Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,252
- 98,255
Umeguswa mumeo kuongelewa?
Bila kumuongelea hamupati usingizi.. [emoji16]
Kiongozi munaye mupenda sana sana.. bila kusikia yake.. hamutulii.. najua mungekuwa na nafasi.. ya kumpa kura.. mungemmwagia teletele..
Sema ..... ...eeeee [emoji2]