Hiii kali haki ya walai....nadhani mwenye kutaka kuja asilimia hapa umemwelewesha.Zoezi limekwisha nalifunga rasmi.ASANTENI WADAU WOTE HAPA NDIO HITIMISHO.
Wakuu,
Mzee six angelinganishwa na akina hayati Sapi Mkwawa, Msekwa lakini sio kwa mwenye jinsia inayoongoza mjengo kwa sasa.
Mzee six nakupa 90% kwa wengine woote waliomtangulia pamoja na predecessor wake sasa.
Sioni kabisa haja ya kuwalingalisha. Makinda kama mwanamke wa kwanza kuwa spika amewaaibisha sana wanawake wa tanzania. Anawawakilisha vibaya sana. I know there are capable women out there but not this lady. She is an opportunist and a remote controlled body.
Mama Makinda namuonea huruma hili bunge si saizi yake maana benchmark iko very high foe her to reach.....aki jump anafikia 15%....she is even poor....performer
Jamani najitahidi sana kumpa makinda alama za juu lakini kila nikijitahidi naona inatokea 15% na sita 85%
makinda kwenye bunge hili kaingilia mlango wa kutokea... she is not fit for this bunge.:blah: