Kadoda nguku
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 332
- 475
Kitendo cha kumuondoa Paul Makonda Dar es Salaam imekuwa kama afueni kwa wapinzani Jijini Dar es Salaam.
Hakika kama Makonda angebakia, wapinzani wasingepata Jimbo hata moja ila kwa sasa naona majimbo yote ya Dar yanaenda tena upinzani
Sijui CCM hawakulifikiria hilo?
Makonda siasa za Jiji la Dar es Salaam anaziweza sana.
Hakika kama Makonda angebakia, wapinzani wasingepata Jimbo hata moja ila kwa sasa naona majimbo yote ya Dar yanaenda tena upinzani
Sijui CCM hawakulifikiria hilo?
Makonda siasa za Jiji la Dar es Salaam anaziweza sana.