PreGE2025 Makonda atatoboa Arusha au ni yale yale ya Kigamboni tena?

PreGE2025 Makonda atatoboa Arusha au ni yale yale ya Kigamboni tena?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Mwanasiasa mchumia tumbo Daudi Bashite ajiitaye Paul Makonda anajulikana kwa tamaa na kupenda madaraka.

Sasa ni rasmi kuwa atagombea Arusha. Kama anajiamini, kwanini asigombee kwao au hana kwao? Je Arushwa watakuwa mazezeta wamchague mtu muovu

Je akibwagwa, atarejeshwa tena kama iivyotokea baada ya kugaragazwa Kigamboni. Anazo sifa za kuchaguliwa? Arusha msituangushe Je Makonda aka Bashite atatoboa Arusha?
Wenye tume watampa,haina shida.
 
Makonda ni opportunistic mzuri sana. Alipokuwa RC wa Dar aligundua kigamboni kuna wadau wanamiliki maeneo makubwa la ardhi ambayo ni potential na prime akaingia tamaa agombee ubunge ili amiliki maeneo ya hoteli kama beach plot na maeneo ya viwanda ili aweze kujipigia kiulaini. Wakazi wa kigamboni wakiongozwa na mwendazake Dr. Ndungulile wakamstukia wakakubaliana pesa zake ziliwe ila kwenye kura achinjiwe baharini. Na kweli yakatimia akaliwa kichwa mchana kweupe.

Watu wa Arusha, ardhi yenu na rasilimali zenu mlizopewa na Mungu zituzeni nazo zitawatunza. Msiweke rehani rasilimali zenu kwa viongozi wenye tamaa na ulafi. Msije mkajuta na kudai hatukuwaambia. Arusha isiongozwe kamwe na kiongozi mwenye mikono iliyojaa damu zisizo na hatia.
 
Aka waulize Batilda Bhuriani na Monaban. Siasa za Arusha tuna zijua wenyewe. Kuona ana pendwa na wale wahuni wanao jiita wadudu asi fikiri watu wote wa Arusha akili zetu ni sawa na wale wadudu. Ajiandae kisaikolojia..
Hategemei kura yule bora apite kwenye mchujo wa chama chake tu
 
Mwanasiasa mchumia tumbo Daudi Bashite ajiitaye Paul Makonda anajulikana kwa tamaa na kupenda madaraka.

Sasa ni rasmi kuwa atagombea Arusha. Kama anajiamini, kwanini asigombee kwao au hana kwao? Je Arushwa watakuwa mazezeta wamchague mtu muovu

Je akibwagwa, atarejeshwa tena kama iivyotokea baada ya kugaragazwa Kigamboni. Anazo sifa za kuchaguliwa? Arusha msituangushe Je Makonda aka Bashite atatoboa Arusha?
Hakuna mwanasiasa yeyeto hapa Tanganyika anayeweza kumshida Makonda,hata wakati anashindwa na kwa kura 1 na Ndungurile alikuwa amepishana na Magufuli na hakina Bashiru/Polepole,na Ndungurile hakapitia humo lasivyo Makonda hangelikuwa mbunge hapa Kigamboni,kama unabisha subiri kipenga kipulizwe ndio uhamini.
 
Mwanasiasa mchumia tumbo Daudi Bashite ajiitaye Paul Makonda anajulikana kwa tamaa na kupenda madaraka.

Sasa ni rasmi kuwa atagombea Arusha. Kama anajiamini, kwanini asigombee kwao au hana kwao? Je Arushwa watakuwa mazezeta wamchague mtu muovu

Je akibwagwa, atarejeshwa tena kama iivyotokea baada ya kugaragazwa Kigamboni. Anazo sifa za kuchaguliwa? Arusha msituangushe Je Makonda aka Bashite atatoboa Arusha?
Kwa nini asiende kugombea Kizimkazi, si kule nako ni CCM? Halafu kwa nini hataki kugombea kwao Kolomije ambako pia CCM iko? 🤔
 
Mwanasiasa mchumia tumbo Daudi Bashite ajiitaye Paul Makonda anajulikana kwa tamaa na kupenda madaraka.

Sasa ni rasmi kuwa atagombea Arusha. Kama anajiamini, kwanini asigombee kwao au hana kwao? Je Arushwa watakuwa mazezeta wamchague mtu muovu

Je akibwagwa, atarejeshwa tena kama iivyotokea baada ya kugaragazwa Kigamboni. Anazo sifa za kuchaguliwa? Arusha msituangushe Je Makonda aka Bashite atatoboa Arusha?
Makonda ni mtu anapenda sana kamari.
Mwaka 2020 alicheza bahati nasibunakapoteza baada ya kuacha u RC wa DSM akapoteza cheo kakipoteza na ubunge akaukosa sasa naona anarudia mchezo uleule.
 
Mwanasiasa mchumia tumbo Daudi Bashite ajiitaye Paul Makonda anajulikana kwa tamaa na kupenda madaraka.

Sasa ni rasmi kuwa atagombea Arusha. Kama anajiamini, kwanini asigombee kwao au hana kwao? Je Arushwa watakuwa mazezeta wamchague mtu muovu

Je akibwagwa, atarejeshwa tena kama iivyotokea baada ya kugaragazwa Kigamboni. Anazo sifa za kuchaguliwa? Arusha msituangushe Je Makonda aka Bashite atatoboa Arusha?
We mbwa koko kwao ni wapi? We hapo ulipo ni kwenu? Akili imejaa matope, Tanzania ni moja kaelimike we karunguyeye. Mmezoea ukabila, Arusha ni jiji halina huo upumbavu wapo watanzania wa makabila yote
 
Mwanasiasa mchumia tumbo Daudi Bashite ajiitaye Paul Makonda anajulikana kwa tamaa na kupenda madaraka.

Sasa ni rasmi kuwa atagombea Arusha. Kama anajiamini, kwanini asigombee kwao au hana kwao? Je Arushwa watakuwa mazezeta wamchague mtu muovu

Je akibwagwa, atarejeshwa tena kama iivyotokea baada ya kugaragazwa Kigamboni. Anazo sifa za kuchaguliwa? Arusha msituangushe Je Makonda aka Bashite atatoboa Arusha?
Rubbish!
 
We mbwa koko kwao ni wapi? We hapo ulipo ni kwenu? Akili imejaa matope, Tanzania ni moja kaelimike we karunguyeye. Mmezoea ukabila, Arusha ni jiji halina huo upumbavu wapo watanzania wa makabila yote
Heri mimi mbwa koko kuliko wewe kisiiiiimiiii
 
Huyu arudi tu Kigamboni au aende kwao Misungwi. Arusha atakutana na ama ubaya uchaguzi wa ndani wa CCM au ubwela uchaguzi wa nje.
 
Makonda ni mtu anapenda sana kamari.
Mwaka 2020 alicheza bahati nasibunakapoteza baada ya kuacha u RC wa DSM akapoteza cheo kakipoteza na ubunge akaukosa sasa naona anarudia mchezo uleule.
Makonda 2020 sio kwamba alishindwa bali alipishana na Magufuli wakati Magufuli alitaka haendelee kuwa mkuu wa Mkoa Dar, Makonda hakakataa ndipo Magufuli na hakakataa kumuunga mkono pamoja na Bashiru/Polepole na wajumbe wakapitia mlemle, lakini nakwambia hivi hakuna mwanasiasa yeyeto hapa Tanganyika anayeweza kumshida Makonda kama hakuna figisu.
 
Je anayestahili kuwa MP wa Arusha ni nani maaana hata Gambo ni muamiaji hapo Arusha.
Arusha siyo Mwanza hili ni jiji lililostaarabika hakuna upuuzi wa ukabila, Bill Clinton aliibatiza kuwa ni Geneva ya Africa msilinganishe na hivyo vijiji vyenu km Mwanza na Mbeya huko lazima aidha uwe msukuma au mnyakyusa. Arusha ktk historia yake imeongozwa na makabila mengi tofauti akiwemo comrade Abdulrahman Kinana
 
Back
Top Bottom