Makonda bado ngoma mbichi

Makonda bado ngoma mbichi

Kweli CHADEMA huyu jamaa aliwanyosha mpaka Leo bado hamjajifungua tu na chuki mlio nayo dhidi ya Mzalendo huyu aliyewafurumsha mashoga,wauza madawa ya kulevya na Wezi wa Mali za Umma.Pelekeni mbali propaganda za kitoto.Ila CHADEMA mna ukabila sana

Kama uzalendo Ni kuteka watu na kupambana na CHADEMA basi makonda ni mzalendo.
 
UZALENDO wa MAKONDA ni pamoja na haya MATUKIO ya Kuvamia Clouds TV na Kumpiga Baba yake Mzee Warioba
Screenshot_20210809-112350_Phoenix.jpg
JamiiForums-1849896620.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20210809-112350_Phoenix.jpg
    Screenshot_20210809-112350_Phoenix.jpg
    24 KB · Views: 6
Back
Top Bottom