Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 15,294
- 9,726
- Thread starter
- #61
Mimi ni msema kweli siku zote huwa sitafuni maneno .nausema ukweli hata kama ni mchungu.Angalau leo umeongea point kuliko siku zote
Mimi ni msema kweli siku zote huwa sitafuni maneno .nausema ukweli hata kama ni mchungu.Angalau leo umeongea point kuliko siku zote
Mimi ni msema kweli siku zote huwa sitafuni maneno .nausema ukweli hata kama ni mchungu.Angalau leo umeongea point kuliko siku zote
Kasikilize Hotuba ya Nape (Waziri wa Habari) ya Jana baada ya Tukio ukimaliza njoo ukoment ulichoandika tena..Hakuna mambo makubwa yoyote ile aliyoyaandika hapo.hakuna haki isiyo na wajibu. Wajibu ni pamoja na kusikiliza maelekezo na maelezo.sasa wewe umeelekezwa jambo halafu wewe unaanza kwenda kuvamia ofisi za watu kutaka uhojiwe. Kwani ni lazima? Kifungu kipi cha katiba kimevunjwa kwa yeye kupewa taarifa ya kuahirishwa kwa mahojiano? Kifungu kipi cha katiba kingekuwa kimevunjwa ikiwa asiingeitwa?
Lucas kinachofanyika hata huko ni sawa na uporaji fomu uliofanywa kwa wagombea waliiiooonekana kuhatarisha ugali wa ccm,plus kuwateka juu.Hivi sasa vyombo chawa kutotoa fursa 🤣Mmepewa ukweli japo ni mchungu sana kwenu.
Sio tu maneno huenda hata chawa unatafuna😁😁😁Mimi ni msema kweli siku zote huwa sitafuni maneno .nausema ukweli hata kama ni mchungu.
Nahisi Unanitrigger nikutukane ila haiwezi kutokea..Naona unasema kuwa kuna sheria imevunjwa. Basi kama kuna sheria imevunjwa mwambie au mshauri kiongozi wako huyo akafungue kesi.kikubwa nawashaurini ninyi CHADEMA mfungue Tv na redio zenu na siyo kila siku kulalamika tu kama watoto. Kwani nini kinawashinda kufungua Tv na redio zenu? Kwani ni shilingi ngapi mpaka mshindwe kufungua? Si hapa majuzi tu mmetafuna billion 2.7?
Waki amua kwenda kwenye mikutano mna wabania. Mara kibali cha helikopta, mara hatuna polisi wa kuwalinda.Mmepewa ukweli japo ni mchungu sana kwenu.
Mku yani viongozi Chadema wanatuvunja moyo. Wajitokeze tu waendelee na mikutano kwani tunapenda sana waingie mitaani na kuibua hoja mbalimbali.Yani mtu aliyepigwa ban na dunia na mtu mwenye vyeti fake aipe chadema ukweli, ni mjinga pekee wa kuamin hilo.
CCM hatuna watu wa aina yako wanaojikita kutukana matusi badala ya kujenga hoja, CCM Haina watu aina yako wanaoshambulia mtu kwa lugha za kudhalilisha badala ya kujenga hoja.sasa kuzaliwa kwangu kuna husiana vipi na hoja iliyopo hapa.umeishiwa hoja unaanza kutukana matusi.Nahisi Unanitrigger nikutukane ila haiwezi kutokea..
Kutukana watoto wadogo kama wewe!...
Jifunze kujenga hoja usibuni Kitu ambacho sina ukaamini ninacho..
Nimesema mara zote mimi sio CDM ila naona wewe na your Fkcing little Brain.. Huelewi..
CCM tuliobaki kukitetea Chama chetu kwa huu ujinga mnaofanya sasa ndo tunajua machungu ya Chama..
Tulifunzwa Maudhui na Shule za CCM tukiwa JKT Ccm enzi hizo..
Watu tunaoJua uchungu wa CCM tunachukizea na upuuzi wa nyinyo mnaojiita machawa kwa kuimba na kusifu huku mkiabudu..
Aisee Mnatia hasira sana CCM tumeitoa mbali Sana ..Japo tumeikuta miaka hiyo ya 95 ilikuwa mshike mshike tuliibuka kidedea mpaka miaka hii ya sasa hivi..
Mnatia hasira sana nyinyi watoto wa zinaaa..
Mnatia hasira sana nyinyi watoto wa zinaaa..
Mnatia hasira sana nyinyi watoto wa zinaaa..
Tumepambana na CCM hii tumelala porini,Tumepigana vita vikubwa vya Ardhini ,Wazi na Vificho washenzi nyinyi mnaibuka mnaanza kutetea ujinga na kuharibu amani Tulioijenga..
Hii ni komenti yangu ya mwisho kwako maana kujibishana na wapuuzi naweza nikajikuta nakuwa mpuuzi
CHADEMA haina mawazo mapya wala sera mpya .ni yale yale kila siku ,ni kulia lia kila siku na malalamiko kila siku utafikiri watoto wadogo.CHADEMA hawauwezi muziki wa Makonda. Halafu kaja kwa kuwashtukiza. Kibaya stori za CHADEMA ni zilezile na wasemaji wake ni walewale. Yaani kila siku ni katiba mpya na mambo ya uchaguzi halafu wazungumzaji ni Mbowe, Lissu, Heche, Lema, Mnyika, Pumbulu na makada wengine waandamizi. CCM imemtanguliza kwanza Makonda kabla ya wengine kuongeza nguvu huku Makonda nae kila siku akija na kitu tofauti kinachomgusa mwananchi moja kwa moja. Kisiasa CCM iko mbali sana.
Hawawezi kufanya mikutano kwa sababu pesa zote walishakomba na kukausha Kibubu cha pesa.Mku yani viongozi Chadema wanatuvunja moyo. Wajitokeze tu waendelee na mikutano kwani tunapenda sana waingie mitaani na kuibua hoja mbalimbali.
Weka ushauri hapa ambao unaonyesha CHADEMA wamenyimwa kibali cha kufanya mikutano hapa Nchini.acheni uongo wenu na kuleta sababu zisizo na ukweli.hivi ninyi hamuwezi kufanya mikutano ya hadht bila helkopta? Au kwa sababu mnajuwa mnafanya ufisadi wa pesa kwa kutumia helikopta?Waki amua kwenda kwenye mikutano mna wabania. Mara kibali cha helikopta, mara hatuna polisi wa kuwalinda.
Mara mme zidisha muda.
Halafu Makonda ashughulike na Ccm yakd iliyi oza mambo ya Chadema awa achie Chadema.
CHADEMA acheni kulia lia kama watoto wadogo.Lucas kinachofanyika hata huko ni sawa na uporaji fomu uliofanywa kwa wagombea waliiiooonekana kuhatarisha ugali wa ccm,plus kuwateka juu.Hivi sasa vyombo chawa kutotoa fursa 🤣
Kwani hii ya WASAFi ni ya ccm wewe mwehu?Acheni ujinga na utoto wenu .hivi kama mnajitambua mnaanzia wapi kulilia vyombo vya habari visivyo vyenu? Kwanini msianzishe vyenu?
Kwani hiyo ya WASAFI FM ni ya kwenu nyinyi CHADEMA?anzisheni yenu ndio mkafanyie vurugu zenu.Kwani hii ya WASAFi ni ya ccm wewe mwehu?
Unajua uhuru wa vyombo hivi?
Kwanini usikae kimya kuficha ujinga wako!
Wewe nyumba ndogo ya Makonda jitahidi basi umzalie mtotoKwani hiyo ya WASAFI FM ni ya kwenu nyinyi CHADEMA?anzisheni yenu ndio mkafanyie vurugu zenu.