sizonjemadawa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 1,052
- 1,306
Sio mbaya, ni ishara ya kutambua udhaifu na unyonge wake, ni ishara ya kumtaka Mungu na nguvu sake.
Hii Haina ubishi ukimuona Mtu anamtafuta sana Mungu kuliko kawaida yake ujue anasababu za kufanya hivyo inawezekana kuwa amegundua ukweli kwamba ametenda dhambi hivyo ameamua kutubu, lakini hii mtu anakaa kwenye dini moja tu, either anapitia kipindi ambacho ni kigumu yeye mwenyewe kwa uwezo wake hawezi,
Kutokana na maneno yaliyowekwa kwenye picha hizi na mambo yanayoendelea bila shaka muheshimiwa anapitia kwenye kipindi kigumu,
Mshahara wa dhambi ni mauti
Sizonje ndio nani?Yeye na sizonje wanapenda sana kuombewa, hawa watu watakuwa ni waovu sana, kwa nini wanapenda sana kuombewa