Makonda anapitia kipindi kigumu

sizonjemadawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2017
Posts
1,052
Reaction score
1,306



Hii Haina ubishi ukimuona Mtu anamtafuta sana Mungu kuliko kawaida yake ujue anasababu za kufanya hivyo inawezekana kuwa amegundua ukweli kwamba ametenda dhambi hivyo ameamua kutubu, lakini hii mtu anakaa kwenye dini moja tu, either anapitia kipindi ambacho ni kigumu yeye mwenyewe kwa uwezo wake hawezi,

Kutokana na maneno yaliyowekwa kwenye picha hizi na mambo yanayoendelea bila shaka muheshimiwa anapitia kwenye kipindi kigumu,

Mshahara wa dhambi ni mauti
 
Sio mbaya, ni ishara ya kutambua udhaifu na unyonge wake, ni ishara ya kumtaka Mungu na nguvu sake.

Ni nani aliye mkamilifu mbele za Mungu? Nampongeza Makonda kwa kutambua kuwa pasipo msaada wa Mungu hataweza.

Imeandikwa, "Ni Heri kumkimbilia BWANA kuliko kuwatumainia wanadamu. Ni Heri kumkimbilia BWANA kuliko kuwatumainia wakuu". Zab.118: 8-9

Vv
 
Kujiweka huru na kashfa zinazomkabili,akapimwe km Sugu alivyo omba bungeni ,akarudie mitihani yake aliyofeli,aseme ukweli km kuna aliowaonea kuhusu madawa ya kulevya.kwann aende ucku wa manane polisi kumuona Wema ? Lazima awe alifanya hivyo,mama Wema hawezi kumcngizia ili apate nn ? Actishie wabunge kwakua ana nguvu ya magu nyuma yake,aeleze wazi juu ya utajiri wake uco ungwa mkono hata na ccm wenzie,amuangukie,mzee warioba kwa kumtimba mkofi mzito bila sababu yyte, bac amtubie Mungu,ili awe na amani.bila hivyo atakutwa akininginia sehemu kwa kujinyonga kutokana na malimbikizo ya yanayomcbu kwa ss.atie akili nayy ss.mwenzie anayemtumia hakoc ucngizi,ila yy mtumwa ss anasongwa na hatia moyoni na mwilini.anabaki kuombewa na dini zote ! Hiyo co dawa,dawa nikuacha kutumiwa km msukule na kumrudia Mungu tu.amka ss ww bashite daudi,chukua hatua ebo !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…