PreGE2025 Makonda atatoboa Arusha au ni yale yale ya Kigamboni tena?

PreGE2025 Makonda atatoboa Arusha au ni yale yale ya Kigamboni tena?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

The Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
10,959
Reaction score
13,424
Mwanasiasa mchumia tumbo Daudi Bashite ajiitaye Paul Makonda anajulikana kwa tamaa na kupenda madaraka.

Sasa ni rasmi kuwa atagombea Arusha. Kama anajiamini, kwanini asigombee kwao au hana kwao? Je Arushwa watakuwa mazezeta wamchague mtu muovu

Je akibwagwa, atarejeshwa tena kama iivyotokea baada ya kugaragazwa Kigamboni. Anazo sifa za kuchaguliwa? Arusha msituangushe Je Makonda aka Bashite atatoboa Arusha?
 
Mwanasiasa mchumia tumbo Daudi Bashite ajiitaye Paul Makonda anajulikana kwa tamaa na kupenda madaraka.

Sasa ni rasmi kuwa atagombea Arusha. Kama anajiamini, kwanini asigombee kwao au hana kwao? Je Arushwa watakuwa mazezeta wamchague mtu muovu

Je akibwagwa, atarejeshwa tena kama iivyotokea baada ya kugaragazwa Kigamboni. Anazo sifa za kuchaguliwa? Arusha msituangushe Je Makonda aka Bashite atatoboa Arusha?
Kama Lema angelikuwepo asingelipita......hawa wengine akisaidiwa na kuiba kura atapita
 
Mwanasiasa mchumia tumbo Daudi Bashite ajiitaye Paul Makonda anajulikana kwa tamaa na kupenda madaraka.

Sasa ni rasmi kuwa atagombea Arusha. Kama anajiamini, kwanini asigombee kwao au hana kwao? Je Arushwa watakuwa mazezeta wamchague mtu muovu

Je akibwagwa, atarejeshwa tena kama iivyotokea baada ya kugaragazwa Kigamboni. Anazo sifa za kuchaguliwa? Arusha msituangushe Je Makonda aka Bashite atatoboa Arusha?

Je anayestahili kuwa MP wa Arusha ni nani maaana hata Gambo ni muamiaji hapo Arusha.
 
Angeenda kwimba au kisesa ni uhakika.
Akikosa kabisa basi ajisogeze pale Meatu
 
Mwanasiasa mchumia tumbo Daudi Bashite ajiitaye Paul Makonda anajulikana kwa tamaa na kupenda madaraka.

Sasa ni rasmi kuwa atagombea Arusha. Kama anajiamini, kwanini asigombee kwao au hana kwao? Je Arushwa watakuwa mazezeta wamchague mtu muovu

Je akibwagwa, atarejeshwa tena kama iivyotokea baada ya kugaragazwa Kigamboni. Anazo sifa za kuchaguliwa? Arusha msituangushe Je Makonda aka Bashite atatoboa Arusha?
Hili jamaa halifai hata kuwa balozi wa nyumba 10.
Kila lifanyalo ni kwa ajili yake tu
 
Mwanasiasa mchumia tumbo Daudi Bashite ajiitaye Paul Makonda anajulikana kwa tamaa na kupenda madaraka.

Sasa ni rasmi kuwa atagombea Arusha. Kama anajiamini, kwanini asigombee kwao au hana kwao? Je Arushwa watakuwa mazezeta wamchague mtu muovu

Je akibwagwa, atarejeshwa tena kama iivyotokea baada ya kugaragazwa Kigamboni. Anazo sifa za kuchaguliwa? Arusha msituangushe Je Makonda aka Bashite atatoboa Arusha?
Bongo uhuni mwingi sana ,unaweza kwenda kwa mganga jumapili ukakuta kaenda kanisani 😂
 
Mwanasiasa mchumia tumbo Daudi Bashite ajiitaye Paul Makonda anajulikana kwa tamaa na kupenda madaraka.

Sasa ni rasmi kuwa atagombea Arusha. Kama anajiamini, kwanini asigombee kwao au hana kwao? Je Arushwa watakuwa mazezeta wamchague mtu muovu

Je akibwagwa, atarejeshwa tena kama iivyotokea baada ya kugaragazwa Kigamboni. Anazo sifa za kuchaguliwa? Arusha msituangushe Je Makonda aka Bashite atatoboa Arusha?
Aka waulize Batilda Bhuriani na Monaban. Siasa za Arusha tuna zijua wenyewe. Kuona ana pendwa na wale wahuni wanao jiita wadudu asi fikiri watu wote wa Arusha akili zetu ni sawa na wale wadudu. Ajiandae kisaikolojia..
 
Mwanasiasa mchumia tumbo Daudi Bashite ajiitaye Paul Makonda anajulikana kwa tamaa na kupenda madaraka.

Sasa ni rasmi kuwa atagombea Arusha. Kama anajiamini, kwanini asigombee kwao au hana kwao? Je Arushwa watakuwa mazezeta wamchague mtu muovu

Je akibwagwa, atarejeshwa tena kama iivyotokea baada ya kugaragazwa Kigamboni. Anazo sifa za kuchaguliwa? Arusha msituangushe Je Makonda aka Bashite atatoboa Arusha?
Hawezi kutoboa kabisa. Ukitaka ushahidi nenda kwetu Murieti hahaha. Gambo yupo vizuri. Unajua mfumo haumtaki so namna ya kumtoa ilikuwa kumlaghai agombee
 
Aka waulize Batilda Bhuriani na Monaban. Siasa za Arusha tuna zijua wenyewe. Kuona ana pendwa na wale wahuni wanao jiita wadudu asi fikiri watu wote wa Arusha akili zetu ni sawa na wale wadudu. Ajiandae kisaikolojia..
Tunawategemea Mkuu,wafikishie salamu wajumbe ikiwezekana waonyeshe hii comment yangu kuwa sisi wanakigamboni huwa tunatoa funzo kwa yoyote mwenye uroho madaraka.
 
Mwanasiasa mchumia tumbo Daudi Bashite ajiitaye Paul Makonda anajulikana kwa tamaa na kupenda madaraka.

Sasa ni rasmi kuwa atagombea Arusha. Kama anajiamini, kwanini asigombee kwao au hana kwao? Je Arushwa watakuwa mazezeta wamchague mtu muovu

Je akibwagwa, atarejeshwa tena kama iivyotokea baada ya kugaragazwa Kigamboni. Anazo sifa za kuchaguliwa? Arusha msituangushe Je Makonda aka Bashite atatoboa Arusha?
Ni yale yale ya Kigamboni yatajirudia
Atatupwa nje ya mfumo labda atapata vile Viti 10 vya Rais na huenda akapata unaibu waziri au Uwazir pengine ...yupo nyuma ya Sukuma Gang ..Lakini Samia anampenda sana Makonda hawezi kumtupa.
 
Back
Top Bottom