SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,036
- 8,942
Ruge alikuwa CHADEMA?Nadhani chadema hawatamshau Makonda!
Wilson Kabwe alikuwa CHADEMA?
Ruge alikuwa CHADEMA?Nadhani chadema hawatamshau Makonda!
Kama ulivyovurugwa wewe baada ya lisu kuchukuliwa na rob amsterUmevurugwa wewe baada ya Jiwe kukuwacha mjane
Kweli CHADEMA huyu jamaa aliwanyosha mpaka Leo bado hamjajifungua tu na chuki mlio nayo dhidi ya Mzalendo huyu aliyewafurumsha mashoga,wauza madawa ya kulevya na Wezi wa Mali za Umma.Pelekeni mbali propaganda za kitoto.Ila CHADEMA mna ukabila sana
UZALENDO wa MAKONDA ni pamoja na haya MATUKIO ya Kuvamia Clouds TV na Kumpiga Baba yake Mzee WariobaView attachment 2373947View attachment 2373954
Duh!!UZALENDO wa MAKONDA ni pamoja na haya MATUKIO ya Kuvamia Clouds TV na Kumpiga Baba yake Mzee WariobaView attachment 2373947View attachment 2373954