Makohozi yasiyoisha

ladyfocus

JF-Expert Member
Jan 30, 2013
970
706
Doctors msaada jamani nina makohozi yasiyoisha yaani nakereka hapa kooni nikiswaki lazima makohozi yatoke,samtymz inanibidi kufanya kama nakohoa au nagunaguna kupunguza kohozi kooni. Imekua hivi kwa miaka mitatu sasa. Ni kooni tu si kifuani. Msaada jamani inaweza kuwa ni nini? Tiba ni nini? Hapaumi Ila nakereka sanaa
 
Hata mimi nina ugonjwa huo, miaka 16 sasa nipo nayo tu, yani huwa nahisi yapo kama kisima kooni hapa, huwa nayavuta na kuyatema mara kwa mara, sijajua ni ugonjwa gani huo? wakati mwingine huwa nahisi kile kilimi labda ni kirefu ndio kimesababisha hivyo
 
Hata mimi nina ugonjwa huo, miaka 16 sasa nipo nayo tu, yani huwa nahisi yapo kama kisima kooni hapa, huwa nayavuta na kuyatema mara kwa mara, sijajua ni ugonjwa gani huo? wakati mwingine huwa nahisi kile kilimi labda ni kirefu ndio kimesababisha hivyo
mimi hata kilimi sina yaani ni shida
 
tukiachana na madawa ya hospitali, dawa rahisi ni asali kijiko kimoja asubuhi, kimoja mchana na kimoja usiku.
Kuepuka vumbi na matumizi ya sigara.
Hiyo asali ni unaimeza taratibu sio fasta kama unataka ushibe vile
 
tukiachana na madawa ki ki ya hospitali, dawa rahisi ni asali kijiko kimoja asubuhi, kimoja mchana na kimoja usiku.
Kuepuka vumbi na matumizi ya sigara.
Hiyo asali ni unaimeza taratibu sio fasta kama unataka ushibe vile
thanks so much
 
Nenda hospitali ukafanye vipimo matatizo kujaa kooni kunasababu nyingi sana zinazosababishwa na magonjwa katika mfumo wa upumuaji
 
Kikohozi kisichoisha Ambacho huwa kikali sana Usiku mara nyingi huwa kinasababishwa na allergy ambayo hupelekea kuzalishwa kwa Mucus nyepesi ambayo hutrigger kikohozi..!! Unaweza tumia antibiotics kama amoxclav au ampiclox lakini hakitapona.

Jibu ni kuwa kikohozi hiki chanzo chake ni Allergy sasa kujua allergy hii huletwa na nini Chunguza mazingira yako na vyakula unavyokula pia vipodozi na pafymu. Tiba sahih ni kunywa dawa za Allergy ambazo ni.

MOUNTELUKAST 5MG
PREDNISOLONE 5MG.

Lakini unaweza ongeza na Azithromycin kusafisha koo vizuri incase. Jaribu hii tiba. Zote hizi dose zake ziende kwa pamoja hii hata kwa watoto husaidia sana.
 
Kikohozi kisichoisha Ambacho huwa kikali sana Usiku mara nyingi huwa kinasababishwa na allergy ambayo hupelekea kuzalishwa kwa Mucus nyepesi ambayo hutrigger kikohozi..!! Unaweza tumia antibiotics kama amoxclav au ampiclox lakini hakitapona..
Nashukuru sana mkuu
 
Back
Top Bottom