[QUOwrote MAHORO, post: 21571713, member: 168268"]Hivi nyie hamuna kazi za kufanya??? Nendeni kwanza makazini....!! Tushamalizana siasa no mpaka ishirini ishirini ebooo ngoja nimuite bashite na baba yake...!![/QUOTE]
Sio wote ni waajiriwa.Wengine tuna mashamba na miradi mungine.Leo sitaki kupitwa maana jina langu onyx ni aina ya madini yaliyopo nchini. Nadhani hili utakuwa unafahamu kwa Mara ya kwanza