Mjini mipangoAlambe percent yake
Mjini mipangoAlambe percent yake
Na ei tisssi elo pia.Watapanda treni.
Kama anaona ujinga wake kuwekwa hadharani ni kupaishwa basi tatizo alilo nalo yeye au wenye mawazo kama yake ni kubwa zaidi.Alitaka tu aongolewe, kama hivi wewe ulivyo mwanzishia uzi, UMEMPAISHA BILA KUTARAJIA
Nashangazwa sana na huu utendaji wa RC Makonda. Huwa anatabia ya kudandia mambo na kuyafanya agenda wakati hayana tija kwa wananchi na hata hao anaowafanyia hawana shida nayo.
Sasa kuzungumza na watu wa garage eti kuwafanyia checking magari ya watu wa Dar bure inatija gani kwa maendeleo? Hivi mtu anunue gari lake lakini kufanya service hawezi mpaka apewe ofa?
Na hao wenye garage mnadhani wamekubali kufanya bure kwa mapenzi yao au ni jambo LA kushinikizwa?
Mwenye akili timamu huwezi kupeleka gari lako kuchekiwa bure kwa mtu anayefanya hivyo bila ridhaa yake Bali shinikizo.
Wale washauri wa serikalini wamwambie Makonda Dar ni kubwa sana, kuwa na kiongozi wa fikra za aina yake za kuwaza kutangazwa tuu wakati mambo ya msingi hayashughulikiwi ni upotevu wa muda
Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametangaza siku tano, kuanzia Desemba 10 hadi 15, 2019 kwa wenye magari kufanya ukaguzi ili wasafiri salama kwenda mikoani kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu za mwisho wa mwaka.
Makonda ametangaza ukaguzi huo leo Alhamisi Desemba 5, 2019 baada ya kukutana na wamiliki na mafundi gereji ambao walikubali kufanya kazi hiyo bure ikiwa ni ofa ya mwisho wa mwaka.
Amesema ajali nyingi za barabarani zinatokana na wamiliki wa magari kutojenga tabia ya kufanya ukaguzi wa mara kwa mara ili kubaini kasoro.
"Kwa hiyo tutatangaza gereji zilizo tayari kwa kazi hii pelekeni magari yenu ili safari iwe salama," amesema Makonda.
Awali, baadhi ya wamiliki na mafundi wa gereji walisema wapo tayari kufanya kazi hiyo kwa sababu watu wengi watajua changamoto za magari yao kabla ya kuanza safari.
"Tutawashauri kulingana na changamoto tutakazokutana nazo," amesema Elgius Mndale, fundi gereji kutoka wilayani Temeke.
Mkurugenzi wa Evolution Investment & General Supplies Ltd, Anthony Mganja amesema pamoja na kufanya ukaguzi huo, wapo tayari kutengeneza magari ya Serikali ya Mkoa wa Dar es Salaam kwa kipindi cha miezi sita.
"Tunaunga mkono kazi za Rais John Magufuli za kuleta maendeleo, kwa hiyo pamoja na ukarabati wa magari ya Serikali tupo tayari kusaidia," amesema Mganja.
Chanzo: Mwananchi
Hivi anaposema BureKuna sehemu niliwahi soma kuwa kati ya mwanamke na mwanamume ufaham na ukuaji wa akili huwa unatofautiana!hata ukiangalia tu malezi ya watoto wakike na wakiume unaona kns me waachelewa kucope na mazingira!
Huo ni utoto...bora uishi na mtu broke kuliko kuishi na jitu lenye utoto toto!!.makonda ana utoto mwingi sana!lols!
real bora uishi na mtu brokeKuna sehemu niliwahi soma kuwa kati ya mwanamke na mwanamume ufaham na ukuaji wa akili huwa unatofautiana!hata ukiangalia tu malezi ya watoto wakike na wakiume unaona kns me waachelewa kucope na mazingira!
Huo ni utoto...bora uishi na mtu broke kuliko kuishi na jitu lenye utoto toto!!.makonda ana utoto mwingi sana!lols!