northern zone wanaumoja kwa ujumla wanapapenda kwao kwanza.
Acha uongo taasisi gani imeanzishwa na mchaga halafu iwe ya umma
 
Mimi ni mchagga ile kauli nilichukulia ni utani ila alikosea pale sio sehemu ya kuleta utani.
Nimekuwa nikiona wazazi wangu wakisaidia watu duni miaka kwa miaka. Mimi maskini wa barabarani mara kwa mara nawapa chochote nikiwapita roho inanihoji. Wachaga wanatoa sana misaada hata kwa walemavu sema inakuwa kimya kimya
Hongera
Ila pengine mmestaaribishwa na watu nje ya uchaga au neni la Mungu limewaingia
 
Ni wivu na ukabila vinawasumbuwa. Hayo makabila unayosema yanasaidia watu ndiyo yapi? Unadhani uchaggani hakuna vilema na hata omba omba na siyo wachagga? Wengi walihamia na hadi wakapata pesa za kusomesha watoto wao na baadaye wakaachana na uombaomba!

Alichoongea Makonda ni uthibitisho tosha wa chuki especially za ccm dhidi ya wachagga. Na amewakilisha vyema mawazo yao na Rais vile vile maana huwa anaona ni sawa tu!

Makonda nimemtoa maanani kabisa! Pamoja na ukabila, pia nadhani ana kiburi sana na pengine matatizo ya akili.

Pia ninaamini kuna watanzania wengi tu wenye ukabila kama yeye ama wenye kuwachukia wachagga. Kama hayo makabila mengine yanapenda kusaidia, mbona umasikini umekithiri? Hata utajiri mwingi kwa kuchukia wachagga na ukabila wenu, mumewapa waindi na waarabu, ambao wengine wamekuwa kichocheo cha muendelezo wa chuki! Wengine waliingiza hata udini nk!

Hata Mengi mwenyewe alipambana sana tunafahamu hiyo historia na mabeef kibao. Kwahiyo hizi chuki zenu siyo ngeni hata kidogo. Roho mbaya tu!

Yani Bashite anathubutu kuzungumzia sijui eti wachagga wako hivyo kuwa si watu wenye kusaidia watanzania wengine, na wakati kabila alilotoka kuna wanaouwa albino ili wapate utajiri ana wengine kufukuwa maiti, na kuibaka ili wapate utajiri! Hapo nyie wenye roho nzuri mmesaidia kitu gani?

Ndiyo shida yetu sisi miafrika. Matatizo na umasikini na ujinga, wanatizama pembeni, wakiona wenye mafanikio, badala ya kujifunza, wanalaumu.

Eti “mnavyopokelewa vyema na wengine”, fuatilia pale Moshi na Kilimanjaro kwa ujumla asilimia ngapi ni wahamiaji. Pale Moshi wachagga ni wachache, huo ni ukweli. Umeonyesha ujinga wa hali ya juu. Wewe na Bashite.
 
Hongera
Ila pengine mmestaaribishwa na watu nje ya uchaga au neni la Mungu limewaingia
Wachaga ni mojawapo ya maeneo ya kwanza kabisa Tanzania wamishionari walipokelewa kwa mikono miwili na hii ilileta baraka . Mchaga yoyote anajua kutoa na kutoa kwake kwanza Sadaka kwa Mungu halafu msaada kwa maskini wasio nacho. Na ukiwa mtoaji unaongezewa
 
Wachaga wengi wanamdhambulia Makonda, kuna sababu katika hili.

Tuwe wakweli tu jamani ule moyo wa utoaji ulikuwa ni wa Reginald Mengi tu na sio wa wachaga. Mchaga kama wewe huna nasaba nae, wewe si yeyote kwake, mara zote wamekuwa ni watu wabinafsi sana na kuutukuza mno ukaskazini. Wachaga ni watu wa dharau sana na huwaona watu wengine ni wazembe na hawastahili mafanikio ndio maana hupenda kuinuana wao wenyewe tu ila ni ngumu kuzingatia watu wa mahali pengine mbali na uchagani

Mzee Mengi alikuwa ni extraordinary mchaga, hakuwa mchaga wa kawaida wa kukumbuka watu wengine kirahisi, mzee wa watu akijitoa hasa, Mungu amrehemu kwa kweli. Tunaishi na wachaga ni watu wanaoabudu sana matabaka,Kwa hiyo mimi sioni cha ajabu Makonda alichoongea kinyume chake ingekuwa ubafiki kuwasifia wachaga hawa ambao tunawajua sisi

Mchaga mchaga mchaga aisee kwa kweli mnisamehe tu wachaga ninyi kwa kweli mjifunze kuthamini watu wengine kama nyie mnavyithaminiwa mnapoenda kutafuta maisha sehemu mbalimbali nchini humu kwa kupokewa vyema na wenyeji wenu

Makonda yu sahihi kabisa hata kama kuna nyakati amekuwa akiropoka ila kwa hili acha tu ukweli usemwe
Tena labda wewe bado ni mchawi hata ulikotokea, unamkaribisha nani? Stupid kabisa.
 
Wachaga ni mojawapo ya maeneo ya kwanza kabisa Tanzania wamishionari walipokelewa kwa mikono miwili na hii ilileta baraka . Mchaga yoyote anajua kutoa na kutoa kwake kwanza Sadaka kwa Mungu halafu msaada kwa maskini wasio nacho. Na ukiwa mtoaji unaongezewa
Hahaha "mchaga yeyote"
 
Tena labda wewe bado ni mchawi hata ulikotokea, unamkaribisha nani? Stupid kabisa.
Aaah Mushi acha jazba bwana cha msingi mjirekebishe tu matusi yako hayabadilishi ukweli
 
Wachaga ni mojawapo ya maeneo ya kwanza kabisa Tanzania wamishionari walipokelewa kwa mikono miwili na hii ilileta baraka . Mchaga yoyote anajua kutoa na kutoa kwake kwanza Sadaka kwa Mungu halafu msaada kwa maskini wasio nacho. Na ukiwa mtoaji unaongezewa
Wacha kuongea vitu general, jiongelee wewe, eti " mchaga yoyote.anajua kutoa" huh
 
Mchagga mwingine huyu naye anamkoromea Bashite mfoji vyeti.


Wachaga wengi wanamdhambulia Makonda, kuna sababu katika hili.

Tuwe wakweli tu jamani ule moyo wa utoaji ulikuwa ni wa Reginald Mengi tu na sio wa wachaga. Mchaga kama wewe huna nasaba nae, wewe si yeyote kwake, mara zote wamekuwa ni watu wabinafsi sana na kuutukuza mno ukaskazini. Wachaga ni watu wa dharau sana na huwaona watu wengine ni wazembe na hawastahili mafanikio ndio maana hupenda kuinuana wao wenyewe tu ila ni ngumu kuzingatia watu wa mahali pengine mbali na uchagani

Mzee Mengi alikuwa ni extraordinary mchaga, hakuwa mchaga wa kawaida wa kukumbuka watu wengine kirahisi, mzee wa watu akijitoa hasa, Mungu amrehemu kwa kweli. Tunaishi na wachaga ni watu wanaoabudu sana matabaka,Kwa hiyo mimi sioni cha ajabu Makonda alichoongea kinyume chake ingekuwa ubafiki kuwasifia wachaga hawa ambao tunawajua sisi

Mchaga mchaga mchaga aisee kwa kweli mnisamehe tu wachaga ninyi kwa kweli mjifunze kuthamini watu wengine kama nyie mnavyithaminiwa mnapoenda kutafuta maisha sehemu mbalimbali nchini humu kwa kupokewa vyema na wenyeji wenu

Makonda yu sahihi kabisa hata kama kuna nyakati amekuwa akiropoka ila kwa hili acha tu ukweli usemwe
 
Kwani miaka yote ya kuwachukia wachagga nani mkosaji? Shida moja nyie ni wajinga lakini kamwe hamjifunzi. Sana sana mmewafaidisha waindi na waarabu ambao hata sijui wanawasaidia kitu gani zaidi ya kuwaacha maskini.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom