ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,013
Majuzi alikuwa Mwanza Bwiru kaahidi kuchangia 80 milioni kujenga beach ya kanisa la AIC (Inasemekana anataka ubunge wa Nyamagana 2020). Kuna ile bilioni 5 ya jengo la BAKWATA, Kuna bajaj na nyumba kwa yule jamaa aliyetobolewa macho na scorpion, kuna gari kwa ajili ya mwenyekiti wa mtaa msafi
Kuna hii inayokuja ya shilingi milioni 50 kwa pambano la muziki wa live kati ya Christian bela na Banana kusheherekea jinsi alivyotatua matatizo ya wananchi wa Dar es salaam mubashara kupitia Clouds tv.
Inaonekana kwake hela sio tatizo, ni kwamba kuna wafadhili wanaokubali uchapaji kazi wake au kuna fungu la mkuu wa mkoa lipo tu tayari tayari???
Kuna hii inayokuja ya shilingi milioni 50 kwa pambano la muziki wa live kati ya Christian bela na Banana kusheherekea jinsi alivyotatua matatizo ya wananchi wa Dar es salaam mubashara kupitia Clouds tv.
Inaonekana kwake hela sio tatizo, ni kwamba kuna wafadhili wanaokubali uchapaji kazi wake au kuna fungu la mkuu wa mkoa lipo tu tayari tayari???