Makonda ana u-maalum , afisa kipenyo!

Makonda ana u-maalum , afisa kipenyo!

Huyu mtu kama alihusika kweli na matendo ya kuwapoteza na kuwajeruhi hawa watu, Mungu atamlipa tu maana inasikitisha sana
Mwanasiasa hajui mambo ya Mungu, wao wanasema "wataombewa-kufanyiwa misa na watakwenda mbinguni
 
Mambo aliyoanzisha hayakuwa na SMART goals ndiyo maana hayakufanikiwa.
Specific
Measurable
Actionable
Realistic
Time limit
sure, nafkiri pia elimu yake ya kuunga unga na kutomaliza madarasa, na kutumia cheti cha mtu maana majina yake ni Daudi albert Bashite na anatoka kijiji kimoja na Gwaji mzee wa kuchikuchi-bao moja ndani ya sekunde 10
 
Dah...nimeamini kweli CCM wana mbinu zaidi ya 2000....na Hadi Sasa wametumia mbinu 9 tu [emoji2960][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom