Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 16,964
- 26,053
Baada ya tambo nyingi jijini Dar na kujiita RC wa MA-RC wote Tanganyika, hatimaye alibugi kwa kwenda kuchukua fomu ya ubunge na kuachia u-RC, hakujua bwana Jon walker atamla kichwa.
Jana uwanja wa mpira Dodoma kaingia kwa mbwembwe na kurudishwa na maafisa vipenyo wenzake, amekuwa akijiona ni maalum sana , Dar RC mstaafu ni yeye pekee?
Walikuwepo toka akina :_
1.Songambele
2.,Mhaville,
3.Chipungahelo ,
4 Rwegasira
5,Lukuvi,
6.Makamba,
7. Kandoro,
8 Meck Sadiki .na wengineo mbona walitoka na nobody cared about them.
Kwanini yeye tu ndio anapenda media na kuharibu shughuli za watu, kial aendapo anataka kuharibu na yeye ndiye awe talk of the day , jana alifanikiwa, hakuna anayejua sera za jana zaidi ya diamond plarinumz aliimba na makonda alinyimwa kuingia getini/meza kuu.
Makonda anachukiawa na Pompeo na amepigwa marufuku huko Marekani, anachukiwa na kila mtumishinwa Jiji la Dar maana alikuwa anawadhalilisha sana, media na wengineo, sasa sababu za kumchukia ni hizi hapa.
alikuwa na drama nyingi sana
Mara kumpiga Jaji..
Kupiga marufuku wakandarasi..
Ziara za manispaa na kudhalilisha watumishi...
Kutuhumu watu madawa ya kulevya....
Kushindana Mawaziri na Wabunge warudi Dodoma...
Tuhuma za utekaji sijui Roma sijui Mo nk...
Tuhuma za kupora magari ya watu...
Tuhuma za kuvamia studio..
Ugomvi na Ruge..
Mara kufukuza wauza magari mjini...
Mara kupima tezi dume..
Mara kukamata wanaume waliotekekeza wanawake..
Mara Walimu wasilipe nauli..
Mara watu wasiingie mjini bila kuoga...
Hakika alivuka mipaka
Jana uwanja wa mpira Dodoma kaingia kwa mbwembwe na kurudishwa na maafisa vipenyo wenzake, amekuwa akijiona ni maalum sana , Dar RC mstaafu ni yeye pekee?
Walikuwepo toka akina :_
1.Songambele
2.,Mhaville,
3.Chipungahelo ,
4 Rwegasira
5,Lukuvi,
6.Makamba,
7. Kandoro,
8 Meck Sadiki .na wengineo mbona walitoka na nobody cared about them.
Kwanini yeye tu ndio anapenda media na kuharibu shughuli za watu, kial aendapo anataka kuharibu na yeye ndiye awe talk of the day , jana alifanikiwa, hakuna anayejua sera za jana zaidi ya diamond plarinumz aliimba na makonda alinyimwa kuingia getini/meza kuu.
Makonda anachukiawa na Pompeo na amepigwa marufuku huko Marekani, anachukiwa na kila mtumishinwa Jiji la Dar maana alikuwa anawadhalilisha sana, media na wengineo, sasa sababu za kumchukia ni hizi hapa.
alikuwa na drama nyingi sana
Mara kumpiga Jaji..
Kupiga marufuku wakandarasi..
Ziara za manispaa na kudhalilisha watumishi...
Kutuhumu watu madawa ya kulevya....
Kushindana Mawaziri na Wabunge warudi Dodoma...
Tuhuma za utekaji sijui Roma sijui Mo nk...
Tuhuma za kupora magari ya watu...
Tuhuma za kuvamia studio..
Ugomvi na Ruge..
Mara kufukuza wauza magari mjini...
Mara kupima tezi dume..
Mara kukamata wanaume waliotekekeza wanawake..
Mara Walimu wasilipe nauli..
Mara watu wasiingie mjini bila kuoga...
Hakika alivuka mipaka