Makinika! Sio kila changu ni binadamu

Makinika! Sio kila changu ni binadamu

Tulikuwa na kesi moja ngumu sana leo... Mwenzetu kasafiri huko makao makuu ya nchi, tamaa ikamshika, kaenda viungani akaopoa mrembo wa ukweli sana.. Wakafanya yao kwa siku tatu mfululizo alizokuwa huko! Hakunyimwa kitu...! Kapewa mahaba na ukoko wake ILA akadanganya mengi..! Moja kubwa akisema ana watoto lakini hana mke...!!! Ni wiki sasa anateseka na dunia...gearleaver imepaki.. Popo haliamki kwenda mawindoni.. True story....!!!

Pamoja na haja zetu
Pamoja na tamaa zetu
Pamoja na libido zetu...!!! Tafakuri ni muhimu sana..! Huko pahali kuna ushirikina wa kutosha sana...! Kuna mapepo, kuna mashetani, kuna majini, kuna viumbe roho nusu watu...!!!

KATAA KUBALI ushirikina upo.. Na manii zako ni malighafi inayohitajika mno huko kwenye ulimwengu wa giza...! Kumbuka pia hata nyota yako inawindwa...!

Mateka wa kiroho pia wanatafutwa kupitia ngono...! Kuna watumwa wa kutosha tu wanaotumikia mamlaka za siri bila ufahamu wao kupitia ma agent wa ngono..!!!

Tamaa ya maramoja inaweza kuvuruga future yako

Tamaa ya mara moja inaweza kusambaratisha familia yako

Tamaa ya mara moja inaweza kupoteza kazi yako

Tamaa ya maramoja inaweza kukugombanisha na marafiki wema

Tamaa ya mara moja inaweza kukupa ulemavu wa maisha kiroho na kimwili...

Dunia ni zaidi ya uijuavyo.. Si kila ukionacho ni halisi..! Usiku huu wa hii weekend kuna maingizo mapya kwenye hayo madhila... Kama ukifanikiwa kusoma hii mada..! Mungu akusaidie sana..!!!

Yangu ni hayo tuu...!!!.... MSTAAFU.!

Hivi kuna dawa za kugutuka endapo ukakutana na mazingira sio kama kuvusha mizigo hio au hata mzigo wa kitaa ambao sio? Na ikuaje kitu kinagoma au miguu haiendi au unaambiwa sauti usiende, au unapigwa kofi bila kuona mtu hio ikoje ili uweze kuyashinda hayo maana maisha ndio haya lakini lazima yaendelee, karibu Ndugu La Proffessee Mshana
 
Hivi kuna dawa za kugutuka endapo ukakutana na mazingira sio kama kuvusha mizigo hio au hata mzigo wa kitaa ambao sio? Na ikuaje kitu kinagoma au miguu haiendi au unaambiwa sauti usiende, au unapigwa kofi bila kuona mtu hio ikoje ili uweze kuyashinda hayo maana maisha ndio haya lakini lazima yaendelee, karibu Ndugu La Proffessee Mshana
Viashiria ni vingi
. Kuna vingine huanzia ndotoni
. Vingine ni sauti yako ya ndani
. Vingine ni kusita usikojua kunatokana na nini
. Vingine ni kuzuzuliwa usiende
. Vingine havina taarifa
 
Wanaume wanarogwa sana, ni watu wa kuwaonea huruma tu....

Mshana hivi manii zinazohitajika kumroga mwanaume ni zile fresh kutoka kwenye kichupa au hata zikishaingia nikazichota kwenye kakisima kangu zinafaa?
Ndugu mwenyekiti unataka kusemaje yaani
 
umesema kweli kabisa,nlikuwa nakaa maeneo flani hv kuna guest inalaza machangu tu wakitoka mawindo af kuna bar hapo,nliachaga biashara ya kuwanunua baada ya siku moja kuwasikia wakisema wanataka kwenda kwa mganga akambadilishie K mana ya mnyama aliyomwekea anaona haifai ana-feel kabisa anagongwa yeye,sa sijui iliwekwa ya mbuzi
Enzi hizo mitaa ya uwanja wa fisi watu walikuwa hawagongi malaya wanagonga fisi ..wale malaya walikuwa wachawi sana
 
Duh ndio asili ya hilo jina? Kwasababu hiyo?
Asili nilivyohadithiwa maana mie sio mwenyeji nilikuwaga mpitaji ktk harakati hapo ni uchafu (madhambi) kuwa mengi wakatumia tafsida "ufisi" wengine wanasema tabia ya wadada kutumia fisi , wengine wachawi walikuwa wanafuga fisi yaani kila mtu anasema lake
 
Asili nilivyohadithiwa maana mie sio mwenyeji nilikuwaga mpitaji ktk harakati hapo ni uchafu (madhambi) kuwa mengi wakatumia tafsida "ufisi" wengine wanasema tabia ya wadada kutumia fisi , wengine wachawi walikuwa wanafuga fisi yaani kila mtu anasema lake
Ila la wanaume kunyandua nyuchi za fisi wakidhani ni wanyange mitaa hiyo linasemwasemwa sana
 
Back
Top Bottom