ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 4,442
- 11,334
Hayo ni kwa mawazo yako kwa sababu nyinyi warokole kila saa huwa mnawaza kurogwa na ndio maana wengi ni masikini kwa sababu huwa hamna akili.Sasa kama unakiri paka anaweza kutumiwa na wachawi kukushambulia,
Kwann ukae na paka ndani ya nyumba?
Narudia kusema, wengi wafuga paka, hukosi mchawi katika familia hiyo.
Hivi hayo mapepo yanawafuataga nyinyi warokole tu ila wa dini nyingine hayanaga muda nao sio.
Mungu kaumba paka kwa ajili ya kudhibiti wadudu waaribifu ambao wanakaa ndani na ndio maana hakuna kitabu chochote cha dini kinacho haramisha paka kukaa ndani.
Sio paka tu mpaka huyo mkeo unaye lala naye kitanda kimoja anaweza kutumiwa na wachawi kukudhuru sasa ni kuulize watu wasiowe kisa wake zao wanaweza kutumiwa na wachawi kuwadhuru?